Kweli mkuu hawa wanasiasa wanatumia ujinga wa watanzania wengi kupata tamaa zao za kimadaraka.na bado wapo wanaodhani uongozi bora ni kuletewa chakula kutwa mara3 na serikali
Af magari yenu hayako sexy wala nn
Hayo ye2 ulioweka ni ma DCM ambayo yamepotea ckuiz
Af hyo njia ya mbagala kama c kosei kabla ya kupitiswa 4ways miaka kama6 iliopita
Hayo mbna umechukua ya zaman bro
Infact dar inamaendeleo ya haraka sana kiasi kwamba miaka mi3 iliopita ni kama miaka10 kwenu
Nyingi zinazotumika ambako hamna BRT ni UDA nyekundu flan hv na magari yanayofanana na mwendo kasi ila rangi si sawa
Namshukuru Mungu kwa kunipa uhai maana bila yeye hakuna kiwezacho kuishi. Sinaga ujuzi sana wa kutengeneza hotuba ila nahisi utanielewa hivyohivyo tu. Makonda nakuona unaweka juhudi nyingi sana kupambana na rushwa pamoja na mashoga ambayo ni mapambano mazuri kimaadili ya nchi yetu.
Lakini...
Jamaa naona ni kama mbishi wa kupinga kila ki2 kiwe kibaya au kizuri
Watu kama hawa ni hatari sana
Hawanaga ukweli
Ndo maana namkubali zito maake anajua anachopinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.