kama una michepuko ujue jinsi ya kuihandle..yan km mie huyo mwanaume ninampa kerbu za kutosha af nikimaliza nampa bonge la game akitoka hapo anaweza usahau mchepuko..kama hajamsahau nakata hiko kinachomuwasha...ndo atatulia.ova
huyo anakupenda ndo maana kakujibu anakufikiria coz km mtu humtaki unamwambia direct yanaisha hapo ila kuwa mvumilujvu kijana wenzako wanafukuzia hata miaka saba we miezi saba tu ushalalamika?anhaa unaniabisha bwana..komaa tu mpk kieleweke
cjaona tatizo hapo bro kwani yeye kutoa mimba kumekuathiri nin kwenye mapenzi yenu?fikiria wewe vingapi umemdanganya?past is past and its already gone focus on future my dear.
hehehe...loh mwanamke ana gubu huyo utafikiri ndugu wa mume..cha muhimu kiongoz we kula hzo chips zako inavyoonesha alishafakamia kiporo chake cha mchana hapo yuko full.
mh...huyo nae mwanaume mzima unadiscuss dushe la mwenzio?hovyoo..by the way yote n maumbile tu mungu kaumba cha muhimu kufikishana kibo size does not matter coz hata kidole kinatosha kumfikisha mwanamke.
hivi kwanza unakuaje na mwanamke ambaye unamuona mbaya..kwa ajili ya kusuuza rungu tu au?trust me hamna mwanamke mbaya ila ni matunzo tu na kumkubali the way alivyo.
kuna rafiki yangu ananiambiaga eti bao la kwanza anapga kavu but la pili n la tatu anatumia kondom coz friction ya pili inakuwa kali ila namshangaa coz sioni mantiki hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.