Unexpected environments Ni mbya mno na huku umeshaanza kuvimba fensi kubwa gari ghafula unarudi naseri Ila always in life expect unexpectedYaani nimejikuta nataka kutoa chozi as if ni mhusika mwenyewe. If it's a true story I can't imagine how the situation became after receiving a letter from mtu mbaya manager wake.
Madamu anamponza tolu anajikutwa amefukuzwa kazin kwa kuonekana maeneo tofaut tofaut na madamSEHEMU INAYOFUATA...................
Tunahitaji uhuru zaidi pengine kuliko amani, amani kila sehemu ipo, hata jela na magereza katili duniani Kuna amani.
Ndiyo, amani ipo si wafungwa wanalindwa? Tena na mitutu ya bunduki kuhakikisha mfungwa anatumikia kifungo Chake Hadi muda wake utakapofikia Lakini hawana uhuru kwani hawawezi kujiamulia chochote kwao kila kitu ni amri
Lakini pia uhuru ukizidi huwa Kuna madhara yanayoweza kusababisha kuvurugika kwa amani.
Sasa endelea..................
Nilitoka ofisini siku hiyo nikiwa na furaha isiyoelezeka nikiwaza zaidi kuhusu safari ya kwenda USA, nimeshafika nchi jirani zilizo kwenye maziwa makuu nyingi tu, lakini bado huwa sijihesabu kama nilitoka nje ya nchi lakini muda huo nilikuwa naenda kuandika historia nyingine.
Tukiwa na Rose tumekaa huku tukitaniana mambo mbalimbali, nilijikuta naropoka kile nilichokisikia ofisini, laiti ningelijua kuwa neno tetesi mtu unapaswa ulisikilize kwa sikio la tatu............
Mmmh honey, nitakumisi sana kwa siku ambazo hatutaonana, yaani nashindwa hata nitaishije maana tatizo si kukupenda Bali mazoea, Kila mwanadamu ana upekee hapa Duniani ambao haufanani na yeyote yule , hivyo nikiri kuwa amani , na furaha nayoipata nikiwa na wewe sijui nisemeje,
Una fahamu kama nimevunja ratiba wiki hii nikajikuta nabadili ratiba ya kuingia kazini kwasababu yako.
Haya yalikuwa maneno toka kwenye kinywa Cha Mrembo Rose huku akionesha hajiwezi kabisa kwangu.
Mimi naona nikuache my, kwani Kuna ratiba nyingi bado sijakamilisha hivyo naomba tu niwahi, nilimuaga Rose.
My naomba nikwambie kitu, kwanza hujaniambia unasafiri lini, lakini pia Nina shida my,maana Sina namna lazima nikwambie. aliongea kwa unyonge.
Hakuna shida,sikia hupaswi kunificha kitu , kama Kuna mahali panasumbua weka mada mezani tuichambue, kuwa huru Mimi ni wako. nikiongea huku nikirudi kukaa kwenye kiti.
Kuhusu safari ni siku kumi mbele kuanzia leo,Anza kuhesabu. niliongea kwa mbwembwe sana.
Nadhani itakuwa tarehe 20 siyo? aliuliza Rose.
Yes, Kila kitu kipo sawa. nilijibu
Ok Mimi shida yangu naomba uniazime kiasi fulani cha pesa, maana kuna mahali nimekwama sana,nitakulipa mwisho wa mwezi huu, Sina mwingine wa kumwambia shida yangu, kama unavyojua si Kila mtu utamwambia shida yako,wapo wafanyakazi wenzangu wanaweza kabisa kunitatulia hii shida lakini naogopa kutangaziana maana mtu mwingine akisha kukopesha basi utaanikwa mji mzima utajua unadaiwa.aliweka kituo.
(Nikiwa na hofu) ulikuwa unataka kiasi gani baby. niliuliza
Ni milioni moja, na kama hauna hiyo,hata laki tano ingenitosha ningekuwa nimepata kianzio. aliongea akiwa hanitazami usoni maana Kuna kitu tayari alijua kashalipua.
Sawa, ni kweli Mimi mwenyewe Sina kitu kabisaaaa hata kiakiba nilichokuwa nacho Kuna ujenzi ulikuwa unaendelea pale home hivyo, Sasa hivi nimebaki mtupu, kama unavyosema unasubiri mwisho wa mwezi hata Mimi ni hivyo hivyo.
Sema Nini hakuna shida, nyumbani Nina laki tatu, kama laki tatu, sijui inaweza kukusaidia? niliuliza huku mapigo ya moyo yakinienda mbio maana hata hiyo kilo tatu haikuwa ndogo.
My kwanza nikushukuru kwa kunijali lakini pia hicho kiasi si kidogo natambua kuwa una familia tofauti na Mimi bado utakuwa umenisaidia sana.aliongea huku tukikumbatiana na kuagana. akaingia kwenye gari lake huyoooo akapotea.
Rose ni mwanamke ambaye nilimpenda sana , Nina sababu tatu kuu zilifanya nimpende....
Kwanza,
ni mwanamke mzuri na mrembo sana ambapo mwanaume asiyekuwa na matatizo ya kiafya lazima, ajikute anadata.
Pili
Ana kazi yake, ni Daktari mkubwa tu, pia ana duka lake la madawa, hivyo naamini masuala madogo madogo hayampigi chenga yule mwanamama , alikuwa vizuri. na aliwahi kunihakikishia kuwa penzi letu halitonigeshwa na pesa hivyo nikaamini ni moja ya wanawake ambao sitotumia gharama sana.
Tatu na mwisho
Rose alikuwa ananiheshimu familia yangu, ni ngumu sana kukuta anakupigiapigia au kutuma sms.Rose alikuwa mchepuko 3D,kila mkikutana lazima aulizie dada hajambo (akimaanisha mke wangu) tena akiwa hatanii.
Hakika nilimpenda ila mzinga alionipiga siku Ile sikumpatia maana.
Nilifika nyumbani na kuikuta familia ikiwa safi nikamwita mke wangu nikamweleza kuhusu taarifa mpya ya safari, mke wangu alishangaa huku akishindwa afurahi au ahuzunike lakini yote kwa yote alinitakia safari njema na yenye mafanikio.
Asubuhi kulikucha nikachukua kiasi Cha pesa kwaajili ya kukamilisha Ahadi ya Rose. huku moyo wangu ukiwa haujaridhika kabisa
Nilifika ofisini nikatulia huku nikiwaza na kuwazua,
Mtu mwenyewe sijamfaidi kivile, Kila tunapokutana tunatumia mipira, kwa siku ya kwanza nilijua labda kwakuwa hatufahamiani, lakini bado Kuna kitu kwangu hakijaa Kaa sawa, wakati nikiwa nimemtengenezea gari wakati tukitest tulijikuta tupo logde ni Mimi nilimuamrisha aelekee huko nikatimize azma yangu.
Lakini baada ya kufika kule, alikuwa na condoms kwenye mkoba wake, tukazitumia tatu, sikumuuliza kwanini anatembea na vitu vile, pia siku kadhaa tulipima afya zetu tukajikuta tuko poa wote, lakini bado Kila mkikutana anahimiza mipira kwanini?
Ukiuliza utasikia ooh ujue Kuna magonjwa mengi yanayoambukiza tatizo watu tumekariri zinaa na ukimwi tu. nilifikiria sana nikajikuta naanza kumfikiria vibaya,.
Nikatoka huku nikimwendea wakala mmoja aliye karibu kwaajili ya kukamilisha muamala.
Baada ya kupokea kile kiasi Rose alinishukuru sana. Lakini tayari kitendo Cha kutuma miatatu asubuhi asubuhi kilinifikirisha sana hasa kwa mtu ambaye simuelewi elewi.
Nilipiga kazi siku hiyo huku niliongeza uaminifu ili dili la kwenda ughaibuni lisiyeyuke, lakini Kuna kitu sikukielewa toka kwa mfanyakazi mwenzangu ambaye ni mdogo wake Rose, tofauti na siku zote leo alikuwa mnyonge sana huku akiniuliza maswali ambayo sikuyaelewa .
Hivi Mr Daniel, una watoto wangapi vile? aliuliza.
Ndiyo kwanza wawili, vipi mdogo wangu mbona umeuliza hivyo.
Hamna ni kutaka kujua tu, lakini pia una biashara au mradi gani tofauti na kazi yako hii?aliuliza tena huku safari hii nikishindwa kujua ana maana gani.
Mmmh kiukweli niwe muwazi, Sina biashara bado japo Nina huo mpango , nitafanya hivyo. nilimjibu.
Mdogo wangu mbona Leo unaniuliza haya maswali imekuwaje? huku nikimwangalia kwa umakini
Mr Daniel bwana, kwani nimekosea, na kama nimekukwaza nisamehe? alijitetea
Walaaa! Hujanikwaza mbona kawaida tu aulizae anataka kujua. Niliongea huku nikijichangamsha,tukaendelea na kazi huku nikiwa namsoma yule Binti na kukuta bado anaonekana hayuko sawa.
Siku ziliisha, huku siku za kusafiri zikiwa zimebaki tano kwa mujibu wa mahesabu yangu, nakumbuka siku hiyo Rose alinipigia simu kutaka tuonane, ni kweli baada ya kuonana mazungumzo yalikuwa hivi....
Mbona juujuu hivyo baby vipi, niliuliza huku nikishangaa ameniita sehemu siyo kabisa tunawezaje kuongea.
Usijali baby kutokana na pilika za watu kuwa nyingi hebu ingia kwenye gari Nina mazungumzo na wewe. Alisema Rose siyo kwa kudeka kama nilivyomzoea ile ilikuwa sauti asilia.
Nina maswali kadhaa juu yako baby, ujue kadri siku zinavyokwenda ndivyo watu wanavyofahamiana kiurahisi. alizungumza rose Mara tu baada ya kuingia kwenye gari lake.
Ndugu msomaji,
Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza, wahenga hawakukosea.
Sasa endelea.......
Ujue baby kwa Elimu yako uliyo nayo, kama ni kweli, maana nasema kama ni kweli kwakuwa sijaona vyeti vyako,
Sasa kwa Elimu yako, kwanini usitafute kazi serikalini, yaani mwenzio nilivyo sijui nipoje yaani najikuta mtumwa siwezi kufanya kazi kwenye kituo Cha afya au hospital ya ambayo ni ya mtu binafsi sijui kwanini, ila ni mtazamo wangu tu,
(Nilidakia)
Bado sijajua una maana gani mpenzi wangu. Niliuliza
Namaanisha jaribu kutafuta kazi serikalini. alijibu kwa kifupi.
Lakini pia baby una uhakika hiyo safari yako ipo kweli? alizidisha maswali
Hapa kiukweli moyo uliniuma sana nikawa naunganisha matukio baada ya kugundua Kuna jambo Mimi nafichwa, maana mdogo wake na Rose ni kama Kuna kitu anakijua Leo hii dada mtu anauliza na kutoa ushauri wa kusema eti nitafute kazi, kwani kazi si kazi tu, kwani ni lazima niwe serikalini, mbona hata hizi kampuni binafsi zinafanya kazi chini ya miongozo ya serikali, yaani hakuna utofauti wowote,.
Daniel, alinishtua Rose huku akiniita kwa jina langu na si baby,
Naam, hebu nambie kwanini umeuliza uhakika wa safari yangu unahisi nimekuongopea? nilihoji
Hapana nilitaka kujua tu, maana Kuna barua mnapewa kwa wale selectors yaani mliokusudiwa, lakini Kuna email mtu unatumiwa ili upewe vigezo na masharti. Sasa sijui wewe taarifa umepewa kwa namna Gani? aliuliza
Nikagundua Kuna vitu Rose anavijua kuliko Mimi, lakini pia ni kweli mbona hii taarifa haina nguvu yaani haizagai kama ambavyo taarifa kama hii huenea na kukua hadi pale siku rasmi itakapofika? Nilishanote kitu hakika niliwaza sana.
Asubuhi nilikuja ofisini huku nikiikuta kuwa nahitajika kwa general manager ambaye kwanza alisafiri na sijui atarudi lini. Ikabidi nipandishe ngazi kuelekea ofisini kwake , nikakuta anaongea na simu ya mezani.
Aliniashiria nikae huku wasaidizi wake wakiwa bize kwenye computer zao hata salamu hawakujibu,.
Enhee nani vile wewe unaitwa (nikataja full name)
Sasa bwana Daniel kampuni ilikupenda, ilikuamini na ikakupa nafasi nzuri, ila nasikitika kuwa mzee ambaye ndiye mkurugenzi wa kampuni hii ametoa maagizo kuwa anakusimamisha kazi kwa muda usiojulikana. aliongea yule meneja huku akiwa serious
Yaani kiufupi umefukuzwa kazi, na barua yako ni hii, alidakia Binti mmoja ambaye alikuwa kwenye kona, huku meneja akitingisha kichwa kuonesha kukubaliana naye.
Jamani mimi sipingi kufukuzwa kazi, ila naomba kujua Nina kosa gani?
Niliuliza
Wewe hiyo barua niliyokupa nenda kaisome kila jibu la swali lako lipo humo. au njoo usijesema sisi tumekufanyia majungu bure.
