Sababu 6 kwanini sitoenda kuhudhuria mazishi ya mbunge wangu Captain Komba

ni mbunge wa "nyumbani kwetu"
Umejiandaaje paendelee kuwa kwenu yaani mwisho wa siku huko jimboni kwenu jina lako linaonekane kwenye hati hata ya robo acre na sio kwenye chupa ya soda maana wengi tunapotoka makwetu huko ndio huwa ni jumla na hii ni changamoto kwa wengi alafu mwisho wa siku anarudi kwao kugombea udiwani wakati jina lake halimo hata kwenye register ya mtendaji wa kijiji
 
View attachment 231411
Mkee mkubwa wa Komba Salome katikati na mke mdogo kulia
Unaambiwa uswali kabla hujaswaliwa kwa hiyo Makinda ajiombee msamaha kivyake na amwache Komba akabebe msalaba wake.
Tuache unafiki kama waliouonyesha jana,nyumbani kwa marehemu,inaonyeshwa wake wa marehemu wawili,lakini kwenye wasifu wa Komba inaelezwa ameacha mwanamke mmoja.
Halafu kanisa katoliki likamfanyia ibada kama muumini aliye kwenye ndoa takatifu,siamini kama hawakuwa na taarifa bali umaarufu wa Komba uliwafumba macho.
Makinda kaa pembeni mwache Komba abebe msalaba wake.

Kanisa linatambua ndoa moja takatifu pekee ..na salome mke mkubwaameishi nae kwa zaidi ya miaka 30 sasa maana nakumbuka jubilei ya ndoa yao...kwahiyo ulitaka kanisa lisifanye ibada ya mazishi yake wasusie sio??
 
Yan kweli we ngonyani, sas ndo umeandka ujinga gan apa, au unataka2 tuone nawew umepost, aya tushaona. Jipange tena uje bro....!!!!
 
1. Ni mtu ambaye ameifikisha nchi hapa ilipo kwa kusaidia kurubuni maskini wasio na elimu kwa vinyimbo vyake ili waichague CCM na kuwapiga vijembe wapinzani.

1. Ni mtu aliyehamia Dar badala ya kuishi Liuli au hata Nyasa, huku akijua kuwa yeye ni mwakilishi wa wananchi. Tena huko Dar hadi mtaa anaoishi ukapewa jina lake kwa umaarufu wake.

3. Ni mtu aliyetaka kulitumbukiza taifa ktk machafuko kwa kauli yake ya kuwa iwapo rasimu ya katiba ya jaji warioba ingepita "angeingia msituni kupigana".

4. Ni mtu ambaye hakupenda demokrasia hata kidogo na alitusi mara kadhaa vyama visivyo madarakani na kutoa lugha ya kejeli.

5. Ni mtu aliyemtukana sana jaji Warioba kuliko watu wote nchi hii. Alitoa matusi, kejeli na dharau dhidi ya jaji Warioba huku akiwa anajua/hajui kuwa mzee Warioba alikuwa "mjumbe" tu wa kile walichosema watanzania.

6. Mwanae Komba, Fred alijiunga na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) punde tu alipomaliza kuchukua shahada yake pale SAUT na akamwelezea tabia ya baba yake kuwa ni "MBAYA" na miongoni mwa watu walioichukia demokrasia ni huyu marehemu

kwa lipi nipange safari kwenda nyumbani kumzika huyu jamaa? Sina wivu wala inda kwa ndugu yangu, mbunge wangu wa kule nyumbani wala chuki nae. "Ila ukweli hastahili kupata pole ya kifo wala faraja ya kifo kutoka kwa wazalendo na wapinga ukoloni weusi"

Shukrani a. Ngonyani

Machi 03, 2015

Dar Es Salaam

Ngonyani@naij.com/sirngonyani@gmail.com

+255 784 37 97 99
wewe ni mpumbavu tu ndo maana akili imejaa kutu hata ikakufanya uandike upuuzi wako ndani ya jf.kwani komba alikuwa rais,kiasi cha kuyafanya hayo usemayo?umeonnyesha ukomavu wako wa kijinga kama unarbuniwa na nyimbo basi ww ni fara.Unasema angeishi nyasa ni nyasa ipi?nyasa ni wilaya ni ina maeneo mengi kwa maana ya,kijiji,kata,kitongoji ni wapi unapoongelea?
Unauhakika na upuuzi wako unaoongelea humu jf.kwanza ww hutoki nyasa kwa jinsi tu unavyobwabwaja sababu hiyo siyo hulka ya watu wa nyasa.hata unachoandika hakireflect kama unatoka huko.Acha upuuzi andika educative issues
 
Heri mzee wangu Warioba hakwenda,dhambi ya yale aliyomtamkia lazima aibebe.
Bado haka katoto kalikompiga mzee wetu haka ka- Makonda,pia vuvuzela Nepi.
Mungu akujaalie mzee Warioba.
 
