DIKASHWA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 376
- 953
Hello MMU members,
Mwenzenu nimekuja hapa mbele yenu kuomba ushauri sababu nipo njia panda sijui nifanyeje nahisi maoni na mawazo yenu yanaweza kuniondoa au kunisaidia kwenye huu mkwamo.
Awali ya yote mimi naishi Mtwara kwa sasa ndipo napofanyia kazi lakini origin yangu ni Shinyanga, nilitokea kumpenda binti mmoja miaka kama kumi iliyopita by then tulikuwa sekondari na nilikuwa namtangulia madarasa kadhaa sikuweza fanikiwa kuwa naye kwa kipindi kile sababu alikataa kuwa kwenye mahusiano.
Kweli niliumia sana kwa kukataliwa ombi langu but still niliendelea kumpenda na alinivutia kila nilipokutana naye kwenye makorido ya shule. Baadae kila mtu aliendelea na mishe zake za shule tukawa tumepotezana na bad enough sikuweza kuwa na mawasiliano yake.
But daima nilimkumbuka sana na pamoja na miaka mingi kupita still nilimpenda na nilimuwaza ijapokuwa hatuonani na nilijua yeye hakunipenda. Facebook zilipokuja nilijaribu kumtafuta but sikufanikiwa coz majina niliyokuwa naandika zinatokea sura za watu wengine but miezi kama minne iliyopita niliona sura yake FB na alikuwa anatumia jina jingine nilimwomba urafiki akakubali.
Tulifanya chatting kuulizana tulipo na hali zetu za maisha in general yeye alinambia yupo kwao Shinyanga na baadae tukaamia wasap nikaanza kupasha tena kiporo, kipindi hiki hakukataa alikubari moja kwa moja na alionekana yuko very concerned na mimi.
Nilijaribu kumwuliza mahusiano yake yaliyopita but alinambia hayuko kwenye good terms na huyo mtu wake although wako wote kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano hivyo alinambia nikimhakikishia nampenda ataquit coz nilimpenda kutoka moyoni nilimwambia she can do so but afanye handover ya kueleweka kwa mtu wake hasije akamsumbua.
Alikubali na alienda kumwambia huyo jamaa kuwa ameamua kuachana naye na amepumzika from relationship but jamaa aliwaka na alikataa kata kata kwamba huyu hawezi kumpotezea muda kiasi hicho na alishachezwa machale ya kunyang’anywa tonge mdomoni. Jamaa nasikia alibembeleza but huyu msichana alikataa kurudi na alisisitiza msimamo wake wa kutaka kuishi singo. But inaonekana jamaa alishachezwa na machale kabla coz muda mwingi nilimkeep bize sana huyu mdada kwenye maongezi ya simu.
Tuliendelea kuongea na tukakubaliana nimtumie nauli aje hapa Mtwara ili tujuane zaidi msichana huyo bila ajizi alikubali na mimi nilituma nauli. Alifanya arrangement na akaweza kufika huku Mtwara ninakoishi nilifurahi sana kuonana naye nilimhug na kukiss I was so happy ki ukweli coz nilijua ndoto yangu ya kuwa na huyu binti inaelekea kutimia.
Taratibu zote za kupokea wageni hasa wapenzi nadhani zinajulikana but huyu dada hakuonekana kunisupport nikajua may be amechoka na safari ngoja kwanza apumzike but siku iliyofuatia nilipojalibu alikataa na alinambia anajihisi kunipenda that’ Y katoka kule alipotoka but hana feelings kabisa za kufanya nilijaribu kumrudisha but alisema hajisikii kabisa. Nimejaribu kumwuliza but hajui na anasema ananipenda sana na nimvumilie hadi pale hali yake itakapotengamaa, binafsi nimemwelewa but nina maswali najiuliza.
Je kipi kimempata, Is it psychological problem or spiritual problem? Au bado mahusiano yake ya nyuma yanamsumbua kiasi kwamba anajifeel guilted kuwa na mtu mwingine?
Je ni kweli ananipenda au ndo hivo ananifariji? But me nampenda sana?
Je atakuwa amejiadaa kuwa hampendi huyo jamaa kumbe still feeling kaziacha?
Je nifanye nini kumsaidia na mimi kujisaidia pia. She loves me but she has no feeling with me?