Nilisogea huku akinionesha email fulani kutoka kwa Taita yaani mkurugenzi anayeishi SA nikasoma nikaridhika huku nikiwa nimeshapata majibu kuwa Madam kaniponza. Nilirudi ofisini kwangu nilitulia huku nikisomasoma na kuirudia ile barua ambapo sababu kuu ilikuwa ni kuonekana nikiwa na MADAM sehemu tofauti tofauti jambo lililotafsiriwa vibaya.
Nilijikuta nadondosha machozi, maana nawezaje kuishi bila kazi, akasimama yule Binti aliniangalia Kisha akatoka nje, hakika nililia hasa baada ya kugundua kuwa baadhi ya watu wanajua akiwemo yule Binti ambaye tupo ofisi moja na ndiye ambaye atakuwa kamwambia dada yake Rose. Sikuwa na namna licha ya barua kueleza kuwa stahiki zako zote utalipwa lakini nikajiuliza itakuwa
ni bei gani wakati hata mwaka sijamaliza maskini.
Kweli ng'ombe wa masikini hazai na hata akizaa huzaa dume, safari ya kuelekea kwenye taifa lenye nguvu la USA likiongozwa na Obama ilibaki ndoto tu.
Nilijikuta najihurumia kwani Kuna ndoto nyingi sijazitimiza bado.
Nilishika njia ya kurudi nyumbani huku nikitafuta daladala ambazo kwa muda ule hakukuwa na foleni hali iliyopelekea kufika nyumbani mapema, nilipokelewa na mke wangu ambaye alikuwa anafua pale nje, huku dada wa kazi akiwa kampakata mwanangu.huku nikijitahidi kuficha hali yangu isijulikane
Hee mume wangu, mbona Leo mapema Kuna nini, au mmepewa nafasi kujiandaa kwaajili ya safari nini
Maana ninavyojua, hata siamini siku utarudi Ukiwa na surprise gani, maana ninavyokujua mume wangu, aliongea mke wangu Huku akichukua vibanio vya nguo ili kuzibana nguo zisianguke.
Maneno yake yalinichoma nikajikuta nataka kulia, ikabidi niingie ndani.
Itaendelea......................
Ndugu wasomaji na wafuatiliaji wa mkasa huu, naomba niwaombe radhi kwa kuwacheleweshea stori isije kwa wakati lakini pia msichoke kwani ipo ukingoni.
Lakini pia hii haihitaji malipo Wala haitahamishiwa Telegram ila nimeamua kushare na wanajamvi ili tuburudike, tujifunze.
Mchana mwema.




Nahisi mtu wa pili mbaya kwa tolu ni yule muhindi dereva madamMadamu anamponza tolu anajikutwa amefukuzwa kazin kwa kuonekana maeneo tofaut tofaut na madam
Tolu ana 10m je atafanya biashara au ataendelea kutafuta kazi
Vip ester kwa sasa anaonekana maisha yake si haba vip atamsaidiaje tolu? Madam je
Hii kitu ni yamoto vibaya mno![]()
Tupo wanawake bwana😇😇Rose ashakua fala tu kwangu.
Sema nini Tolu kwenye hiyo tabia ya kubana pesa nimekukubali sana...Bigup.
Tukio la kufukuzwa kazi limegusa sana moyo wangu na nimerudisha kumbukumbu miaka michache nyuma nilipoamua kutema kazi baada ya kuona nimeshategwa kona zote na ilikua suala la muda tu wananitemeshe nikawawahi...
Niliteseka sana lakin leo hii nikiangalia nyuma naishiaga kusema Mungu si Athuman abadani....
Hakuna mwanamke anakupenda usipokua na pesa.Hayupooo
Pole sana sana
Nice SanaSEHEMU INAYOFUATA...........
Niliingia ndani nikatulia huku nikikaa na kujiinamia,
mume wangu vipi naona kama haupo sawa vipi Kuna shida gani?Mimi ni mkeo kama Kuna jambo usinifiche. aliongea mke wangu akiwa kashika kiuno akisubiri majibu.
Kusema ukweli sikupanga kumwambia mke wangu niliona ni mapema mno, nilimwangalia vile alivyojifunga mavitenge huku nikiangalia miguu ilivyochafuka kwaajili ya maji na vumbi za pale nje huku nikijivunia kuwa na wife material, nilimuwaza mke wangu jinsi alivyokuwa ananishauri vitu vingi halafu nikawa nampuuzia nilimuhurumia sana.
Hivi kwani mume wangu upoje dakika 5 nzima nimesimama nasubiri majibu chaajabu unanipandisha na kunishusha, sawa ukijisikia utaniambia, lakini nikwambie tu kuwa fundi aliyemalizia ujenzi hapa anasema hela yake vipi, Ina maana umesahau. Niko nje Mimi Nina kazi chungu mzima. alisema mke wangu Huku akitoka nje.
Niliwaza kitu nikaona nimpigie madam au nikaushe tu lakini hata hivyo haitasaidia kukaa kimya lazima nitampigia. Ina maana kuanzia kesho Tena naanza kutembea na handbag kutafuta kazi jamani watu waliniombea, nikaenda Hadi kwa mganga lakini wapi kweli kisicho riziki hakiliki asilani,.
Niliikumbuka ofisi ile jinsi nilivyokuwa naongea na wakubwa huku nikizunguka kwenye kiti, wakiniona msomi na mtu wa maana huku baadhi nikikataa rushwa zao, na pesa nyingi lengo niwe muaminifu kwenye kampuni ambayo Leo imeamua kunifukuza kazi bila kosa lolote, hivi wanadhani kuongea na madamu nilikuwa namtongoza , aisee MUNGU naomba unisaidie bado Nina maisha magumu na watoto ni wadogo hawa nilijikuta naongea peke yangu.
Wewe baba Jack nakujua vizuri, wewe una tatizo, Tena una tatizo haswaaa kuendelea kunificha ni kuzidisha matatizo Sasa Mimi sitaki mtu aje achukue maamuzi magumu nisiyoyajua, naenda kwa mjumbe nikamwambie kuwa una shida na hutaki kuniambia. aliongea mke wangu akitaka kuondoka.
Nikamshika mkono. Tulia mke wangu, matatizo yangu siyo Kila mtu ajue usiwe na haraka, nitakwambia tu wewe ndiyo mke wangu, nikiwa mdogo kila kitu nilikuwa nawaambia wazazi, lakini nilikua na wazazi wakaridhika kuwa Nina uwezo wa kujitegemea, hata nilipowaambia kuwa nataka kuoa hawakusita Wala kuguna walitambua kuwa Nina uwezo wa kuishi na mwanamke.
Hivyo wakatoa baraka zao.
Walibariki utengano wetu Kati ya Mimi na wao wakijua fika naenda kutengeneza familia Kati ya Mimi na mke wangu, unajua Kuna Siri zangu nyingi unazijua na wazazi hawazijui? Niliuliza
Akaitikia kwa kutingisha kichwa.
Hivyo hakuna kuwapigia wazazi Wala kumwambia jirani
Haya ni mambo madogo yametokea hivyo tutasolve wenyewe hakuna shida, nenda kaendelee na kazi zako nitakwambia tu usijali mke wangu.
Mmmhh, sawa baba, aliitikia kinyonge.
Nilichukua simu nimpigie MADAM, sikutaka kuvunga tena kwanza kama kazi nishatimuliwa sina cha kupoteza.
Simu ilipokelewa..
Hello tolu niambie, naona huna lingine zaidi ya kuniambia umeachishwa kazi. ni madam aliongea bila hata salamu.
Ni kweli madam, nasikitika kwa yaliyotokea, nilisoma barua eti inaonesha kwanini Mimi na wewe tulikuwa tukikutana kwani Kuna kosa kukutana na wewe. Niliuliza
Tolu naamini barua umeisoma vizuri kabisa, na unajua maamuzi yametoka wapi, najua suala linakuumiza kwakuwa hujawahi kunitongoza kama wambea walivyokuripoti kwa boss, lakini yote kwa yote kauli imetoka kwa mtu aliyeko juu zaidi Tena huwezi amini hata Mimi Niko kwenye wakati mgumu, hivyo kwa kufupisha stori Sina Cha kukusaidia, wewe una elimu nzuri tu huwezi kukosa kazi si lazima ufanye kazi na sisi,
Na nikuombe kitu baba ni marufuku kunipigia simu kuanzia Leo usije kuniweka kwenye matatizo zaidi watu wakazidi kuamini, kwamba nilikuwa na mahusiano na wewe tena shukuru MUNGU wamekuona ni kifaranga tu
Akakata simu.
Mapigo ya moyo yalienda mrama maana sikutegemea mawazo yale, nikaona Haina shida ngoja nimtafute Rose mpenzi wangu. Nikatoka nje nikawa nje ya ile fence yangu mpya nikawa nazungusha macho huku nikiwa sielewi naangalia Nini.Simu ikiwa sikioni.lakini licha ya kupiga Mara kadhaa simu haikupokelewa, nikakata tamaa,
Imani yangu kwa Rose haikuwa kwenye mapenzi, bali nilitaka nimweleze ukweli kuhusu mie kufukuzwa kazi , hasa kwakuwa anajua halafu anaonekana yupo karibu na watu wazito wazito maana tukiwa kwenye maongezi yetu huwa nagundua anajua mambo mengi.
Nikiwa kwenye lindi la mawazo simu iliita mpigaji ni Rose, nilitoka nje fasta fasta huku nikienda mbali zaidi ili niwe huru kuzungumza.
Nikapokea...
Nambie mpenzi wangu,
Salama na niko poa sana tu, samahani simu ilikuwa mbali sikuisikia, nambie . aliongea kwa sauti ya uchangamfu
Sina cha kukwambia zaidi ya kusema Sina kazi mpenzi wangu, niliongea kwa huzuni.
Pole sana my najua jinsi gani unaumia, ila usijali ni mambo ya kupita tu hayo utapata kazi baby usijali, lakini na wewe kwanini utembee na mke wa boss wako, ujue utakuja kufa, yaani mtu mzito kama yule utembee na mke wake, kweli? wewe sikuwezi baba. Aliweka kituo
Nikajikuta nashindwa kumjibu maana aliongea kitu ambacho sijawahi kufanya maishani.
Tena mpenzi wangu nikwambie Kuna taarifa nilipata si nzuri kwamba walipanga wakupoteze sema wakagundua kuwa hakuna uhakika wa asilimia nyingi kuwa umetembea naye wakapanga tu waku black list,pole sana Dani wangu.
aliongea akionesha hajashtuka maana tayari alikuwa anajua mambo mengi.
Baby naapa viapo vyote, sijawahi kumtamkia yule madam jambo linalohusu mapenzi ila nilikuwa karibu naye kwa mambo mengine tu, halafu mpenzi wangu, kwanini mlinificha baadhi ya mambo kumbe mlikuwa mnajua mnanichora tu. niliongea kwa uchungu.
Yaliyotokea yametokea unatakiwa umshukuru MUNGU kwa Kila jambo Kisha utainuka Tena, sema Nini naomba uniache nitafute kesho Kuna jambo tutazungumza usijali sana. usijali. alimalizia Rose.
Sikuona Cha maana alichokitamka Rose nikakata simu nikarudi ndani. Pamoja na yote sikutaka mke wangu ajue lile suala nilipanga kumuongopea kivingine ili mradi tu hata akiniona nyumbani ajue ni harakati za kawaida tu.
Nilimuita mke wangu, akaja haraka maana muda wote alikuwa na shauku ya kujua jambo,
Mke wangu, usione nimekuja kwa unyonge hapa ni kwamba kule ofisini kwetu kumetokea matatizo hivyo wafanyakazi wote tumesimamishwa ili kupisha wamalize matatizo yao,
Mume wangu hayo matatizo hayakuhusu na wewe kweli maana nishachoka kusikia Mara oooh Kuna vitu vimeibiwa, Mara nini. Alihoji mke wangu
Hapana, ni matatizo ya matajiri wenyewe yaani huenda Wana matatizo na serikali hivyo , tumesimamishwa Hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. nilimdanganya akaamini.
Afadhali baba maana nikajua yale yaleeee, safari hii tungerudi mkoani tukalime maana kama mji unakuwa umekushinda. aliongea mke wangu Huku akionekana kashusha Presha
Nilifurahi kumuona akiwa vile maana sikupenda hali nayopitia ajue, namjua angekuwa kwenye wakati mgumu kuliko Mimi.
Wanaume tumeumbwa mateso, kama kazi Sina kukaa ñdani kuanza kufikiria mengine Wala haisaidii nikawaza kesho asubuhi naenda maeneo ya mjini. naenda kubahatisha mambo huko huku kubwa zaidi nikilenga kutafuta kijieneo Cha biashara.
Simu yangu iliita,ilikuwa mida ya saa kumi kuangalia jina ni yule Binti ambaye nilikuwa naye ofisi moja, yaani mdogo wake Rose, nikaipokea simu
Niambie mdogo wangu, vipi kwema. niliongea kwa sauti ya uchangamfu ili asijue situation nayopitia.
