malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,717
- 4,295
- Thread starter
- #21
Niemangalia kwenye page yao A35 128GB wanauza 670000 sijui ni mpya au refurbishedPhonepoint dar
Niemangalia kwenye page yao A35 128GB wanauza 670000 sijui ni mpya au refurbishedPhonepoint dar
SimjuiUnamjua?
Mueshimu.Simjui
UsinifokeeMueshimu.
Nimekushauri tu mkuu, thamaani kama nimekukwaza.Usinifokee
Phone point Dar wapo vizuri hawana bei za kijinga kama hao wanaojiita Samsung store. Wanakuwaga wa kweli kama simu ni used/refurbished wataandika. Kama hawajaandika basi mpya. Ila waulize kama ni Dubai stock au Afrika stock (yenye warranty ya miaka 2)Niemangalia kwenye page yao A35 128GB wanauza 670000 sijui ni mpya au refurbished
au tech360Phonepoint dar
Hamna hujanikwazaNimekushauri tu mkuu, thamaani kama nimekukwaza.
narudibadaeWakuuu nakuja kwenu nataka kununua sumsang A35 oringal full box,Niko dar maduka Gani wanauza samsung original
zinasafisha na dhambi hizo bei uwiiiUtaaminije hiyo page kuwa ni official ya Samsung bila hata kuwa na blue tick?
Hivi Samsung wana duka la reja reja la simu zao Tanzania? Sio kwamba wanatumia authorized dealers kama ma agent wa kuuza simu zao Tanzania?
Ingia Galaxy Shop kwenye simu yako Anza ku search maduka ya Samsung yaliyopo karibu yako ambapo wauzaji ni Watanzania ambao wapo authorized na Samsung.
Jua duka lipo wapi, nenda kaulizie bei. Usikubali kuuziwa Galaxy A35 kwa 950000/=
Siku hizi wamekuwa na bei za hovyoau tech360
MpyaNiemangalia kwenye page yao A35 128GB wanauza 670000 sijui ni mpya au refurbished