Mwenzenu nimekuja hapa mbele yenu kuomba ushauri sababu nipo njia panda sijui nifanyeje nahisi maoni na mawazo yenu yanaweza kuniondoa au kunisaidia kwenye huu mkwamo.
Awali ya yote mimi naishi Mtwara kwa sasa ndipo napofanyia kazi lakini origin yangu ni Shinyanga, nilitokea kumpenda binti mmoja miaka kama kumi iliyopita by then tulikuwa sekondari na nilikuwa namtangulia madarasa kadhaa sikuweza fanikiwa kuwa naye kwa kipindi kile sababu alikataa kuwa kwenye mahusiano.
Kweli niliumia sana kwa kukataliwa ombi langu but still niliendelea kumpenda na alinivutia kila nilipokutana naye kwenye makorido ya shule. Baadae kila mtu aliendelea na mishe zake za shule tukawa tumepotezana na bad enough sikuweza kuwa na mawasiliano yake.
But daima nilimkumbuka sana na pamoja na miaka mingi kupita still nilimpenda na nilimuwaza ijapokuwa hatuonani na nilijua yeye hakunipenda. Facebook zilipokuja nilijaribu kumtafuta but sikufanikiwa coz majina niliyokuwa naandika zinatokea sura za watu wengine but miezi kama minne iliyopita niliona sura yake FB na alikuwa anatumia jina jingine nilimwomba urafiki akakubali.
Tulifanya chatting kuulizana tulipo na hali zetu za maisha in general yeye alinambia yupo kwao Shinyanga na baadae tukaamia wasap nikaanza kupasha tena kiporo, kipindi hiki hakukataa alikubari moja kwa moja na alionekana yuko very concerned na mimi.
Nilijaribu kumwuliza mahusiano yake yaliyopita but alinambia hayuko kwenye good terms na huyo mtu wake although wako wote kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano hivyo alinambia nikimhakikishia nampenda ataquit coz nilimpenda kutoka moyoni nilimwambia she can do so but afanye handover ya kueleweka kwa mtu wake hasije akamsumbua.
Alikubali na alienda kumwambia huyo jamaa kuwa ameamua kuachana naye na amepumzika from relationship but jamaa aliwaka na alikataa kata kata kwamba huyu hawezi kumpotezea muda kiasi hicho na alishachezwa machale ya kunyang’anywa tonge mdomoni. Jamaa nasikia alibembeleza but huyu msichana alikataa kurudi na alisisitiza msimamo wake wa kutaka kuishi singo. But inaonekana jamaa alishachezwa na machale kabla coz muda mwingi nilimkeep bize sana huyu mdada kwenye maongezi ya simu.
Tuliendelea kuongea na tukakubaliana nimtumie nauli aje hapa Mtwara ili tujuane zaidi msichana huyo bila ajizi alikubali na mimi nilituma nauli. Alifanya arrangement na akaweza kufika huku Mtwara ninakoishi nilifurahi sana kuonana naye nilimhug na kukiss I was so happy ki ukweli coz nilijua ndoto yangu ya kuwa na huyu binti inaelekea kutimia.
Taratibu zote za kupokea wageni hasa wapenzi nadhani zinajulikana but huyu dada hakuonekana kunisupport nikajua may be amechoka na safari ngoja kwanza apumzike but siku iliyofuatia nilipojalibu alikataa na alinambia anajihisi kunipenda that’ Y katoka kule alipotoka but hana feelings kabisa za kufanya nilijaribu kumrudisha but alisema hajisikii kabisa. Nimejaribu kumwuliza but hajui na anasema ananipenda sana na nimvumilie hadi pale hali yake itakapotengamaa, binafsi nimemwelewa but nina maswali najiuliza.
Je kipi kimempata, Is it psychological problem or spiritual problem? Au bado mahusiano yake ya nyuma yanamsumbua kiasi kwamba anajifeel guilted kuwa na mtu mwingine?
Je ni kweli ananipenda au ndo hivo ananifariji? But me nampenda sana?
Je atakuwa amejiadaa kuwa hampendi huyo jamaa kumbe still feeling kaziacha?
Je nifanye nini kumsaidia na mimi kujisaidia pia. She loves me but she has no feeling with me?