Mr Daniel, kweli umeondoka umeniacha, lakini sikia tumeongea na baadhi ya wanasheria wa kampuni wanasema bado una nafasi ya kujitetea, kwanza hakuna mahali uliposaini kwamba unaacha kazi kwahiyo bado una nafasi Mr tafadhali usiwe na hasira kaka yangu Kaa ukijua kuwa bosi hanuniwi wewe mpigie simu mwambie ukweli naamini atakuelewa, kupitia simu ya yule Binti nilipata kuongea na wafanyakazi wenzangu wapatao wanne nikajua kuwa walikuwa kikundi .
Nilichowajibu ni kwamba kosa langu ni kubwa zaidi Kuna mtu akikufukuza waweza omba msamaha, lakini kwa kosa langu ni kama nitakuwa naamsha hasira zao tu.
Wote walinielewa huku wakionesha masikitiko makubwa, kama ilikuwa ni kweli MUNGU awabariki kama ilikuwa masikitiko ya kinafiki Mimi sijui, nilikata simu huku nikijitahidi kusahau ile kampuni na habari zake ,
Ndugu msomaji
Kujikumbusha ofisi na kazi yako yenye mshahara mzuri , maumivu yake hayaelezeki
Mume wangu, kesho ndiyo ile siku ya msaada niliyombiwa na akina ESTA , Sasa hapa najiuliza sijui niende au nisiende. ni mke wangu alivunja ukimya Mara baada ya kupata dinner.
Wewe nenda mke wangu, tena jambo lako liweke kwenye ratiba zako kabisa. niliongea kwa msisitizo.
Kesho asubuhi na mapema nilikuwa maeneo ya mjini nikiwa na washikaji fulani tukishauriana jambo, wakinipa madili ya biashara ya mbao, namna wanavyofuata mzigo huko kusini na kuja kuchana hapa mjini, Kila nikifikiria ile biashara na mlolongo niliopewa naiona ngumu.
Lakini nilipiga moyo konde, nilirudi jioni sana huku nikishauriana na mke wangu mambo fulani, huku kukiwa na mafurushi ya zawadi walizopewa huko ikiwemo cherehani mpya.
Unaona Sasa mke wangu ulitaka usite kwenda huoni Kuna mashine hii , yaani hii ukivurugwa unapiga bei unapata hela ya kukusogeza siku mbili tatu.niliongea kiutani
Wewe nani auze hata kama sijui kushona vizuri, nakwambia hii itanishawishi nitahakikisha nakuwa bonge la Designer. sema nini mume wangu Mimi nakuona umenyongea kana kwamba wewe ndiye boss wa kampuni, changamka basi. aliongea mke wangu.
Kesho asubuhi niliamka nikawa nafanya kazi pale home, Mara nikusanye mchanga niweke hapa, Mara nihamishe tofali ili kuji keep busy nisiwe na mawazo.Sms hewa iliingia kwenye simu, niliangalia inatoka kwa Rose. Ikabidi niangalie hali ya usalama nikaona ni shwari nikampigia.
Naomba uje nyumbani kwetu, baba anakuhitaji, ni vyema ukabeba na Documents zako na vyeti vyako, aliongea haraka haraka na kukata simu. Kwao ilikuwa mbali kidogo lakini nilihakikisha nafika ili nijue Kuna shida gani.
Nilimuaga mke wangu Huku nikishikilia mkoba wangu vyema nikatafuta usafiri wenye kunifikisha nyumbani kwa akina Rose.
Karibu mgeni, nilikaribishwa na Rose ambapo alikuwa kwenye vazi la kiislamu hata sijui aliwaza nini kuvaa vile, nikaingia ndani huku nikimtambua haraka mama yake Rose kwani walifanana sana .
Nilimwakia yule mama ambaye niligundua ni mkarimu sana tu,
Mama huyu anaitwa Daniel, nilikwambia Mimi ukanibishia , waliangaliana wakacheka, nikashindwa kujua kwani mama mtu alimbishia Nini mwanaye,.
Karibu sana baba, hapa ndiyo nyumbani kwaakina Rose , na huyu Rose tunaye hapa maana kuolewa hataki eti hakuna wanaume. aliongea huku akimtazama Rose wakacheka huku wakigongana mikono. Nilichogundua ni kwamba Rose na mama yake wanaishi kwa masihara sana, kama mbele za wageni ndiyo vile je wakiwa wenyewe?
Baadaye alikuja pale sebuleni mzee fulani ambaye alikuwa akitembea upande ikionesha mguu mmoja ni mfupi sijui ni ajali sijui alizaliwa vile sikuuliza,.
Habari yako Daniel, alinisalimia yule mzee huku nikishangaa kanijuaje au kwakuwa aliambiwa nitakuja?
(Akicheka)najua unashangaa nimekujuaje, ila ni kwamba Mimi nakujua, nakujua kivipi, Kuna barabara fulani ilijengwa chini ya kiwango yaani geji ya kifusi ikiwa nyembamba, basi tulilalamika kwa kwa wakala wa barabara za vijijini wakatwambia , siku mkiwaona muwaambie ukweli kwakuwa bado mlikuwa mnaendelea na kazi.
Sasa basi Kuna korongo katika njia za shamba ilibidi wamwage kwanza mawe Kisha waweke kifusi, lakini wale maoperator walikataa huku HR akituporomoshea matusi, tukagundua harufu ya rushwa na upigaji kwa mkandarasi yaani boss wako, Sasa kwanini nakukumbuka,
Ni kwamba wewe ulikuja siku ya pili tukiwa tumekata tamaa tulivyokueleza namna inavyotakiwa pawe ulituelewa , Kisha ukaagiza tipper zianze kumwaga mawe, hakika ulinifurahisha sana, maana pale kifusi bila mawe ilikuwa kazi bure maana kipindi cha masika maji yanaondoka na kifusi chote. aliweka kituo
Sasa mzee wangu wewe unaishi mjini kwanini ulikuwa unaipigania ile barabara? Niliuliza maana nakumbuka ile rough road inaingia vijijini huko ndani ndani.
Ni kweli mwanangu una haki ya kuuliza ila ni kwamba Mimi huko nafuga na nalima hivyo kahela kangu ka kustaafu niliweka huko. aliongea tukacheka.
Sasa mwanangu nimekuita kwasababu moja, leo nilimsikia Binti yangu akiongea na simu huku akitaja jina lako,Mimi nikajua labda watu wake tu Sasa baada ya kusikia neno kufukuzwa kazi, ikabidi nimuulize ni nani huyo?
Ndipo akanifahamisha nikawaambia kama ni huyo kijana Mimi namfahamu aliwahi kufanya kazi kampuni ya (akiitaja ile ya kwanza)
Lakini Rose akanibishia kuwa si wewe ikabidi nitaje wajihi wako.
Nikawaambia ni mrefu na anapenda kufuga nywele, hapo hawakubisha japo huyu mama yako ndiyo kwanza anakuona. aliweka kituo baba yake Rose ni mzee muongeaji sana.
Nilichokuitia ni suala la wewe kufukuzwa kazi, nimeamua kukutoa hofu.....
Nilikwambiaje Rose, (akimuuliza Binti yake)
Uliniambia kama ni yule kijana Mimi nitampeleka shirika la(jina kapuni) alijibu Rose huku nikishangaa ile familia ilivyo na utani hadi raha .
Basi kijana kazi umepata we kajiandae tu muda wowote nakupeleka Mimi mwenyewe, huwezi kufukuzwa kwa kosa kama lile ambalo haliingii akilini , nikashangaa Hadi kosa lishakulikana,huku nikimuona Rose kama hajapenda uongeaji wa baba yake .
alisema yule mzee ambaye anaonekana ni wale wazee wa mjini, mjanja mjanja hivi.
Hakika nilifurahi sana kwani ni shirika la kiserikali lililosheheni wanasiasa, na vigogo wengi tu, nikaona kama naota, nilimshukuru sana yule mzee kwa uungwana wake huku nikiwa nishapanua wigo wa kujuana na watu.
Alamski.
Itaendelea.................
kiongoziKatika swala la uaminifu kazini kuna jambo kubwa la kujifunza hapoSEHEMU INAYOFUATA...........
Niliingia ndani nikatulia huku nikikaa na kujiinamia,
mume wangu vipi naona kama haupo sawa vipi Kuna shida gani?Mimi ni mkeo kama Kuna jambo usinifiche. aliongea mke wangu akiwa kashika kiuno akisubiri majibu.
Kusema ukweli sikupanga kumwambia mke wangu niliona ni mapema mno, nilimwangalia vile alivyojifunga mavitenge huku nikiangalia miguu ilivyochafuka kwaajili ya maji na vumbi za pale nje huku nikijivunia kuwa na wife material, nilimuwaza mke wangu jinsi alivyokuwa ananishauri vitu vingi halafu nikawa nampuuzia nilimuhurumia sana.
Hivi kwani mume wangu upoje dakika 5 nzima nimesimama nasubiri majibu chaajabu unanipandisha na kunishusha, sawa ukijisikia utaniambia, lakini nikwambie tu kuwa fundi aliyemalizia ujenzi hapa anasema hela yake vipi, Ina maana umesahau. Niko nje Mimi Nina kazi chungu mzima. alisema mke wangu Huku akitoka nje.
Niliwaza kitu nikaona nimpigie madam au nikaushe tu lakini hata hivyo haitasaidia kukaa kimya lazima nitampigia. Ina maana kuanzia kesho Tena naanza kutembea na handbag kutafuta kazi jamani watu waliniombea, nikaenda Hadi kwa mganga lakini wapi kweli kisicho riziki hakiliki asilani,.
Niliikumbuka ofisi ile jinsi nilivyokuwa naongea na wakubwa huku nikizunguka kwenye kiti, wakiniona msomi na mtu wa maana huku baadhi nikikataa rushwa zao, na pesa nyingi lengo niwe muaminifu kwenye kampuni ambayo Leo imeamua kunifukuza kazi bila kosa lolote, hivi wanadhani kuongea na madamu nilikuwa namtongoza , aisee MUNGU naomba unisaidie bado Nina maisha magumu na watoto ni wadogo hawa nilijikuta naongea peke yangu.
Wewe baba Jack nakujua vizuri, wewe una tatizo, Tena una tatizo haswaaa kuendelea kunificha ni kuzidisha matatizo Sasa Mimi sitaki mtu aje achukue maamuzi magumu nisiyoyajua, naenda kwa mjumbe nikamwambie kuwa una shida na hutaki kuniambia. aliongea mke wangu akitaka kuondoka.
Nikamshika mkono. Tulia mke wangu, matatizo yangu siyo Kila mtu ajue usiwe na haraka, nitakwambia tu wewe ndiyo mke wangu, nikiwa mdogo kila kitu nilikuwa nawaambia wazazi, lakini nilikua na wazazi wakaridhika kuwa Nina uwezo wa kujitegemea, hata nilipowaambia kuwa nataka kuoa hawakusita Wala kuguna walitambua kuwa Nina uwezo wa kuishi na mwanamke.
Hivyo wakatoa baraka zao.
Walibariki utengano wetu Kati ya Mimi na wao wakijua fika naenda kutengeneza familia Kati ya Mimi na mke wangu, unajua Kuna Siri zangu nyingi unazijua na wazazi hawazijui? Niliuliza
Akaitikia kwa kutingisha kichwa.
Hivyo hakuna kuwapigia wazazi Wala kumwambia jirani
Haya ni mambo madogo yametokea hivyo tutasolve wenyewe hakuna shida, nenda kaendelee na kazi zako nitakwambia tu usijali mke wangu.
Mmmhh, sawa baba, aliitikia kinyonge.
Nilichukua simu nimpigie MADAM, sikutaka kuvunga tena kwanza kama kazi nishatimuliwa sina cha kupoteza.
Simu ilipokelewa..
Hello tolu niambie, naona huna lingine zaidi ya kuniambia umeachishwa kazi. ni madam aliongea bila hata salamu.
Ni kweli madam, nasikitika kwa yaliyotokea, nilisoma barua eti inaonesha kwanini Mimi na wewe tulikuwa tukikutana kwani Kuna kosa kukutana na wewe. Niliuliza
Tolu naamini barua umeisoma vizuri kabisa, na unajua maamuzi yametoka wapi, najua suala linakuumiza kwakuwa hujawahi kunitongoza kama wambea walivyokuripoti kwa boss, lakini yote kwa yote kauli imetoka kwa mtu aliyeko juu zaidi Tena huwezi amini hata Mimi Niko kwenye wakati mgumu, hivyo kwa kufupisha stori Sina Cha kukusaidia, wewe una elimu nzuri tu huwezi kukosa kazi si lazima ufanye kazi na sisi,
Na nikuombe kitu baba ni marufuku kunipigia simu kuanzia Leo usije kuniweka kwenye matatizo zaidi watu wakazidi kuamini, kwamba nilikuwa na mahusiano na wewe tena shukuru MUNGU wamekuona ni kifaranga tu
Akakata simu.
