Avatar nzuri🙂Pole sana kaka,ila hapo ukweli unajionyesha kabisa kuwa huyo dada hakupendi na mwisho wa cku ukilazimisha hamtakuwa na mwisho mzuri...cha kufanya wewe achana nae tu utapata mwingine,ila na wadada wengine sijui wakoje yan unapata bahati ya kupendwa kiasi hiki bado unaleta ujinga,"kwenye miti hakuna wajenzi nmeamin."
Jichunguze vizuri una matatizo.Hua ni ngumu sana kumwoa mwanamke alowahi kutoa mimba yako tena Kwa hiari yako maana anakuona sehemu ya ukatili aloufanya na anakuona muuaji.Siku ukiwa na mchumba ukamruhusu kwenda chuo bila kukuzalia mtoto au kufunga nae ndoa ujue uwezekano wa kumuoa ni mdogo zaidi kuliko Sumaye kuupata urais 2015.
Everything in your life is a reflection of a choice you have made. If you want a different result, make a different choice.
Pole sana kaka,ila hapo ukweli unajionyesha kabisa kuwa huyo dada hakupendi na mwisho wa cku ukilazimisha hamtakuwa na mwisho mzuri...cha kufanya wewe achana nae tu utapata mwingine,ila na wadada wengine sijui wakoje yan unapata bahati ya kupendwa kiasi hiki bado unaleta ujinga,"kwenye miti hakuna wajenzi nmeamin."
Kosa nmeanza kuliona uliposema "amejiunga na chuo kikuu" kiufupi hawa wadada huko vyuoni sijui huwa wanapewa nini? Lakini nakushauri tulia kwanza pembeni akishamaliza chuo atakutafuta mwenyewe tena kwa msamaha. Huyo mpaka masharobaro wa chuo wammege kwanza akishabwagwa ndo atulie.
Lkn na wewe bro nakuona we ni mbulula yani mtu kama huyo bado unawaza ndoa hapo!