Samsung A35 original kwa dar wapi ntapata

Samsung A35 original kwa dar wapi ntapata

Niemangalia kwenye page yao A35 128GB wanauza 670000 sijui ni mpya au refurbished
Phone point Dar wapo vizuri hawana bei za kijinga kama hao wanaojiita Samsung store. Wanakuwaga wa kweli kama simu ni used/refurbished wataandika. Kama hawajaandika basi mpya. Ila waulize kama ni Dubai stock au Afrika stock (yenye warranty ya miaka 2)
 
Utaaminije hiyo page kuwa ni official ya Samsung bila hata kuwa na blue tick?

Hivi Samsung wana duka la reja reja la simu zao Tanzania? Sio kwamba wanatumia authorized dealers kama ma agent wa kuuza simu zao Tanzania?
Ingia Galaxy Shop kwenye simu yako Anza ku search maduka ya Samsung yaliyopo karibu yako ambapo wauzaji ni Watanzania ambao wapo authorized na Samsung.
Jua duka lipo wapi, nenda kaulizie bei. Usikubali kuuziwa Galaxy A35 kwa 950000/=
zinasafisha na dhambi hizo bei uwiii
 
Back
Top Bottom