Mapigo ya moyo yalienda mrama maana sikutegemea mawazo yale, nikaona Haina shida ngoja nimtafute Rose mpenzi wangu. Nikatoka nje nikawa nje ya ile fence yangu mpya nikawa nazungusha macho huku nikiwa sielewi naangalia Nini.Simu ikiwa sikioni.lakini licha ya kupiga Mara kadhaa simu haikupokelewa, nikakata tamaa,
Imani yangu kwa Rose haikuwa kwenye mapenzi, bali nilitaka nimweleze ukweli kuhusu mie kufukuzwa kazi , hasa kwakuwa anajua halafu anaonekana yupo karibu na watu wazito wazito maana tukiwa kwenye maongezi yetu huwa nagundua anajua mambo mengi.
Nikiwa kwenye lindi la mawazo simu iliita mpigaji ni Rose, nilitoka nje fasta fasta huku nikienda mbali zaidi ili niwe huru kuzungumza.
Nikapokea...
Nambie mpenzi wangu,
Salama na niko poa sana tu, samahani simu ilikuwa mbali sikuisikia, nambie . aliongea kwa sauti ya uchangamfu
Sina cha kukwambia zaidi ya kusema Sina kazi mpenzi wangu, niliongea kwa huzuni.
Pole sana my najua jinsi gani unaumia, ila usijali ni mambo ya kupita tu hayo utapata kazi baby usijali, lakini na wewe kwanini utembee na mke wa boss wako, ujue utakuja kufa, yaani mtu mzito kama yule utembee na mke wake, kweli? wewe sikuwezi baba. Aliweka kituo
Nikajikuta nashindwa kumjibu maana aliongea kitu ambacho sijawahi kufanya maishani.
Tena mpenzi wangu nikwambie Kuna taarifa nilipata si nzuri kwamba walipanga wakupoteze sema wakagundua kuwa hakuna uhakika wa asilimia nyingi kuwa umetembea naye wakapanga tu waku black list,pole sana Dani wangu.
aliongea akionesha hajashtuka maana tayari alikuwa anajua mambo mengi.
Baby naapa viapo vyote, sijawahi kumtamkia yule madam jambo linalohusu mapenzi ila nilikuwa karibu naye kwa mambo mengine tu, halafu mpenzi wangu, kwanini mlinificha baadhi ya mambo kumbe mlikuwa mnajua mnanichora tu. niliongea kwa uchungu.
Yaliyotokea yametokea unatakiwa umshukuru MUNGU kwa Kila jambo Kisha utainuka Tena, sema Nini naomba uniache nitafute kesho Kuna jambo tutazungumza usijali sana. usijali. alimalizia Rose.
Sikuona Cha maana alichokitamka Rose nikakata simu nikarudi ndani. Pamoja na yote sikutaka mke wangu ajue lile suala nilipanga kumuongopea kivingine ili mradi tu hata akiniona nyumbani ajue ni harakati za kawaida tu.
Nilimuita mke wangu, akaja haraka maana muda wote alikuwa na shauku ya kujua jambo,
Mke wangu, usione nimekuja kwa unyonge hapa ni kwamba kule ofisini kwetu kumetokea matatizo hivyo wafanyakazi wote tumesimamishwa ili kupisha wamalize matatizo yao,
Mume wangu hayo matatizo hayakuhusu na wewe kweli maana nishachoka kusikia Mara oooh Kuna vitu vimeibiwa, Mara nini. Alihoji mke wangu
Hapana, ni matatizo ya matajiri wenyewe yaani huenda Wana matatizo na serikali hivyo , tumesimamishwa Hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. nilimdanganya akaamini.
Afadhali baba maana nikajua yale yaleeee, safari hii tungerudi mkoani tukalime maana kama mji unakuwa umekushinda. aliongea mke wangu Huku akionekana kashusha Presha
Nilifurahi kumuona akiwa vile maana sikupenda hali nayopitia ajue, namjua angekuwa kwenye wakati mgumu kuliko Mimi.
Wanaume tumeumbwa mateso, kama kazi Sina kukaa ñdani kuanza kufikiria mengine Wala haisaidii nikawaza kesho asubuhi naenda maeneo ya mjini. naenda kubahatisha mambo huko huku kubwa zaidi nikilenga kutafuta kijieneo Cha biashara.
Simu yangu iliita,ilikuwa mida ya saa kumi kuangalia jina ni yule Binti ambaye nilikuwa naye ofisi moja, yaani mdogo wake Rose, nikaipokea simu
Niambie mdogo wangu, vipi kwema. niliongea kwa sauti ya uchangamfu ili asijue situation nayopitia.
Mr Daniel, kweli umeondoka umeniacha, lakini sikia tumeongea na baadhi ya wanasheria wa kampuni wanasema bado una nafasi ya kujitetea, kwanza hakuna mahali uliposaini kwamba unaacha kazi kwahiyo bado una nafasi Mr tafadhali usiwe na hasira kaka yangu Kaa ukijua kuwa bosi hanuniwi wewe mpigie simu mwambie ukweli naamini atakuelewa, kupitia simu ya yule Binti nilipata kuongea na wafanyakazi wenzangu wapatao wanne nikajua kuwa walikuwa kikundi .
Nilichowajibu ni kwamba kosa langu ni kubwa zaidi Kuna mtu akikufukuza waweza omba msamaha, lakini kwa kosa langu ni kama nitakuwa naamsha hasira zao tu.
Wote walinielewa huku wakionesha masikitiko makubwa, kama ilikuwa ni kweli MUNGU awabariki kama ilikuwa masikitiko ya kinafiki Mimi sijui, nilikata simu huku nikijitahidi kusahau ile kampuni na habari zake ,
Ndugu msomaji
Kujikumbusha ofisi na kazi yako yenye mshahara mzuri , maumivu yake hayaelezeki
Mume wangu, kesho ndiyo ile siku ya msaada niliyombiwa na akina ESTA , Sasa hapa najiuliza sijui niende au nisiende. ni mke wangu alivunja ukimya Mara baada ya kupata dinner.
Wewe nenda mke wangu, tena jambo lako liweke kwenye ratiba zako kabisa. niliongea kwa msisitizo.
Kesho asubuhi na mapema nilikuwa maeneo ya mjini nikiwa na washikaji fulani tukishauriana jambo, wakinipa madili ya biashara ya mbao, namna wanavyofuata mzigo huko kusini na kuja kuchana hapa mjini, Kila nikifikiria ile biashara na mlolongo niliopewa naiona ngumu.
Lakini nilipiga moyo konde, nilirudi jioni sana huku nikishauriana na mke wangu mambo fulani, huku kukiwa na mafurushi ya zawadi walizopewa huko ikiwemo cherehani mpya.
Unaona Sasa mke wangu ulitaka usite kwenda huoni Kuna mashine hii , yaani hii ukivurugwa unapiga bei unapata hela ya kukusogeza siku mbili tatu.niliongea kiutani
Wewe nani auze hata kama sijui kushona vizuri, nakwambia hii itanishawishi nitahakikisha nakuwa bonge la Designer. sema nini mume wangu Mimi nakuona umenyongea kana kwamba wewe ndiye boss wa kampuni, changamka basi. aliongea mke wangu.
Kesho asubuhi niliamka nikawa nafanya kazi pale home, Mara nikusanye mchanga niweke hapa, Mara nihamishe tofali ili kuji keep busy nisiwe na mawazo.Sms hewa iliingia kwenye simu, niliangalia inatoka kwa Rose. Ikabidi niangalie hali ya usalama nikaona ni shwari nikampigia.
Naomba uje nyumbani kwetu, baba anakuhitaji, ni vyema ukabeba na Documents zako na vyeti vyako, aliongea haraka haraka na kukata simu. Kwao ilikuwa mbali kidogo lakini nilihakikisha nafika ili nijue Kuna shida gani.
Nilimuaga mke wangu Huku nikishikilia mkoba wangu vyema nikatafuta usafiri wenye kunifikisha nyumbani kwa akina Rose.
Karibu mgeni, nilikaribishwa na Rose ambapo alikuwa kwenye vazi la kiislamu hata sijui aliwaza nini kuvaa vile, nikaingia ndani huku nikimtambua haraka mama yake Rose kwani walifanana sana .
Nilimwakia yule mama ambaye niligundua ni mkarimu sana tu,
Mama huyu anaitwa Daniel, nilikwambia Mimi ukanibishia , waliangaliana wakacheka, nikashindwa kujua kwani mama mtu alimbishia Nini mwanaye,.
Karibu sana baba, hapa ndiyo nyumbani kwaakina Rose , na huyu Rose tunaye hapa maana kuolewa hataki eti hakuna wanaume. aliongea huku akimtazama Rose wakacheka huku wakigongana mikono. Nilichogundua ni kwamba Rose na mama yake wanaishi kwa masihara sana, kama mbele za wageni ndiyo vile je wakiwa wenyewe?
Baadaye alikuja pale sebuleni mzee fulani ambaye alikuwa akitembea upande ikionesha mguu mmoja ni mfupi sijui ni ajali sijui alizaliwa vile sikuuliza,.
Habari yako Daniel, alinisalimia yule mzee huku nikishangaa kanijuaje au kwakuwa aliambiwa nitakuja?
(Akicheka)najua unashangaa nimekujuaje, ila ni kwamba Mimi nakujua, nakujua kivipi, Kuna barabara fulani ilijengwa chini ya kiwango yaani geji ya kifusi ikiwa nyembamba, basi tulilalamika kwa kwa wakala wa barabara za vijijini wakatwambia , siku mkiwaona muwaambie ukweli kwakuwa bado mlikuwa mnaendelea na kazi.
Sasa basi Kuna korongo katika njia za shamba ilibidi wamwage kwanza mawe Kisha waweke kifusi, lakini wale maoperator walikataa huku HR akituporomoshea matusi, tukagundua harufu ya rushwa na upigaji kwa mkandarasi yaani boss wako, Sasa kwanini nakukumbuka,
Ni kwamba wewe ulikuja siku ya pili tukiwa tumekata tamaa tulivyokueleza namna inavyotakiwa pawe ulituelewa , Kisha ukaagiza tipper zianze kumwaga mawe, hakika ulinifurahisha sana, maana pale kifusi bila mawe ilikuwa kazi bure maana kipindi cha masika maji yanaondoka na kifusi chote. aliweka kituo
Sasa mzee wangu wewe unaishi mjini kwanini ulikuwa unaipigania ile barabara? Niliuliza maana nakumbuka ile rough road inaingia vijijini huko ndani ndani.
Ni kweli mwanangu una haki ya kuuliza ila ni kwamba Mimi huko nafuga na nalima hivyo kahela kangu ka kustaafu niliweka huko. aliongea tukacheka.
Sasa mwanangu nimekuita kwasababu moja, leo nilimsikia Binti yangu akiongea na simu huku akitaja jina lako,Mimi nikajua labda watu wake tu Sasa baada ya kusikia neno kufukuzwa kazi, ikabidi nimuulize ni nani huyo?
Ndipo akanifahamisha nikawaambia kama ni huyo kijana Mimi namfahamu aliwahi kufanya kazi kampuni ya (akiitaja ile ya kwanza)
Lakini Rose akanibishia kuwa si wewe ikabidi nitaje wajihi wako.
Nikawaambia ni mrefu na anapenda kufuga nywele, hapo hawakubisha japo huyu mama yako ndiyo kwanza anakuona. aliweka kituo baba yake Rose ni mzee muongeaji sana.
Nilichokuitia ni suala la wewe kufukuzwa kazi, nimeamua kukutoa hofu.....
Nilikwambiaje Rose, (akimuuliza Binti yake)
Uliniambia kama ni yule kijana Mimi nitampeleka shirika la(jina kapuni) alijibu Rose huku nikishangaa ile familia ilivyo na utani hadi raha .
Basi kijana kazi umepata we kajiandae tu muda wowote nakupeleka Mimi mwenyewe, huwezi kufukuzwa kwa kosa kama lile ambalo haliingii akilini , nikashangaa Hadi kosa lishakulikana,huku nikimuona Rose kama hajapenda uongeaji wa baba yake .
alisema yule mzee ambaye anaonekana ni wale wazee wa mjini, mjanja mjanja hivi.
Hakika nilifurahi sana kwani ni shirika la kiserikali lililosheheni wanasiasa, na vigogo wengi tu, nikaona kama naota, nilimshukuru sana yule mzee kwa uungwana wake huku nikiwa nishapanua wigo wa kujuana na watu.
Alamski.
Itaendelea.................
Hongereni..... hao ni 1/2000. Mwanamke anatulizwa na pesa, ikikosekana pesa kwenye ndoa mwanamke si mwanamke.Tupo wanawake bwana![]()
Mlango mmoja umefunga,mwingine unakaribia kufunguka,duuu!!SEHEMU INAYOFUATA...........
Niliingia ndani nikatulia huku nikikaa na kujiinamia,
mume wangu vipi naona kama haupo sawa vipi Kuna shida gani?Mimi ni mkeo kama Kuna jambo usinifiche. aliongea mke wangu akiwa kashika kiuno akisubiri majibu.
