Recent content by Laurent lucas

  1. L

    Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

    kwa neema wame balance jambo fulan,iman c dhani kma alikuwa ndio kosa
  2. L

    Zitto zitto zitoooo gooooo boy,,, wakuache mtoto wa watu kwani umewakosea nini?;;

    kwan hapa panamuhusu nan wa kuandka jambo la kuwafurahisha, hv leo hamtambui umuhimu wa zitto?.matashangaza sana kumbuken kura za jf na facebook hazitoshi m2 kuwa rais wa tz,mnakumbuka mdomo wa mboye wa karatu ulivyo leta utata ndani ya chama,kwa taarifa yenu dk slaa,mbowe ni safi zitto ni safi...
  3. L

    MH KAWAMBWA live on TBC mada kuu Elimu/Matokeo

    yy aseme atawasaidia vip hao watoto walio fel
  4. L

    Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!

    uwiiiiiiiiiiiiii bunge letu hoi eti ccm wanajua hvi chadema wanapata umaarufu kupitia bunge
  5. L

    Rais Kikwete amtimua Mwenyekiti wa Bodi Bandari

    nimefurahi kwa TRl ndio nilikuwa nasubir kwa hamu ajira yangu maana bodi ndio kila kitu TRL
  6. L

    Absalom Kibanda aaga rasmi Tanzania Daima

    Kazi kweli kweli mimi nimshukia kwny magazeti kma matatu yaliyo pita nakijua hapa kuna tatizo
  7. L

    Treni kubeba abiria 5000

    Ningekuwa na uwezo wa kukutana na kisamfu ningemueleza kuhusu cover za coach mafundi wanaweka kava za muda wangekuwa wanaweka cover ngumu,katk viti vya kukalia maana hv chukui muda kuchanika
  8. L

    Kwa hili la Mtwara, CCM imenifariji...!

    Mtoa mada ni jinga sana kazi kushabikia mafisadi tena huyu anachangia nchi kuwa katka hali ngumu
  9. L

    EXCLUSIVE Interview with Zitto Zuberi Kabwe at Jamii Forums [Coming Soon]

    Mimi na muomba zitto kabwe akachunguze shirika la utangazaji Tanzania TBC hasa radio station zao hazina ubora kabisa hapa nahisi kulifanyika uchakachuaji hapa? Swali kwake je yupo tayar kufatlia ufisadi huu kama upo?
  10. L

    Kinana acharuka: Adai kampuni ni yake lakini meno ya Tembo si yake!

    Walibakia kucheza disco pale dodoma badalaya kutafakari wap tunakosea,wap tunazidi kupatia,walicheza disco kuanzia mwenyekiti hadi mkulima. HAWAKUZUNGUMZIA UFISADI KABISAAAA WAKATI WANAJUA NDIO TATIZO KATKA CHAMA CHAO
  11. L

    Wabunge wa CCM ni waoga

    Katka bunge la leo sikutarajia kuona baadhi ya wabunge wa ccm ni waoga kiasi kile,Jana jion walionekana wa hali ya uchungu na nchi hii leo wamerudi nyuma,hv hata ww kwa akili yako ya kawaida serikali inaweza kuchunguza jambo hili kwa usahihi kabisa na kuleta ukweli hadharan bila kumuonea mtu...
  12. L

    Mwakyembe unaua bandari yetu

    Hongera mwakyembe fanya kazi ukiona mtumishi analalamika ujue kazi ya haki inafanyika na ukiona mteja analalamika ujue haki yak imechotwa
Back
Top Bottom