Wazee wa kimyakimya

Wazee wa kimyakimya

kuna ukweli asilimia 80% ukiona mtu si mlokole, hanywi pombe, havuti sigara, haendi club, ni mtu tu wa kawaida na ni mkimyaaa, ogopa sana.
 
Mdogomdogo arif. Ngoja nimalizane nako ishu flani hivi....
poa poa babuu, next month, siku ya workers, nadhani nitakuja tabata kukupa salam afu unikabidhi hako kamzigo!
 
Huo ni uonevu na usingiziaji brother, mimi sivuti pombe, sinywi sigara, siendagi club n.k. Starehe yangu kubwa ni mziki wa home na simu, mitandao ya kijamii, kupiga story na watu, matembezi, vitabu n.k. Sasa unaposema tusiokunywa pombe wala kuvuta sigara au kwenda club ni wazee wa kugegeda mmhhh.... Karudie research yako, hao ni 10% tu usigeneralize!

Nimekupenda bureee. Kumbe wa hivi bado mpoo?
 
nitake radhi ICHANA! hapo nilipo bold yani umenivua nishani yangu kabisa!!

hivi unajua kwanini nimebatizwa jina la excel??

yani mpaka sasa hard disk imejaa majina ya warembo wangu kuanzia mwezi wa kwanza! imagine how dangerous am I!

kuanzia breakfast, lunch, supper, dinner.. lazima niwe na kipozeo pembeni!

afu hawa wakizaramo ndo wazuri aisee!


aisee excel nakujua. unavyojidiskraib na misamiati yako ni kama nakuona kabisa.
 
mkuu hasira lazima niwe nayo, jitu unaliuliza mara mia mia upo single? linajibu ndio bila hata roho kuuma, aisee hivi roho ya ubinadam ckuiz haipo ee! uongo umekuwa dili yani.. kaaa! yan saiz full kuzama ukucha tu!, awe mtumishi cjui mchungaji wala nani, ukatili tu ndo mtindo mmoja.

jamani samehe, hasira itakuletea maradhi. Siku nyingine usimuulize mtu kwa mdomo tu kuwa yuko single. Angalia matendo yake na wewe tunga test umpe uangalie atakavyofaulu.
 
aisee excel nakujua. unavyojidiskraib na misamiati yako ni kama nakuona kabisa.
unanijuaje mkuu? tungo tata hio ujue! ohooo....

ok, mi ngoja ni
michaeljackson.gif
limbo dance...
 
jamani samehe, hasira itakuletea maradhi. Siku nyingine usimuulize mtu kwa mdomo tu kuwa yuko single. Angalia matendo yake na wewe tunga test umpe uangalie atakavyofaulu.

Dah, nimejifunza kitu kwa mtu huyu. siwezi rudia kosa yani. Mwenyezi mungu nisaidie.
 
mie na marafik zangu kibao wako hvyo..mijitu iko kimyaa inaangalia huku na kule kumbe inadaka news outfits..yaan hawa jamaa wanapiga papuchii balaa coz hawaangalii quality ya she wao wanazomba tuu..
wenzangu na mim tunajifanya tbs so kugegeda unakua shughuli lkn wao hataa hawana hilo suala wao yeyote wanabeba..kwa week wanaweza tia hata wanawke 30 tofaut tofauti
 
Back
Top Bottom