Kusema ukweli sikupanga kumwambia mke wangu niliona ni mapema mno, nilimwangalia vile alivyojifunga mavitenge huku nikiangalia miguu ilivyochafuka kwaajili ya maji na vumbi za pale nje huku nikijivunia kuwa na wife material, nilimuwaza mke wangu jinsi alivyokuwa ananishauri vitu vingi halafu nikawa nampuuzia nilimuhurumia sana.
Hivi kwani mume wangu upoje dakika 5 nzima nimesimama nasubiri majibu chaajabu unanipandisha na kunishusha, sawa ukijisikia utaniambia, lakini nikwambie tu kuwa fundi aliyemalizia ujenzi hapa anasema hela yake vipi, Ina maana umesahau. Niko nje Mimi Nina kazi chungu mzima. alisema mke wangu Huku akitoka nje.
Niliwaza kitu nikaona nimpigie madam au nikaushe tu lakini hata hivyo haitasaidia kukaa kimya lazima nitampigia. Ina maana kuanzia kesho Tena naanza kutembea na handbag kutafuta kazi jamani watu waliniombea, nikaenda Hadi kwa mganga lakini wapi kweli kisicho riziki hakiliki asilani,.
Niliikumbuka ofisi ile jinsi nilivyokuwa naongea na wakubwa huku nikizunguka kwenye kiti, wakiniona msomi na mtu wa maana huku baadhi nikikataa rushwa zao, na pesa nyingi lengo niwe muaminifu kwenye kampuni ambayo Leo imeamua kunifukuza kazi bila kosa lolote, hivi wanadhani kuongea na madamu nilikuwa namtongoza , aisee MUNGU naomba unisaidie bado Nina maisha magumu na watoto ni wadogo hawa nilijikuta naongea peke yangu.
Wewe baba Jack nakujua vizuri, wewe una tatizo, Tena una tatizo haswaaa kuendelea kunificha ni kuzidisha matatizo Sasa Mimi sitaki mtu aje achukue maamuzi magumu nisiyoyajua, naenda kwa mjumbe nikamwambie kuwa una shida na hutaki kuniambia. aliongea mke wangu akitaka kuondoka.
Nikamshika mkono. Tulia mke wangu, matatizo yangu siyo Kila mtu ajue usiwe na haraka, nitakwambia tu wewe ndiyo mke wangu, nikiwa mdogo kila kitu nilikuwa nawaambia wazazi, lakini nilikua na wazazi wakaridhika kuwa Nina uwezo wa kujitegemea, hata nilipowaambia kuwa nataka kuoa hawakusita Wala kuguna walitambua kuwa Nina uwezo wa kuishi na mwanamke.
Hivyo wakatoa baraka zao.
Walibariki utengano wetu Kati ya Mimi na wao wakijua fika naenda kutengeneza familia Kati ya Mimi na mke wangu, unajua Kuna Siri zangu nyingi unazijua na wazazi hawazijui? Niliuliza
Akaitikia kwa kutingisha kichwa.
Hivyo hakuna kuwapigia wazazi Wala kumwambia jirani
Haya ni mambo madogo yametokea hivyo tutasolve wenyewe hakuna shida, nenda kaendelee na kazi zako nitakwambia tu usijali mke wangu.
Mmmhh, sawa baba, aliitikia kinyonge.
Nilichukua simu nimpigie MADAM, sikutaka kuvunga tena kwanza kama kazi nishatimuliwa sina cha kupoteza.
Simu ilipokelewa..
Hello tolu niambie, naona huna lingine zaidi ya kuniambia umeachishwa kazi. ni madam aliongea bila hata salamu.
Ni kweli madam, nasikitika kwa yaliyotokea, nilisoma barua eti inaonesha kwanini Mimi na wewe tulikuwa tukikutana kwani Kuna kosa kukutana na wewe. Niliuliza
Tolu naamini barua umeisoma vizuri kabisa, na unajua maamuzi yametoka wapi, najua suala linakuumiza kwakuwa hujawahi kunitongoza kama wambea walivyokuripoti kwa boss, lakini yote kwa yote kauli imetoka kwa mtu aliyeko juu zaidi Tena huwezi amini hata Mimi Niko kwenye wakati mgumu, hivyo kwa kufupisha stori Sina Cha kukusaidia, wewe una elimu nzuri tu huwezi kukosa kazi si lazima ufanye kazi na sisi,
Na nikuombe kitu baba ni marufuku kunipigia simu kuanzia Leo usije kuniweka kwenye matatizo zaidi watu wakazidi kuamini, kwamba nilikuwa na mahusiano na wewe tena shukuru MUNGU wamekuona ni kifaranga tu
Akakata simu.
Mapigo ya moyo yalienda mrama maana sikutegemea mawazo yale, nikaona Haina shida ngoja nimtafute Rose mpenzi wangu. Nikatoka nje nikawa nje ya ile fence yangu mpya nikawa nazungusha macho huku nikiwa sielewi naangalia Nini.Simu ikiwa sikioni.lakini licha ya kupiga Mara kadhaa simu haikupokelewa, nikakata tamaa,
Imani yangu kwa Rose haikuwa kwenye mapenzi, bali nilitaka nimweleze ukweli kuhusu mie kufukuzwa kazi , hasa kwakuwa anajua halafu anaonekana yupo karibu na watu wazito wazito maana tukiwa kwenye maongezi yetu huwa nagundua anajua mambo mengi.
Nikiwa kwenye lindi la mawazo simu iliita mpigaji ni Rose, nilitoka nje fasta fasta huku nikienda mbali zaidi ili niwe huru kuzungumza.
Nikapokea...
Nambie mpenzi wangu,
Salama na niko poa sana tu, samahani simu ilikuwa mbali sikuisikia, nambie . aliongea kwa sauti ya uchangamfu
Sina cha kukwambia zaidi ya kusema Sina kazi mpenzi wangu, niliongea kwa huzuni.
Pole sana my najua jinsi gani unaumia, ila usijali ni mambo ya kupita tu hayo utapata kazi baby usijali, lakini na wewe kwanini utembee na mke wa boss wako, ujue utakuja kufa, yaani mtu mzito kama yule utembee na mke wake, kweli? wewe sikuwezi baba. Aliweka kituo
Nikajikuta nashindwa kumjibu maana aliongea kitu ambacho sijawahi kufanya maishani.
Tena mpenzi wangu nikwambie Kuna taarifa nilipata si nzuri kwamba walipanga wakupoteze sema wakagundua kuwa hakuna uhakika wa asilimia nyingi kuwa umetembea naye wakapanga tu waku black list,pole sana Dani wangu.
aliongea akionesha hajashtuka maana tayari alikuwa anajua mambo mengi.
Baby naapa viapo vyote, sijawahi kumtamkia yule madam jambo linalohusu mapenzi ila nilikuwa karibu naye kwa mambo mengine tu, halafu mpenzi wangu, kwanini mlinificha baadhi ya mambo kumbe mlikuwa mnajua mnanichora tu. niliongea kwa uchungu.
Yaliyotokea yametokea unatakiwa umshukuru MUNGU kwa Kila jambo Kisha utainuka Tena, sema Nini naomba uniache nitafute kesho Kuna jambo tutazungumza usijali sana. usijali. alimalizia Rose.
Sikuona Cha maana alichokitamka Rose nikakata simu nikarudi ndani. Pamoja na yote sikutaka mke wangu ajue lile suala nilipanga kumuongopea kivingine ili mradi tu hata akiniona nyumbani ajue ni harakati za kawaida tu.
Nilimuita mke wangu, akaja haraka maana muda wote alikuwa na shauku ya kujua jambo,
Mke wangu, usione nimekuja kwa unyonge hapa ni kwamba kule ofisini kwetu kumetokea matatizo hivyo wafanyakazi wote tumesimamishwa ili kupisha wamalize matatizo yao,
Mume wangu hayo matatizo hayakuhusu na wewe kweli maana nishachoka kusikia Mara oooh Kuna vitu vimeibiwa, Mara nini. Alihoji mke wangu
Hapana, ni matatizo ya matajiri wenyewe yaani huenda Wana matatizo na serikali hivyo , tumesimamishwa Hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. nilimdanganya akaamini.
Afadhali baba maana nikajua yale yaleeee, safari hii tungerudi mkoani tukalime maana kama mji unakuwa umekushinda. aliongea mke wangu Huku akionekana kashusha Presha
Nilifurahi kumuona akiwa vile maana sikupenda hali nayopitia ajue, namjua angekuwa kwenye wakati mgumu kuliko Mimi.
Wanaume tumeumbwa mateso, kama kazi Sina kukaa ñdani kuanza kufikiria mengine Wala haisaidii nikawaza kesho asubuhi naenda maeneo ya mjini. naenda kubahatisha mambo huko huku kubwa zaidi nikilenga kutafuta kijieneo Cha biashara.
Simu yangu iliita,ilikuwa mida ya saa kumi kuangalia jina ni yule Binti ambaye nilikuwa naye ofisi moja, yaani mdogo wake Rose, nikaipokea simu
Niambie mdogo wangu, vipi kwema. niliongea kwa sauti ya uchangamfu ili asijue situation nayopitia.
Mr Daniel, kweli umeondoka umeniacha, lakini sikia tumeongea na baadhi ya wanasheria wa kampuni wanasema bado una nafasi ya kujitetea, kwanza hakuna mahali uliposaini kwamba unaacha kazi kwahiyo bado una nafasi Mr tafadhali usiwe na hasira kaka yangu Kaa ukijua kuwa bosi hanuniwi wewe mpigie simu mwambie ukweli naamini atakuelewa, kupitia simu ya yule Binti nilipata kuongea na wafanyakazi wenzangu wapatao wanne nikajua kuwa walikuwa kikundi .
Nilichowajibu ni kwamba kosa langu ni kubwa zaidi Kuna mtu akikufukuza waweza omba msamaha, lakini kwa kosa langu ni kama nitakuwa naamsha hasira zao tu.
Wote walinielewa huku wakionesha masikitiko makubwa, kama ilikuwa ni kweli MUNGU awabariki kama ilikuwa masikitiko ya kinafiki Mimi sijui, nilikata simu huku nikijitahidi kusahau ile kampuni na habari zake ,
Ndugu msomaji
Kujikumbusha ofisi na kazi yako yenye mshahara mzuri , maumivu yake hayaelezeki
Mume wangu, kesho ndiyo ile siku ya msaada niliyombiwa na akina ESTA , Sasa hapa najiuliza sijui niende au nisiende. ni mke wangu alivunja ukimya Mara baada ya kupata dinner.
Wewe nenda mke wangu, tena jambo lako liweke kwenye ratiba zako kabisa. niliongea kwa msisitizo.
Kesho asubuhi na mapema nilikuwa maeneo ya mjini nikiwa na washikaji fulani tukishauriana jambo, wakinipa madili ya biashara ya mbao, namna wanavyofuata mzigo huko kusini na kuja kuchana hapa mjini, Kila nikifikiria ile biashara na mlolongo niliopewa naiona ngumu.
Lakini nilipiga moyo konde, nilirudi jioni sana huku nikishauriana na mke wangu mambo fulani, huku kukiwa na mafurushi ya zawadi walizopewa huko ikiwemo cherehani mpya.
Unaona Sasa mke wangu ulitaka usite kwenda huoni Kuna mashine hii , yaani hii ukivurugwa unapiga bei unapata hela ya kukusogeza siku mbili tatu.niliongea kiutani
Wewe nani auze hata kama sijui kushona vizuri, nakwambia hii itanishawishi nitahakikisha nakuwa bonge la Designer. sema nini mume wangu Mimi nakuona umenyongea kana kwamba wewe ndiye boss wa kampuni, changamka basi. aliongea mke wangu.
Kesho asubuhi niliamka nikawa nafanya kazi pale home, Mara nikusanye mchanga niweke hapa, Mara nihamishe tofali ili kuji keep busy nisiwe na mawazo.Sms hewa iliingia kwenye simu, niliangalia inatoka kwa Rose. Ikabidi niangalie hali ya usalama nikaona ni shwari nikampigia.
Naomba uje nyumbani kwetu, baba anakuhitaji, ni vyema ukabeba na Documents zako na vyeti vyako, aliongea haraka haraka na kukata simu. Kwao ilikuwa mbali kidogo lakini nilihakikisha nafika ili nijue Kuna shida gani.
Nilimuaga mke wangu Huku nikishikilia mkoba wangu vyema nikatafuta usafiri wenye kunifikisha nyumbani kwa akina Rose.
Karibu mgeni, nilikaribishwa na Rose ambapo alikuwa kwenye vazi la kiislamu hata sijui aliwaza nini kuvaa vile, nikaingia ndani huku nikimtambua haraka mama yake Rose kwani walifanana sana .
Nilimwakia yule mama ambaye niligundua ni mkarimu sana tu,
Mama huyu anaitwa Daniel, nilikwambia Mimi ukanibishia , waliangaliana wakacheka, nikashindwa kujua kwani mama mtu alimbishia Nini mwanaye,.
