The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
.ndo maana nimekujibu fuata moyo wako...kama unampenda samehe au humpendi achana nae kwa wema achana na visasiNdio maana nimeomba ushauri hapa mkuu,mawazo yenu yatanisaidia kufanya maamuzi.
.ndo maana nimekujibu fuata moyo wako...kama unampenda samehe au humpendi achana nae kwa wema achana na visasiNdio maana nimeomba ushauri hapa mkuu,mawazo yenu yatanisaidia kufanya maamuzi.
Vp ulishajua sababu ya yy kukuacha?
.ndo maana nimekujibu fuata moyo wako...kama unampenda samehe au humpendi achana nae kwa wema achana na visasi
shukran mkuu. Point noted.
Mfundishe ustaarabu muache kwa upendo...zungumza nae cheka nae lakini move on...
i guess wewe ni mtu mzima kidogo.
i guess wewe ni mtu mzima kidogo.