Mbona hayo maridhiano alivofanya hatukuona matunda yake.
Zaidi zaidi baada ya maridhiano tulishuhudia watu wakitekwa na kuuwawa wakina Ally Kibao, Soka na Sativa
Je Kuna haja gani yakuja na sera ya maridhiano kwa mara ya pili ilihali maridhiano ya Kwanza matunda yake watu waliuawa na kutekwa?
Hivi broo unahofia Nini kuanzisha uzi wako utangaze biashara yako ya asali mbona jf ni jukwaa huru. Kipi unaogopa Hadi kudandia post za watu unaweka matangazo yako tumevumilia tumechoka. Huu upumbavu wa kuweka tangazo upo Sana Facebook Sasa naona umeamua kuuleta huku pia NCHABHILONDAA
Angalia Bei wakati wa kikwete katika bidhaa Kama sukari , cement na bati Kisha njoo fananisha Bei za bidhaa hizo wakati wa JPM utagundua bidhaa zingine zilipanda double kabisa , ila tatizo watu enzi za JPM mliweka ushabiki mkaacha ukweli Nsennah nafikiri upuuzi wa kujifanya hamkuona mfumuko wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.