Karibu sana baba, hapa ndiyo nyumbani kwaakina Rose , na huyu Rose tunaye hapa maana kuolewa hataki eti hakuna wanaume. aliongea huku akimtazama Rose wakacheka huku wakigongana mikono. Nilichogundua ni kwamba Rose na mama yake wanaishi kwa masihara sana, kama mbele za wageni ndiyo vile je wakiwa wenyewe?
Baadaye alikuja pale sebuleni mzee fulani ambaye alikuwa akitembea upande ikionesha mguu mmoja ni mfupi sijui ni ajali sijui alizaliwa vile sikuuliza,.
Habari yako Daniel, alinisalimia yule mzee huku nikishangaa kanijuaje au kwakuwa aliambiwa nitakuja?
(Akicheka)najua unashangaa nimekujuaje, ila ni kwamba Mimi nakujua, nakujua kivipi, Kuna barabara fulani ilijengwa chini ya kiwango yaani geji ya kifusi ikiwa nyembamba, basi tulilalamika kwa kwa wakala wa barabara za vijijini wakatwambia , siku mkiwaona muwaambie ukweli kwakuwa bado mlikuwa mnaendelea na kazi.
Sasa basi Kuna korongo katika njia za shamba ilibidi wamwage kwanza mawe Kisha waweke kifusi, lakini wale maoperator walikataa huku HR akituporomoshea matusi, tukagundua harufu ya rushwa na upigaji kwa mkandarasi yaani boss wako, Sasa kwanini nakukumbuka,
Ni kwamba wewe ulikuja siku ya pili tukiwa tumekata tamaa tulivyokueleza namna inavyotakiwa pawe ulituelewa , Kisha ukaagiza tipper zianze kumwaga mawe, hakika ulinifurahisha sana, maana pale kifusi bila mawe ilikuwa kazi bure maana kipindi cha masika maji yanaondoka na kifusi chote. aliweka kituo
Sasa mzee wangu wewe unaishi mjini kwanini ulikuwa unaipigania ile barabara? Niliuliza maana nakumbuka ile rough road inaingia vijijini huko ndani ndani.
Ni kweli mwanangu una haki ya kuuliza ila ni kwamba Mimi huko nafuga na nalima hivyo kahela kangu ka kustaafu niliweka huko. aliongea tukacheka.
Sasa mwanangu nimekuita kwasababu moja, leo nilimsikia Binti yangu akiongea na simu huku akitaja jina lako,Mimi nikajua labda watu wake tu Sasa baada ya kusikia neno kufukuzwa kazi, ikabidi nimuulize ni nani huyo?
Ndipo akanifahamisha nikawaambia kama ni huyo kijana Mimi namfahamu aliwahi kufanya kazi kampuni ya (akiitaja ile ya kwanza)
Lakini Rose akanibishia kuwa si wewe ikabidi nitaje wajihi wako.
Nikawaambia ni mrefu na anapenda kufuga nywele, hapo hawakubisha japo huyu mama yako ndiyo kwanza anakuona. aliweka kituo baba yake Rose ni mzee muongeaji sana.
Nilichokuitia ni suala la wewe kufukuzwa kazi, nimeamua kukutoa hofu.....
Nilikwambiaje Rose, (akimuuliza Binti yake)
Uliniambia kama ni yule kijana Mimi nitampeleka shirika la(jina kapuni) alijibu Rose huku nikishangaa ile familia ilivyo na utani hadi raha .
Basi kijana kazi umepata we kajiandae tu muda wowote nakupeleka Mimi mwenyewe, huwezi kufukuzwa kwa kosa kama lile ambalo haliingii akilini , nikashangaa Hadi kosa lishakulikana,huku nikimuona Rose kama hajapenda uongeaji wa baba yake .
alisema yule mzee ambaye anaonekana ni wale wazee wa mjini, mjanja mjanja hivi.
Hakika nilifurahi sana kwani ni shirika la kiserikali lililosheheni wanasiasa, na vigogo wengi tu, nikaona kama naota, nilimshukuru sana yule mzee kwa uungwana wake huku nikiwa nishapanua wigo wa kujuana na watu.
Alamski.
Itaendelea.................
Kwa hii episode umetutendea haki.SEHEMU INAYOFUATA...........
Niliingia ndani nikatulia huku nikikaa na kujiinamia,
mume wangu vipi naona kama haupo sawa vipi Kuna shida gani?Mimi ni mkeo kama Kuna jambo usinifiche. aliongea mke wangu akiwa kashika kiuno akisubiri majibu.
Kusema ukweli sikupanga kumwambia mke wangu niliona ni mapema mno, nilimwangalia vile alivyojifunga mavitenge huku nikiangalia miguu ilivyochafuka kwaajili ya maji na vumbi za pale nje huku nikijivunia kuwa na wife material, nilimuwaza mke wangu jinsi alivyokuwa ananishauri vitu vingi halafu nikawa nampuuzia nilimuhurumia sana.
Hivi kwani mume wangu upoje dakika 5 nzima nimesimama nasubiri majibu chaajabu unanipandisha na kunishusha, sawa ukijisikia utaniambia, lakini nikwambie tu kuwa fundi aliyemalizia ujenzi hapa anasema hela yake vipi, Ina maana umesahau. Niko nje Mimi Nina kazi chungu mzima. alisema mke wangu Huku akitoka nje.
Niliwaza kitu nikaona nimpigie madam au nikaushe tu lakini hata hivyo haitasaidia kukaa kimya lazima nitampigia. Ina maana kuanzia kesho Tena naanza kutembea na handbag kutafuta kazi jamani watu waliniombea, nikaenda Hadi kwa mganga lakini wapi kweli kisicho riziki hakiliki asilani,.
Niliikumbuka ofisi ile jinsi nilivyokuwa naongea na wakubwa huku nikizunguka kwenye kiti, wakiniona msomi na mtu wa maana huku baadhi nikikataa rushwa zao, na pesa nyingi lengo niwe muaminifu kwenye kampuni ambayo Leo imeamua kunifukuza kazi bila kosa lolote, hivi wanadhani kuongea na madamu nilikuwa namtongoza , aisee MUNGU naomba unisaidie bado Nina maisha magumu na watoto ni wadogo hawa nilijikuta naongea peke yangu.
Wewe baba Jack nakujua vizuri, wewe una tatizo, Tena una tatizo haswaaa kuendelea kunificha ni kuzidisha matatizo Sasa Mimi sitaki mtu aje achukue maamuzi magumu nisiyoyajua, naenda kwa mjumbe nikamwambie kuwa una shida na hutaki kuniambia. aliongea mke wangu akitaka kuondoka.
Nikamshika mkono. Tulia mke wangu, matatizo yangu siyo Kila mtu ajue usiwe na haraka, nitakwambia tu wewe ndiyo mke wangu, nikiwa mdogo kila kitu nilikuwa nawaambia wazazi, lakini nilikua na wazazi wakaridhika kuwa Nina uwezo wa kujitegemea, hata nilipowaambia kuwa nataka kuoa hawakusita Wala kuguna walitambua kuwa Nina uwezo wa kuishi na mwanamke.
Hivyo wakatoa baraka zao.
Walibariki utengano wetu Kati ya Mimi na wao wakijua fika naenda kutengeneza familia Kati ya Mimi na mke wangu, unajua Kuna Siri zangu nyingi unazijua na wazazi hawazijui? Niliuliza
Akaitikia kwa kutingisha kichwa.
Hivyo hakuna kuwapigia wazazi Wala kumwambia jirani
Haya ni mambo madogo yametokea hivyo tutasolve wenyewe hakuna shida, nenda kaendelee na kazi zako nitakwambia tu usijali mke wangu.
Mmmhh, sawa baba, aliitikia kinyonge.
Nilichukua simu nimpigie MADAM, sikutaka kuvunga tena kwanza kama kazi nishatimuliwa sina cha kupoteza.
Simu ilipokelewa..
Hello tolu niambie, naona huna lingine zaidi ya kuniambia umeachishwa kazi. ni madam aliongea bila hata salamu.
Ni kweli madam, nasikitika kwa yaliyotokea, nilisoma barua eti inaonesha kwanini Mimi na wewe tulikuwa tukikutana kwani Kuna kosa kukutana na wewe. Niliuliza
Tolu naamini barua umeisoma vizuri kabisa, na unajua maamuzi yametoka wapi, najua suala linakuumiza kwakuwa hujawahi kunitongoza kama wambea walivyokuripoti kwa boss, lakini yote kwa yote kauli imetoka kwa mtu aliyeko juu zaidi Tena huwezi amini hata Mimi Niko kwenye wakati mgumu, hivyo kwa kufupisha stori Sina Cha kukusaidia, wewe una elimu nzuri tu huwezi kukosa kazi si lazima ufanye kazi na sisi,
Na nikuombe kitu baba ni marufuku kunipigia simu kuanzia Leo usije kuniweka kwenye matatizo zaidi watu wakazidi kuamini, kwamba nilikuwa na mahusiano na wewe tena shukuru MUNGU wamekuona ni kifaranga tu
Akakata simu.
Mapigo ya moyo yalienda mrama maana sikutegemea mawazo yale, nikaona Haina shida ngoja nimtafute Rose mpenzi wangu. Nikatoka nje nikawa nje ya ile fence yangu mpya nikawa nazungusha macho huku nikiwa sielewi naangalia Nini.Simu ikiwa sikioni.lakini licha ya kupiga Mara kadhaa simu haikupokelewa, nikakata tamaa,
Imani yangu kwa Rose haikuwa kwenye mapenzi, bali nilitaka nimweleze ukweli kuhusu mie kufukuzwa kazi , hasa kwakuwa anajua halafu anaonekana yupo karibu na watu wazito wazito maana tukiwa kwenye maongezi yetu huwa nagundua anajua mambo mengi.
Nikiwa kwenye lindi la mawazo simu iliita mpigaji ni Rose, nilitoka nje fasta fasta huku nikienda mbali zaidi ili niwe huru kuzungumza.
Nikapokea...
Nambie mpenzi wangu,
Salama na niko poa sana tu, samahani simu ilikuwa mbali sikuisikia, nambie . aliongea kwa sauti ya uchangamfu
Sina cha kukwambia zaidi ya kusema Sina kazi mpenzi wangu, niliongea kwa huzuni.
Pole sana my najua jinsi gani unaumia, ila usijali ni mambo ya kupita tu hayo utapata kazi baby usijali, lakini na wewe kwanini utembee na mke wa boss wako, ujue utakuja kufa, yaani mtu mzito kama yule utembee na mke wake, kweli? wewe sikuwezi baba. Aliweka kituo
Nikajikuta nashindwa kumjibu maana aliongea kitu ambacho sijawahi kufanya maishani.
Tena mpenzi wangu nikwambie Kuna taarifa nilipata si nzuri kwamba walipanga wakupoteze sema wakagundua kuwa hakuna uhakika wa asilimia nyingi kuwa umetembea naye wakapanga tu waku black list,pole sana Dani wangu.
aliongea akionesha hajashtuka maana tayari alikuwa anajua mambo mengi.
Baby naapa viapo vyote, sijawahi kumtamkia yule madam jambo linalohusu mapenzi ila nilikuwa karibu naye kwa mambo mengine tu, halafu mpenzi wangu, kwanini mlinificha baadhi ya mambo kumbe mlikuwa mnajua mnanichora tu. niliongea kwa uchungu.
Yaliyotokea yametokea unatakiwa umshukuru MUNGU kwa Kila jambo Kisha utainuka Tena, sema Nini naomba uniache nitafute kesho Kuna jambo tutazungumza usijali sana. usijali. alimalizia Rose.
Sikuona Cha maana alichokitamka Rose nikakata simu nikarudi ndani. Pamoja na yote sikutaka mke wangu ajue lile suala nilipanga kumuongopea kivingine ili mradi tu hata akiniona nyumbani ajue ni harakati za kawaida tu.
Nilimuita mke wangu, akaja haraka maana muda wote alikuwa na shauku ya kujua jambo,
Mke wangu, usione nimekuja kwa unyonge hapa ni kwamba kule ofisini kwetu kumetokea matatizo hivyo wafanyakazi wote tumesimamishwa ili kupisha wamalize matatizo yao,
Mume wangu hayo matatizo hayakuhusu na wewe kweli maana nishachoka kusikia Mara oooh Kuna vitu vimeibiwa, Mara nini. Alihoji mke wangu
Hapana, ni matatizo ya matajiri wenyewe yaani huenda Wana matatizo na serikali hivyo , tumesimamishwa Hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. nilimdanganya akaamini.
Afadhali baba maana nikajua yale yaleeee, safari hii tungerudi mkoani tukalime maana kama mji unakuwa umekushinda. aliongea mke wangu Huku akionekana kashusha Presha
Nilifurahi kumuona akiwa vile maana sikupenda hali nayopitia ajue, namjua angekuwa kwenye wakati mgumu kuliko Mimi.
Wanaume tumeumbwa mateso, kama kazi Sina kukaa ñdani kuanza kufikiria mengine Wala haisaidii nikawaza kesho asubuhi naenda maeneo ya mjini. naenda kubahatisha mambo huko huku kubwa zaidi nikilenga kutafuta kijieneo Cha biashara.
