Recent content by Lakini si kweli

  1. L

    JamiiForums Tanzania Faida za kua na wi-fi router zenye ubora na speed nzuri

    Kwanza Airtel hata ulichelewa kulipia bandle huhitaji kuwasiliana na wahudumu ili kuwashiwa Bali unajiunga tu so Airtel ni best Zaid na Vodacom
  2. L

    JamiiForums Tanzania Hili wimbi la wahamiaji hasa Burundi Jenerali wa Magereza anasubiri nini kupisha ofisi?

    Hapa kahama Hadi wamenunua viwanja
  3. L

    JamiiForums Tanzania Google Pixel 8 Pro iko vizuri kuliko nilivyodhania

    Kwa Sasa Google pixel 8Pro ni Bei gani. Na Samsung Galaxy S22 ultra Bei gani
  4. L

    JamiiForums Tanzania Samsung A35 original kwa dar wapi ntapata

    Pixel 8Pro Bei gani Na Samsung Galaxy S22 ultra Bei gani
  5. L

    JamiiForums Tanzania Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

    Babu ndio umechoka kiasi hicho my brother?😭😭 Masoro Diwani Kipilimba Mabeho na wengine wengi
  6. L

    JamiiForums Tanzania Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

    Naomba uwe makini kusoma haya majina😆 1.Padri ,aliesoma mzumbe akawa mwambata Rwanda now yupo ngorongoro 2.Askofu Mara yupo Nida Mara bank kuu 3.Police alafu diwani alafu anazuia Rushwa 4. Musowero
  7. L

    JamiiForums Tanzania Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

    Mpaka anaamua kuongea keshajiandaa kukabiliana na wahuni , inawezekana ujumbe umetumwa akiwa Tayar yupo eneo salama na keshahakikishiwa kuwa humo wahuni hawawezi kumfikia. Japo kwa namna alivyo naweza kuamini kuwa wale wahuni 4 yule mtawala wa kata, Askofu, Padri na shekhe Kuna mawasiliano...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

    Mpaka anaamua kuongea keshajiandaa kukabiliana na wahuni , inawezekana ujumbe umetumwa akiwa Tayar yupo eneo salama na keshahakikishiwa kuwa humo wahuni hawawezi kumfikia. Japo kwa namna alivyo naweza kuamini kuwa wale wahuni 4 yule mtawala wa kata, Askofu, Padri na shekhe Kuna mawasiliano...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Wakati wa kukabidhi kombe kwa Chelsea jana sikuona Rais Trump akiwa na walinzi

    Swali limeulizwa kiufundi Sana lakini pia Lina ujumbe, kiufupi ujumbe wako umefika mkuu tutapunguza mbwembwe zisizo na maana lakini pia tutajitahidi kutenda haki na kutumia akili Zaid na sio nguvu
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wakristo wenzangu, nyimbo gani za Gospel zinakubariki jumapili ya leo July 13, 2025?

    Wewe ni Mungu haubadiliki ya Rev.Abiud Misholi Boazi Danken Haufanamishwi Fanuel Sedekia Manukato Bulyankulu Ufunuo wake Yohana Boaz Danken Mimi Nipungue
Back
Top Bottom