Habari zenu wakuu,
Naomba nisiwe na maneno mengi sana, mimi ni mwanafunzi hapa Chuo Kikuu Mzumbe mwaka wa pili. Hapa chuoni kuna usumbufu na kero kubwa zinazo endelea dhidi ya wanafunzi, uongozi wa chuo naona umechoka na wanafanya kazi kwa mazoea na ubabe mkubwa. Kwa mfano, sasa hivi wamegoma...
Nadhani serikali inatakiwa kuhakikisha inagharamia mahitaji yao yote kwa ukaribu zaidi wakiwa huko walipo sasahivi, na kama pameonekana ni mahali salama wao waachwe tu huko huko maana ikitokea wamekuja nchini wakiwa wameathiriwa na virusi itakua hatari zaidi.
Nchi bado inapambana na malaria...
Saivi tumeanza kuwapeleka shule kwa lazima maana tulikuja kugundua kwamba ukosefu wa elimu ndio unawafanya wanakua wehu, na wakileta ujinga wa kuvaa mabomu dawa yaohua ni kuozea jela tu mkuu
Akianza kubana chocho apige watu ngeta utaanza tena ooh wasanii wa bongo maskini bla bla blah hawana pesa maringo sijui ujuaji. Wakimtafuna atajua mwenyewe acha apambanie ugali wake vyovyote anavyoona inamfaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.