Simu yangu iliita,ilikuwa mida ya saa kumi kuangalia jina ni yule Binti ambaye nilikuwa naye ofisi moja, yaani mdogo wake Rose, nikaipokea simu
Niambie mdogo wangu, vipi kwema. niliongea kwa sauti ya uchangamfu ili asijue situation nayopitia.
Mr Daniel, kweli umeondoka umeniacha, lakini sikia tumeongea na baadhi ya wanasheria wa kampuni wanasema bado una nafasi ya kujitetea, kwanza hakuna mahali uliposaini kwamba unaacha kazi kwahiyo bado una nafasi Mr tafadhali usiwe na hasira kaka yangu Kaa ukijua kuwa bosi hanuniwi wewe mpigie simu mwambie ukweli naamini atakuelewa, kupitia simu ya yule Binti nilipata kuongea na wafanyakazi wenzangu wapatao wanne nikajua kuwa walikuwa kikundi .
Nilichowajibu ni kwamba kosa langu ni kubwa zaidi Kuna mtu akikufukuza waweza omba msamaha, lakini kwa kosa langu ni kama nitakuwa naamsha hasira zao tu.
Wote walinielewa huku wakionesha masikitiko makubwa, kama ilikuwa ni kweli MUNGU awabariki kama ilikuwa masikitiko ya kinafiki Mimi sijui, nilikata simu huku nikijitahidi kusahau ile kampuni na habari zake ,
Ndugu msomaji
Kujikumbusha ofisi na kazi yako yenye mshahara mzuri , maumivu yake hayaelezeki
Mume wangu, kesho ndiyo ile siku ya msaada niliyombiwa na akina ESTA , Sasa hapa najiuliza sijui niende au nisiende. ni mke wangu alivunja ukimya Mara baada ya kupata dinner.
Wewe nenda mke wangu, tena jambo lako liweke kwenye ratiba zako kabisa. niliongea kwa msisitizo.
Kesho asubuhi na mapema nilikuwa maeneo ya mjini nikiwa na washikaji fulani tukishauriana jambo, wakinipa madili ya biashara ya mbao, namna wanavyofuata mzigo huko kusini na kuja kuchana hapa mjini, Kila nikifikiria ile biashara na mlolongo niliopewa naiona ngumu.
Lakini nilipiga moyo konde, nilirudi jioni sana huku nikishauriana na mke wangu mambo fulani, huku kukiwa na mafurushi ya zawadi walizopewa huko ikiwemo cherehani mpya.
Unaona Sasa mke wangu ulitaka usite kwenda huoni Kuna mashine hii , yaani hii ukivurugwa unapiga bei unapata hela ya kukusogeza siku mbili tatu.niliongea kiutani
Wewe nani auze hata kama sijui kushona vizuri, nakwambia hii itanishawishi nitahakikisha nakuwa bonge la Designer. sema nini mume wangu Mimi nakuona umenyongea kana kwamba wewe ndiye boss wa kampuni, changamka basi. aliongea mke wangu.
Kesho asubuhi niliamka nikawa nafanya kazi pale home, Mara nikusanye mchanga niweke hapa, Mara nihamishe tofali ili kuji keep busy nisiwe na mawazo.Sms hewa iliingia kwenye simu, niliangalia inatoka kwa Rose. Ikabidi niangalie hali ya usalama nikaona ni shwari nikampigia.
Naomba uje nyumbani kwetu, baba anakuhitaji, ni vyema ukabeba na Documents zako na vyeti vyako, aliongea haraka haraka na kukata simu. Kwao ilikuwa mbali kidogo lakini nilihakikisha nafika ili nijue Kuna shida gani.
Nilimuaga mke wangu Huku nikishikilia mkoba wangu vyema nikatafuta usafiri wenye kunifikisha nyumbani kwa akina Rose.
Karibu mgeni, nilikaribishwa na Rose ambapo alikuwa kwenye vazi la kiislamu hata sijui aliwaza nini kuvaa vile, nikaingia ndani huku nikimtambua haraka mama yake Rose kwani walifanana sana .
Nilimwakia yule mama ambaye niligundua ni mkarimu sana tu,
Mama huyu anaitwa Daniel, nilikwambia Mimi ukanibishia , waliangaliana wakacheka, nikashindwa kujua kwani mama mtu alimbishia Nini mwanaye,.
Karibu sana baba, hapa ndiyo nyumbani kwaakina Rose , na huyu Rose tunaye hapa maana kuolewa hataki eti hakuna wanaume. aliongea huku akimtazama Rose wakacheka huku wakigongana mikono. Nilichogundua ni kwamba Rose na mama yake wanaishi kwa masihara sana, kama mbele za wageni ndiyo vile je wakiwa wenyewe?
Baadaye alikuja pale sebuleni mzee fulani ambaye alikuwa akitembea upande ikionesha mguu mmoja ni mfupi sijui ni ajali sijui alizaliwa vile sikuuliza,.
Habari yako Daniel, alinisalimia yule mzee huku nikishangaa kanijuaje au kwakuwa aliambiwa nitakuja?
(Akicheka)najua unashangaa nimekujuaje, ila ni kwamba Mimi nakujua, nakujua kivipi, Kuna barabara fulani ilijengwa chini ya kiwango yaani geji ya kifusi ikiwa nyembamba, basi tulilalamika kwa kwa wakala wa barabara za vijijini wakatwambia , siku mkiwaona muwaambie ukweli kwakuwa bado mlikuwa mnaendelea na kazi.
Sasa basi Kuna korongo katika njia za shamba ilibidi wamwage kwanza mawe Kisha waweke kifusi, lakini wale maoperator walikataa huku HR akituporomoshea matusi, tukagundua harufu ya rushwa na upigaji kwa mkandarasi yaani boss wako, Sasa kwanini nakukumbuka,
Ni kwamba wewe ulikuja siku ya pili tukiwa tumekata tamaa tulivyokueleza namna inavyotakiwa pawe ulituelewa , Kisha ukaagiza tipper zianze kumwaga mawe, hakika ulinifurahisha sana, maana pale kifusi bila mawe ilikuwa kazi bure maana kipindi cha masika maji yanaondoka na kifusi chote. aliweka kituo
Sasa mzee wangu wewe unaishi mjini kwanini ulikuwa unaipigania ile barabara? Niliuliza maana nakumbuka ile rough road inaingia vijijini huko ndani ndani.
Ni kweli mwanangu una haki ya kuuliza ila ni kwamba Mimi huko nafuga na nalima hivyo kahela kangu ka kustaafu niliweka huko. aliongea tukacheka.
Sasa mwanangu nimekuita kwasababu moja, leo nilimsikia Binti yangu akiongea na simu huku akitaja jina lako,Mimi nikajua labda watu wake tu Sasa baada ya kusikia neno kufukuzwa kazi, ikabidi nimuulize ni nani huyo?
Ndipo akanifahamisha nikawaambia kama ni huyo kijana Mimi namfahamu aliwahi kufanya kazi kampuni ya (akiitaja ile ya kwanza)
Lakini Rose akanibishia kuwa si wewe ikabidi nitaje wajihi wako.
Nikawaambia ni mrefu na anapenda kufuga nywele, hapo hawakubisha japo huyu mama yako ndiyo kwanza anakuona. aliweka kituo baba yake Rose ni mzee muongeaji sana.
Nilichokuitia ni suala la wewe kufukuzwa kazi, nimeamua kukutoa hofu.....
Nilikwambiaje Rose, (akimuuliza Binti yake)
Uliniambia kama ni yule kijana Mimi nitampeleka shirika la(jina kapuni) alijibu Rose huku nikishangaa ile familia ilivyo na utani hadi raha .
Basi kijana kazi umepata we kajiandae tu muda wowote nakupeleka Mimi mwenyewe, huwezi kufukuzwa kwa kosa kama lile ambalo haliingii akilini , nikashangaa Hadi kosa lishakulikana,huku nikimuona Rose kama hajapenda uongeaji wa baba yake .
alisema yule mzee ambaye anaonekana ni wale wazee wa mjini, mjanja mjanja hivi.
Hakika nilifurahi sana kwani ni shirika la kiserikali lililosheheni wanasiasa, na vigogo wengi tu, nikaona kama naota, nilimshukuru sana yule mzee kwa uungwana wake huku nikiwa nishapanua wigo wa kujuana na watu.
Alamski.
Itaendelea.................
Kwakifupi ni kwamba sio kila ofisi unatakiwa kuwa mwaminifu kwao...Inategemeana sana na ofisi hiyo husika.Katika swala la uaminifu kazini kuna jambo kubwa la kujifunza hapo
Jamani Kuna michepuko una faida mno mjue yaani mno. Ila sio Hawa hàwaeleweki hawajasoma,mpaka vocha ya buku wanaomba. Kutana na mtu ambaye anakuomba milioni kwenda juu jamani.SEHEMU INAYOFUATA...........
Niliingia ndani nikatulia huku nikikaa na kujiinamia,
mume wangu vipi naona kama haupo sawa vipi Kuna shida gani?Mimi ni mkeo kama Kuna jambo usinifiche. aliongea mke wangu akiwa kashika kiuno akisubiri majibu.
Kusema ukweli sikupanga kumwambia mke wangu niliona ni mapema mno, nilimwangalia vile alivyojifunga mavitenge huku nikiangalia miguu ilivyochafuka kwaajili ya maji na vumbi za pale nje huku nikijivunia kuwa na wife material, nilimuwaza mke wangu jinsi alivyokuwa ananishauri vitu vingi halafu nikawa nampuuzia nilimuhurumia sana.
Hivi kwani mume wangu upoje dakika 5 nzima nimesimama nasubiri majibu chaajabu unanipandisha na kunishusha, sawa ukijisikia utaniambia, lakini nikwambie tu kuwa fundi aliyemalizia ujenzi hapa anasema hela yake vipi, Ina maana umesahau. Niko nje Mimi Nina kazi chungu mzima. alisema mke wangu Huku akitoka nje.
Niliwaza kitu nikaona nimpigie madam au nikaushe tu lakini hata hivyo haitasaidia kukaa kimya lazima nitampigia. Ina maana kuanzia kesho Tena naanza kutembea na handbag kutafuta kazi jamani watu waliniombea, nikaenda Hadi kwa mganga lakini wapi kweli kisicho riziki hakiliki asilani,.
Niliikumbuka ofisi ile jinsi nilivyokuwa naongea na wakubwa huku nikizunguka kwenye kiti, wakiniona msomi na mtu wa maana huku baadhi nikikataa rushwa zao, na pesa nyingi lengo niwe muaminifu kwenye kampuni ambayo Leo imeamua kunifukuza kazi bila kosa lolote, hivi wanadhani kuongea na madamu nilikuwa namtongoza , aisee MUNGU naomba unisaidie bado Nina maisha magumu na watoto ni wadogo hawa nilijikuta naongea peke yangu.
Wewe baba Jack nakujua vizuri, wewe una tatizo, Tena una tatizo haswaaa kuendelea kunificha ni kuzidisha matatizo Sasa Mimi sitaki mtu aje achukue maamuzi magumu nisiyoyajua, naenda kwa mjumbe nikamwambie kuwa una shida na hutaki kuniambia. aliongea mke wangu akitaka kuondoka.
Nikamshika mkono. Tulia mke wangu, matatizo yangu siyo Kila mtu ajue usiwe na haraka, nitakwambia tu wewe ndiyo mke wangu, nikiwa mdogo kila kitu nilikuwa nawaambia wazazi, lakini nilikua na wazazi wakaridhika kuwa Nina uwezo wa kujitegemea, hata nilipowaambia kuwa nataka kuoa hawakusita Wala kuguna walitambua kuwa Nina uwezo wa kuishi na mwanamke.
Hivyo wakatoa baraka zao.
Walibariki utengano wetu Kati ya Mimi na wao wakijua fika naenda kutengeneza familia Kati ya Mimi na mke wangu, unajua Kuna Siri zangu nyingi unazijua na wazazi hawazijui? Niliuliza
Akaitikia kwa kutingisha kichwa.
Hivyo hakuna kuwapigia wazazi Wala kumwambia jirani
Haya ni mambo madogo yametokea hivyo tutasolve wenyewe hakuna shida, nenda kaendelee na kazi zako nitakwambia tu usijali mke wangu.
Mmmhh, sawa baba, aliitikia kinyonge.
Nilichukua simu nimpigie MADAM, sikutaka kuvunga tena kwanza kama kazi nishatimuliwa sina cha kupoteza.
Simu ilipokelewa..
Hello tolu niambie, naona huna lingine zaidi ya kuniambia umeachishwa kazi. ni madam aliongea bila hata salamu.
