Mimi napata sana shida ya kifikra kuhusu mizimu.
Najiuliza, mizimu inapata wapi nguvu ya kutenda? Kama wanaipata toka kwa Mungu huyu wa Biblia, kwa nini Mungu huyohuyo hapendi ibada za mizimu? Rejea Hesabu 25, utaona jinsi Waizraeli walioshiriki ibada ya matambiko/sadaka za miungu huko Shitimu...