UKiona mtu anakwenda kwa Mwamposa ujue kuwa anachangamoto zake,wewe ambae hauna changamoto yoyote ya kiafya wala kiuchumi utawaona wanaokwenda kuwa niwajinga na MUNGU akusimamie mkuu kwa hilo yasikukute!. By theway Nimeipenda T shirt ya mtume Mwamposa.
Jamani ukishakuwa na changamoto ya kiafya ndo utajua,so kwenye tatizo mm sioni sababu ya mtu kutokwenda sehemu ambako anaamini kuwa ndio hatapata suluhisho la tatizo lake pawe Msikitini/Kanisani kwa sababu lengo ni kumuomba MUNGU na yeye kupata UPONYAJI .
Kuhusu kula ujana inategemea na kipato cha mtu,kama hela zenyewe kazipatia kwenye umri ambayo vigezo vyako inataka sahau kahusu kula ujana,wewe sema kuwa humpate anaye kuheshimu msogeze MAISHA mengine muachie MUNGU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.