Recent content by Latest version

  1. L

    Nahitaji kiwanja

    nina kiwanja bunju mwisho kijij chaitwa udindivu mita 20 kwa 26 bei 5m maji yanapita mpakan mwa kiwanja..umeme nguzo moja uko karibu sana uref kutoka bagamoyo road mpaka kiwanja ni 1 to 1.5km majiran wamesha jenga saana.. bei inaongeleka hakina hati sereous buyers call 0754229745
  2. L

    Muhimu: Kama hauna kazi soma hapa uishi kwa amani

    njee ya hayo uliyoandika. one should change his/her mind i.e the way of thinking. one should take hard decision to make a choice to change. one should believe on oneself.. sio lazima kuajiriwa badilisha mawazo kijana na anzisha kazi yeyote kwa capital yeyote no matter what ukifanya sereous...
  3. L

    JK, endelea kumbeba Membe, ila nadhani unamfahamu rafiki yako Lowassa

    ""Membe ni mzigo ila akiwezeshwa ataweza""
  4. L

    Inawezekana kupata mume mwenye upendo kwa mwanangu?

    changamoto utakua nazo ila Mungu ndo muweza wa yote usikate tamaa utampata right man for u..
  5. L

    Naombeni ushauri juu ya hili!

    let it go.. her movemovent is too fast as compared to urs.. kaingia mjin kakutana na fujo za mjin zikamchanganya..kwa namna yeyote hamuwez endana na kwa zaidi ya 85% ya wasichana wakiingia chuo hua hvyo. ni jambo la kawaida usipoteze muda tafuta mwngne aliyekomaa na mweny akil ya maisha
  6. L

    Wapenzi mnaogeshana?

    kuogeshana na kuongeza ladha ya mahusiano ni kama kionjo na hutia hamasa hasa pale mnapoandaana kwa mgegedo
  7. L

    Kiwanja kinahitajika

    call 0754229745 kiwanja kizuri 6m ukubwa 20*26( meter) bunju..udindivu
  8. L

    Kiwanja cha kujenga chenye HATI kinahitajika maeneo ya Dar

    call 0754229745 ukubwa meter 20 kwa 26 bei 5m
  9. L

    Naombeni ushauri,nimfanyeje huyu binti

    jibu unalo na ushalitoa maana umesema huna hisia nae sasa wataka sis tukupe hisia au ziko dukani ukanunue?? huwez ishi na mtu ambaye huna hisia nae utakua unajilazimisha na kuumizana.. chukua zako 50 songa mbele..nayeye akome ajifunze sio maswala ya kuishi maisha ya tamthilia..huyo she wako ni...
  10. L

    Biashara

    wavivu wakufikir na kupambana na mishe zao utawajua tuu...wanataka kulia juu ya mgongo wa wenzake
  11. L

    Sitasahau siku nimelala na mke wa mtu

    pole sana kwa hofu iliyokusibu..sema acha uoga pamoja na kua jamaa angejua lazma ungumhudumia usik mzima kala ulivyohudumiwa..ukome ile kitu tamu aisee sema kukutwa timbwili lake balaa hapatoshi
  12. L

    Wazee wa kimyakimya

    mie na marafik zangu kibao wako hvyo..mijitu iko kimyaa inaangalia huku na kule kumbe inadaka news outfits..yaan hawa jamaa wanapiga papuchii balaa coz hawaangalii quality ya she wao wanazomba tuu.. wenzangu na mim tunajifanya tbs so kugegeda unakua shughuli lkn wao hataa hawana hilo suala wao...
  13. L

    She is here now, I need her back

    ndugu EMT umemaliza kabisa..u wrote somethin which holds water.. big up..nadhan akisoma ulichoandika atapigia tuu mstari
  14. L

    Nyumba inauzwa - milioni 35

    kama ina hati hyo bei sio tatizo ntakutafuta tufanye biashara
  15. L

    Naumia sana; nifanyeje?

    pole sana kwa yaliyo kusibu mrembo.. cha muhim cool down kwanza maana inaelekea una speed saana ya kumaliza hili swala.. kikubwa tambua kwamba limeshatokea na kubaliana na matokeo..kama ameshafikia hatua ya kuoa jua kashagive up na wewe na hauna thaman tena maisha mwake.. pia waweza badilisha...
Back
Top Bottom