Je, usipoenda kumzika hatazikwa?
Itasaidia nini kugombana na maiti?

.................Pumzika kwa amani John Komba.
 
binadamu ana maOvu ndio maana akifa ananuka ila pia hakuna aliekamilika chini ya jua na hakuna ajuae kesho pengine inaweza kua zamu yako mi nafikiri marehemu alikua na mazuri yAke na mabaya yake ila kilichomponza ni umaarufu tu maana hata wewe wanaokujua wakileta skendo zako huenda ukahama jf jumla
 
[h=1]Matthew 7:1-3[/h] [h=3]Judging Others[/h]7 “Judge not, that you be not judged. [SUP]2 [/SUP]For with the judgment you pronounce you will be judged, and with the measure you use it will be measured to you. [SUP]3 [/SUP]Why do you see the speck that is in your brother's eye, but do not notice the log that is in your own eye?
 
1. Ni mtu ambaye ameifikisha nchi hapa ilipo kwa kusaidia kurubuni maskini wasio na elimu kwa vinyimbo vyake ili waichague CCM na kuwapiga vijembe wapinzani.

1. Ni mtu aliyehamia Dar badala ya kuishi Liuli au hata Nyasa, huku akijua kuwa yeye ni mwakilishi wa wananchi. Tena huko Dar hadi mtaa anaoishi ukapewa jina lake kwa umaarufu wake.

3. Ni mtu aliyetaka kulitumbukiza taifa ktk machafuko kwa kauli yake ya kuwa iwapo rasimu ya katiba ya jaji warioba ingepita "angeingia msituni kupigana".

4. Ni mtu ambaye hakupenda demokrasia hata kidogo na alitusi mara kadhaa vyama visivyo madarakani na kutoa lugha ya kejeli.

5. Ni mtu aliyemtukana sana jaji Warioba kuliko watu wote nchi hii. Alitoa matusi, kejeli na dharau dhidi ya jaji Warioba huku akiwa anajua/hajui kuwa mzee Warioba alikuwa "mjumbe" tu wa kile walichosema watanzania.

6. Mwanae Komba, Fred alijiunga na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) punde tu alipomaliza kuchukua shahada yake pale SAUT na akamwelezea tabia ya baba yake kuwa ni "MBAYA" na miongoni mwa watu walioichukia demokrasia ni huyu marehemu

kwa lipi nipange safari kwenda nyumbani kumzika huyu jamaa? Sina wivu wala inda kwa ndugu yangu, mbunge wangu wa kule nyumbani wala chuki nae. "Ila ukweli hastahili kupata pole ya kifo wala faraja ya kifo kutoka kwa wazalendo na wapinga ukoloni weusi"

Shukrani a. Ngonyani

Machi 03, 2015

Dar Es Salaam

Ngonyani@naij.com/sirngonyani@gmail.com

+255 784 37 97 99

[h=1]Matthew 7:1-3English Standard Version (ESV)[/h] [h=3]Judging Others[/h]7 "Judge not, that you be not judged. [SUP]2 [/SUP]For with the judgment you pronounce you will be judged, and with the measure you use it will be measured to you. [SUP]3 [/SUP]Why do you see the speck that is in your brother's eye, but do not notice the log that is in your own eye?
 
Ukweli ni kuwa hukumu ya mwisho ya kila mmoja wetu ni Mwenyezi Mungu aliye na mamlaka nayo. Kifo cha Kepteni Komba kinatukumbusha kuishi maisha mema hapa duniani. Kitu ninachokiona ni kuwa baadhi ya waombolezaji walikuwa wanalia wakiona kuwa "Chama Chao" kinakosa mhamasishaji. Yote kwa yote turekebishe mienendo yetu hasa tunavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu.
 
Sawa, baki nyumbani kwako, tuache sie tukazike!
wewe ni mtakatifu huna mabaya kama ya Marehemu Komba!
 
Ngoja watu wafunguke bhana kwani nini!!zile zama za kummiminia sifa na kumremba marehemu kizuzu zimeshapitwa na wakati.By the way,yule ameshakuwa marehem tayari wala hayasikii haya bali haya ni fundisho kwa waliosalia wenye vinasaba kama vya marehem na watawala wanaojiona kana kwamba wao kifo hakiwahusu.ASANTE NGONYANI KWA KUNISEMEA
 
Back
Top Bottom