Kwa upande wangu, naona vijana wengi waliokua bench kwenye suala la Ajira wamefanikiwa kupata Ajira kipindi cha utawala huu. Najua Familia nyingi zitapata ahueni kupitia hao vijana. Kwa hilo nampa maua yake.
Talents zipo. Na unaanza kuziona ukiwa Shule. Kuna binadamu hata usome vipi, huwezi kuwapita kwa sababu wana uwezo mkubwa (talent) kwenye hilo eneo kukuzidi wewe.
Unachokizungumzia wewe ni "to get better" at something. Yani kwamba kila mtu akiweka juhudi katika kitu chochote basi anaweza akawa...
Kuna uwezekano mkubwa sana wanafunzi wote walikutana na zaidi ya asilimia 90 ya maswali ambayo wameshayafanyia mazoezi.
Swali ni ilikuaje walimu wakaweza kutabiri maswali kwa kiwango kikubwa hivyo? tena kwa masomo zaidi ya saba?
It's insane!
Itakuchukua miaka 8 na miezi 4 kufikisha 100M ikiwa kila mwezi utasave Milioni Moja.
Sasa piga hesabu wabongo wangapi wanaweza kusave hiyo Milioni moja kila mwezi. (wachache mno)
Halafu njoo kwa wanaoweza kusave laki tano kila mwezi kisha double hiyo miaka ya saving hapo juu. (hapa pia wapo...
Come on Bro!
Pesa ni mchezo wa Namba.
Ni watu wangapi mwalimu wa serikali anaweza kufundisha kwa siku? Na ni watu wa aina gani?
Ni watu wangapi walifuatilia game ya Azam na Simba jana? Na ni watu wa aina gani?
Ni gharama kiasi gani watu wanatumia kupata huduma ya Mwalimu wa serikali kwa...
Kwanza huyo mume wake yupo smart kuliko wewe. Pili, huyo mwanamke kaachwa kimtego, watu wa Ball tunasema mwamba anavizia counter attack. Anajua huyo mwanamke ndiyo atakayekuingiza kwenye 18 zake. Ngoja nikupe akili kidogo...
Logically, haiwezekani Mwanamke mwenye stara ya kuwa mke wa mtu...
Ni vigezo vyao. Usilalamike. After all life isn't fair, is it?
Kesho utaanzisha uzi wa kwanini taasisi fulani wameweka GPA kuanzia Upper Second ili uweze kuomba kazi?
Au kwanini taasisi fulani wanakupima kwanza afya kabla hawajakuajiri?
And it will go on and on... so stop it. Kuna...
Tuachane na mada ya mtoto.
Embu tueleze wewe na mkeo mnaishije? Kuna viashiria vyovyote vya usaliti ulivyowahi kuviona kabla hajabeba ujauzito? Je wewe ni muaminifu kwake? Huna makandokando?
Kwa sababu wakati mwingine wewe kutokuwa mwaminifu kunaweza kukuathiri hata wewe mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.