Ni kweli madam, nasikitika kwa yaliyotokea, nilisoma barua eti inaonesha kwanini Mimi na wewe tulikuwa tukikutana kwani Kuna kosa kukutana na wewe. Niliuliza
Tolu naamini barua umeisoma vizuri kabisa, na unajua maamuzi yametoka wapi, najua suala linakuumiza kwakuwa hujawahi kunitongoza kama wambea walivyokuripoti kwa boss, lakini yote kwa yote kauli imetoka kwa mtu aliyeko juu zaidi Tena huwezi amini hata Mimi Niko kwenye wakati mgumu, hivyo kwa kufupisha stori Sina Cha kukusaidia, wewe una elimu nzuri tu huwezi kukosa kazi si lazima ufanye kazi na sisi,
Na nikuombe kitu baba ni marufuku kunipigia simu kuanzia Leo usije kuniweka kwenye matatizo zaidi watu wakazidi kuamini, kwamba nilikuwa na mahusiano na wewe tena shukuru MUNGU wamekuona ni kifaranga tu
Akakata simu.
Mapigo ya moyo yalienda mrama maana sikutegemea mawazo yale, nikaona Haina shida ngoja nimtafute Rose mpenzi wangu. Nikatoka nje nikawa nje ya ile fence yangu mpya nikawa nazungusha macho huku nikiwa sielewi naangalia Nini.Simu ikiwa sikioni.lakini licha ya kupiga Mara kadhaa simu haikupokelewa, nikakata tamaa,
Imani yangu kwa Rose haikuwa kwenye mapenzi, bali nilitaka nimweleze ukweli kuhusu mie kufukuzwa kazi , hasa kwakuwa anajua halafu anaonekana yupo karibu na watu wazito wazito maana tukiwa kwenye maongezi yetu huwa nagundua anajua mambo mengi.
Nikiwa kwenye lindi la mawazo simu iliita mpigaji ni Rose, nilitoka nje fasta fasta huku nikienda mbali zaidi ili niwe huru kuzungumza.
Nikapokea...
Nambie mpenzi wangu,
Salama na niko poa sana tu, samahani simu ilikuwa mbali sikuisikia, nambie . aliongea kwa sauti ya uchangamfu
Sina cha kukwambia zaidi ya kusema Sina kazi mpenzi wangu, niliongea kwa huzuni.
Pole sana my najua jinsi gani unaumia, ila usijali ni mambo ya kupita tu hayo utapata kazi baby usijali, lakini na wewe kwanini utembee na mke wa boss wako, ujue utakuja kufa, yaani mtu mzito kama yule utembee na mke wake, kweli? wewe sikuwezi baba. Aliweka kituo
Nikajikuta nashindwa kumjibu maana aliongea kitu ambacho sijawahi kufanya maishani.
Tena mpenzi wangu nikwambie Kuna taarifa nilipata si nzuri kwamba walipanga wakupoteze sema wakagundua kuwa hakuna uhakika wa asilimia nyingi kuwa umetembea naye wakapanga tu waku black list,pole sana Dani wangu.
aliongea akionesha hajashtuka maana tayari alikuwa anajua mambo mengi.
Baby naapa viapo vyote, sijawahi kumtamkia yule madam jambo linalohusu mapenzi ila nilikuwa karibu naye kwa mambo mengine tu, halafu mpenzi wangu, kwanini mlinificha baadhi ya mambo kumbe mlikuwa mnajua mnanichora tu. niliongea kwa uchungu.
Yaliyotokea yametokea unatakiwa umshukuru MUNGU kwa Kila jambo Kisha utainuka Tena, sema Nini naomba uniache nitafute kesho Kuna jambo tutazungumza usijali sana. usijali. alimalizia Rose.
Sikuona Cha maana alichokitamka Rose nikakata simu nikarudi ndani. Pamoja na yote sikutaka mke wangu ajue lile suala nilipanga kumuongopea kivingine ili mradi tu hata akiniona nyumbani ajue ni harakati za kawaida tu.
Nilimuita mke wangu, akaja haraka maana muda wote alikuwa na shauku ya kujua jambo,
Mke wangu, usione nimekuja kwa unyonge hapa ni kwamba kule ofisini kwetu kumetokea matatizo hivyo wafanyakazi wote tumesimamishwa ili kupisha wamalize matatizo yao,
Mume wangu hayo matatizo hayakuhusu na wewe kweli maana nishachoka kusikia Mara oooh Kuna vitu vimeibiwa, Mara nini. Alihoji mke wangu
Hapana, ni matatizo ya matajiri wenyewe yaani huenda Wana matatizo na serikali hivyo , tumesimamishwa Hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. nilimdanganya akaamini.
Afadhali baba maana nikajua yale yaleeee, safari hii tungerudi mkoani tukalime maana kama mji unakuwa umekushinda. aliongea mke wangu Huku akionekana kashusha Presha
Nilifurahi kumuona akiwa vile maana sikupenda hali nayopitia ajue, namjua angekuwa kwenye wakati mgumu kuliko Mimi.
Wanaume tumeumbwa mateso, kama kazi Sina kukaa ñdani kuanza kufikiria mengine Wala haisaidii nikawaza kesho asubuhi naenda maeneo ya mjini. naenda kubahatisha mambo huko huku kubwa zaidi nikilenga kutafuta kijieneo Cha biashara.
Simu yangu iliita,ilikuwa mida ya saa kumi kuangalia jina ni yule Binti ambaye nilikuwa naye ofisi moja, yaani mdogo wake Rose, nikaipokea simu
Niambie mdogo wangu, vipi kwema. niliongea kwa sauti ya uchangamfu ili asijue situation nayopitia.
Mr Daniel, kweli umeondoka umeniacha, lakini sikia tumeongea na baadhi ya wanasheria wa kampuni wanasema bado una nafasi ya kujitetea, kwanza hakuna mahali uliposaini kwamba unaacha kazi kwahiyo bado una nafasi Mr tafadhali usiwe na hasira kaka yangu Kaa ukijua kuwa bosi hanuniwi wewe mpigie simu mwambie ukweli naamini atakuelewa, kupitia simu ya yule Binti nilipata kuongea na wafanyakazi wenzangu wapatao wanne nikajua kuwa walikuwa kikundi .
Nilichowajibu ni kwamba kosa langu ni kubwa zaidi Kuna mtu akikufukuza waweza omba msamaha, lakini kwa kosa langu ni kama nitakuwa naamsha hasira zao tu.
Wote walinielewa huku wakionesha masikitiko makubwa, kama ilikuwa ni kweli MUNGU awabariki kama ilikuwa masikitiko ya kinafiki Mimi sijui, nilikata simu huku nikijitahidi kusahau ile kampuni na habari zake ,
Ndugu msomaji
Kujikumbusha ofisi na kazi yako yenye mshahara mzuri , maumivu yake hayaelezeki
Mume wangu, kesho ndiyo ile siku ya msaada niliyombiwa na akina ESTA , Sasa hapa najiuliza sijui niende au nisiende. ni mke wangu alivunja ukimya Mara baada ya kupata dinner.
Wewe nenda mke wangu, tena jambo lako liweke kwenye ratiba zako kabisa. niliongea kwa msisitizo.
Kesho asubuhi na mapema nilikuwa maeneo ya mjini nikiwa na washikaji fulani tukishauriana jambo, wakinipa madili ya biashara ya mbao, namna wanavyofuata mzigo huko kusini na kuja kuchana hapa mjini, Kila nikifikiria ile biashara na mlolongo niliopewa naiona ngumu.
Lakini nilipiga moyo konde, nilirudi jioni sana huku nikishauriana na mke wangu mambo fulani, huku kukiwa na mafurushi ya zawadi walizopewa huko ikiwemo cherehani mpya.
Unaona Sasa mke wangu ulitaka usite kwenda huoni Kuna mashine hii , yaani hii ukivurugwa unapiga bei unapata hela ya kukusogeza siku mbili tatu.niliongea kiutani
Wewe nani auze hata kama sijui kushona vizuri, nakwambia hii itanishawishi nitahakikisha nakuwa bonge la Designer. sema nini mume wangu Mimi nakuona umenyongea kana kwamba wewe ndiye boss wa kampuni, changamka basi. aliongea mke wangu.
Kesho asubuhi niliamka nikawa nafanya kazi pale home, Mara nikusanye mchanga niweke hapa, Mara nihamishe tofali ili kuji keep busy nisiwe na mawazo.Sms hewa iliingia kwenye simu, niliangalia inatoka kwa Rose. Ikabidi niangalie hali ya usalama nikaona ni shwari nikampigia.
Naomba uje nyumbani kwetu, baba anakuhitaji, ni vyema ukabeba na Documents zako na vyeti vyako, aliongea haraka haraka na kukata simu. Kwao ilikuwa mbali kidogo lakini nilihakikisha nafika ili nijue Kuna shida gani.
Nilimuaga mke wangu Huku nikishikilia mkoba wangu vyema nikatafuta usafiri wenye kunifikisha nyumbani kwa akina Rose.
Karibu mgeni, nilikaribishwa na Rose ambapo alikuwa kwenye vazi la kiislamu hata sijui aliwaza nini kuvaa vile, nikaingia ndani huku nikimtambua haraka mama yake Rose kwani walifanana sana .
Nilimwakia yule mama ambaye niligundua ni mkarimu sana tu,
Mama huyu anaitwa Daniel, nilikwambia Mimi ukanibishia , waliangaliana wakacheka, nikashindwa kujua kwani mama mtu alimbishia Nini mwanaye,.
Karibu sana baba, hapa ndiyo nyumbani kwaakina Rose , na huyu Rose tunaye hapa maana kuolewa hataki eti hakuna wanaume. aliongea huku akimtazama Rose wakacheka huku wakigongana mikono. Nilichogundua ni kwamba Rose na mama yake wanaishi kwa masihara sana, kama mbele za wageni ndiyo vile je wakiwa wenyewe?
Baadaye alikuja pale sebuleni mzee fulani ambaye alikuwa akitembea upande ikionesha mguu mmoja ni mfupi sijui ni ajali sijui alizaliwa vile sikuuliza,.
Habari yako Daniel, alinisalimia yule mzee huku nikishangaa kanijuaje au kwakuwa aliambiwa nitakuja?
(Akicheka)najua unashangaa nimekujuaje, ila ni kwamba Mimi nakujua, nakujua kivipi, Kuna barabara fulani ilijengwa chini ya kiwango yaani geji ya kifusi ikiwa nyembamba, basi tulilalamika kwa kwa wakala wa barabara za vijijini wakatwambia , siku mkiwaona muwaambie ukweli kwakuwa bado mlikuwa mnaendelea na kazi.
Sasa basi Kuna korongo katika njia za shamba ilibidi wamwage kwanza mawe Kisha waweke kifusi, lakini wale maoperator walikataa huku HR akituporomoshea matusi, tukagundua harufu ya rushwa na upigaji kwa mkandarasi yaani boss wako, Sasa kwanini nakukumbuka,
Ni kwamba wewe ulikuja siku ya pili tukiwa tumekata tamaa tulivyokueleza namna inavyotakiwa pawe ulituelewa , Kisha ukaagiza tipper zianze kumwaga mawe, hakika ulinifurahisha sana, maana pale kifusi bila mawe ilikuwa kazi bure maana kipindi cha masika maji yanaondoka na kifusi chote. aliweka kituo
Sasa mzee wangu wewe unaishi mjini kwanini ulikuwa unaipigania ile barabara? Niliuliza maana nakumbuka ile rough road inaingia vijijini huko ndani ndani.
Ni kweli mwanangu una haki ya kuuliza ila ni kwamba Mimi huko nafuga na nalima hivyo kahela kangu ka kustaafu niliweka huko. aliongea tukacheka.
Sasa mwanangu nimekuita kwasababu moja, leo nilimsikia Binti yangu akiongea na simu huku akitaja jina lako,Mimi nikajua labda watu wake tu Sasa baada ya kusikia neno kufukuzwa kazi, ikabidi nimuulize ni nani huyo?
Ndipo akanifahamisha nikawaambia kama ni huyo kijana Mimi namfahamu aliwahi kufanya kazi kampuni ya (akiitaja ile ya kwanza)
Lakini Rose akanibishia kuwa si wewe ikabidi nitaje wajihi wako.
Nikawaambia ni mrefu na anapenda kufuga nywele, hapo hawakubisha japo huyu mama yako ndiyo kwanza anakuona. aliweka kituo baba yake Rose ni mzee muongeaji sana.
Nilichokuitia ni suala la wewe kufukuzwa kazi, nimeamua kukutoa hofu.....
Nilikwambiaje Rose, (akimuuliza Binti yake)
Uliniambia kama ni yule kijana Mimi nitampeleka shirika la(jina kapuni) alijibu Rose huku nikishangaa ile familia ilivyo na utani hadi raha .
Basi kijana kazi umepata we kajiandae tu muda wowote nakupeleka Mimi mwenyewe, huwezi kufukuzwa kwa kosa kama lile ambalo haliingii akilini , nikashangaa Hadi kosa lishakulikana,huku nikimuona Rose kama hajapenda uongeaji wa baba yake .
alisema yule mzee ambaye anaonekana ni wale wazee wa mjini, mjanja mjanja hivi.
Hakika nilifurahi sana kwani ni shirika la kiserikali lililosheheni wanasiasa, na vigogo wengi tu, nikaona kama naota, nilimshukuru sana yule mzee kwa uungwana wake huku nikiwa nishapanua wigo wa kujuana na watu.
Alamski.
Itaendelea.................