kwan hapa panamuhusu nan wa kuandka jambo la kuwafurahisha, hv leo hamtambui umuhimu wa zitto?.matashangaza sana kumbuken kura za jf na facebook hazitoshi m2 kuwa rais wa tz,mnakumbuka mdomo wa mboye wa karatu ulivyo leta utata ndani ya chama,kwa taarifa yenu dk slaa,mbowe ni safi zitto ni safi...
Ningekuwa na uwezo wa kukutana na kisamfu ningemueleza kuhusu cover za coach mafundi wanaweka kava za muda wangekuwa wanaweka cover ngumu,katk viti vya kukalia maana hv chukui muda kuchanika
Mimi na muomba zitto kabwe akachunguze shirika la utangazaji Tanzania TBC hasa radio station zao hazina ubora kabisa hapa nahisi kulifanyika uchakachuaji hapa? Swali kwake je yupo tayar kufatlia ufisadi huu kama upo?
Walibakia kucheza disco pale dodoma badalaya kutafakari wap tunakosea,wap tunazidi kupatia,walicheza disco kuanzia mwenyekiti hadi mkulima.
HAWAKUZUNGUMZIA UFISADI KABISAAAA WAKATI WANAJUA NDIO TATIZO KATKA CHAMA CHAO
Katka bunge la leo sikutarajia kuona baadhi ya wabunge wa ccm ni waoga kiasi kile,Jana jion walionekana wa hali ya uchungu na nchi hii leo wamerudi nyuma,hv hata ww kwa akili yako ya kawaida serikali inaweza kuchunguza jambo hili kwa usahihi kabisa na kuleta ukweli hadharan bila kumuonea mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.