Yaani mimi Mungu amenijibu mambo mengi sana tukio kubwa kabisa nilizaa na mke wa mtu na jamaa akajua na alipanga kunifanya jambo baya ila nilipiga magoti na kutubu madhambi yangu yote na baada ya siku mbili jamaa akaniambia kanisamehe na mpaka leo mtoto yuko nae
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.