Halo effect(mapenzi upofu)

Waterbender

JF-Expert Member
Oct 2, 2018
6,816
8,666
Ukipenda hauoni.

Unapokuwa kwenye mapenzi na mtu ni ngumu kuona mapungufu yake sababu ubora unaopenda kwake, unafanya upuuzie mapungufu aliyonayo. Kitaalamu hali hiyo inaitwa "Halo Effect".

Ila mwisho wa siku mapenzi huisha ndipo utakapo yaona hayo mapungu uliyo yapuuza.

binti sayuni licha ya kuwa na tako lakinbaada ya mapenzi kuisha niligundua kumbe ni mfupi sana😂😂, Ebu tuwambie ww uligundua nini?
 
Ukipenda hauoni.

Unapokuwa kwenye mapenzi na mtu ni ngumu kuona mapungufu yake sababu ubora unaopenda kwake, unafanya upuuzie mapungufu aliyonayo. Kitaalamu hali hiyo inaitwa "Halo Effect".

Ila mwisho wa siku mapenzi huisha ndipo utakapo yaona hayo mapungu uliyo yapuuza.

binti sayuni licha ya kuwa na tako lakinbaada ya mapenzi kuisha niligundua kumbe ni mfupi sana😂😂, Ebu tuwambie ww uligundua nini?

Hizi sio pigo za wanaume...
 
Back
Top Bottom