Imeniuma sana hii kitu

Imeniuma sana hii kitu

kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion!!!!
jaman hiyo inshu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nn cha kumfany maana niliwah kumuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata, jaman waungwana huyu ananifaa kwel?

We unataka mke kweli au?
 
Lkn pia angalia kwa jicho la tatu kwamba huyo x-bf wake anaweza akawa anataka huyo dada abakie tu asije akaolewa hata siku moja na kufanikiwa,hivyo anaweza tumia mbinu ya kumchafua ili lengo lake litimie,tafakari chukua hatua.
 
kuna msichana
nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa
wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo
wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na
yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu
akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G
friend wangu waliwah ku abotion!!!!
jaman hiyo inshu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nn cha kumfany maana
niliwah kumuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba
lakini akanikatali katakata, jaman waungwana huyu ananifaa kwel?

unataka mwanamke au? anakufaa sana maana na wew hukumwambia mimba ulizotoa ma x wako.samehe na sahau
 
Anzia pale mwenzako alipoishia na songa mbele , Upekupeku hutapata Mwanamke yeyote asiyekuwa na Background kama ulivyo wewe
 
Mi nataka kujua mlianza anzaje wewe mwanaume mzima kupiga story za mpenzi wako na shemeji wa zamani?
 
cjaona tatizo hapo bro kwani yeye kutoa mimba kumekuathiri nin kwenye mapenzi yenu?fikiria wewe vingapi umemdanganya?past is past and its already gone focus on future my dear.
 
Uongo n mbaya sana watu hawajui tu..kama uliwah muuliza akakana na hakutaka kujua mdokeze tena mwambie una habar zake umeskia aliwah abort uone atakavyojibu halafu ujaribu kufanya research yako mwenyewe uthibitishe hicho ulichoambiwa... Ataficha hadi lini

kweli kabisa wakati mnaanza relation unamuuliza mtu ili ujicondition uko na mtu wa aina gani but akikudanganya mambo mengine ujue kadanganya.
'mmoja nlitaka kuanzisha naye relation nkamuukiza una mtoto/watoto wangapi? kaniambia hajawahi tena nisimkumbushe jinsi ambavyo mama yake na ndugu wanamsema jinsi amechelewa kuoa na hana hata mtoto wakusingiziwa. ktk story za hapa na pale kwa simu akawa anahitaji kwenda kusoma masters akalalamika hela ni nyingi. nkamwambia kwakuwa huna mtoto anayekutegemea kama mimi jibane usome we si bachela hela una maliza pesa na nini? akajikuta anaropoka mtoto wangu kaanza kindergaten natoa ada mimi mtoto mwenyewe kumuona ni shughuli siunajua mwanamke ukimzalisha hujamuoa anakuwa na visaa ila natuma matumiz kuepuka shari. nkamuuliza una mtoto akasema roho imeniuma ulivyonambia sina majukumu na uzee huu. nikamwambia na mengine yote ulonambia nayafuta yote niya uongo tafuta form two umdanganye unafichaje mtoto ulokwisha kumzaa. nikamdelete siku ile kwa sababu hiyo
 
pole sana, me sipendi kudanganywa hata kidogo na hua nina mazoea ya kumuuliza mtu kama hivo ili mwisho wa siku kauli zake ndo zimfunge kwa kweli sipati picha ulivyokua na maumivu juu ya huo udanganyifu me wangu alifungua duka lake kisiri siri hakunishirikisha akatafta mtu akamueka hapo mungu akamtaariza kadhulumiwa hela za mauzo na huyo aliemueka anakuja kunambia et leo siko poa kuna jamaa kanidhulumu hela zangu nauliza ulimkopa eti hapana za mauzo duka nauliza vizur duka gani ndo anabwabwaja tena oh sorry sikukuambia nikamuambia mimi sina hiyana na ww ndo mana mungu aniooneshea mapema sitak tena kuanzia leo bas itakua una vingi sio hivi tu. vinauma sana hasa vikikikuta kama havijakukuta huwez jua
kweli kabisa wakati mnaanza relation unamuuliza mtu ili ujicondition uko na mtu wa aina gani but akikudanganya mambo mengine ujue kadanganya.
'mmoja nlitaka kuanzisha naye relation nkamuukiza una mtoto/watoto wangapi? kaniambia hajawahi tena nisimkumbushe jinsi ambavyo mama yake na ndugu wanamsema jinsi amechelewa kuoa na hana hata mtoto wakusingiziwa. ktk story za hapa na pale kwa simu akawa anahitaji kwenda kusoma masters akalalamika hela ni nyingi. nkamwambia kwakuwa huna mtoto anayekutegemea kama mimi jibane usome we si bachela hela una maliza pesa na nini? akajikuta anaropoka mtoto wangu kaanza kindergaten natoa ada mimi mtoto mwenyewe kumuona ni shughuli siunajua mwanamke ukimzalisha hujamuoa anakuwa na visaa ila natuma matumiz kuepuka shari. nkamuuliza una mtoto akasema roho imeniuma ulivyonambia sina majukumu na uzee huu. nikamwambia na mengine yote ulonambia nayafuta yote niya uongo tafuta form two umdanganye unafichaje mtoto ulokwisha kumzaa. nikamdelete siku ile kwa sababu hiyo
 
Mkiambiwa ukweli mnawaacha ndomana wanawadanganya, yazamani yazamani ukifwatilia sana yatakuumiza.
 
Acha kujipa stress bur mkuu,jana ndo imemjenga akawa hivo leo huna budi kuptezea coz historia haifutiki
 
Hata angekuwa amemuoa, it's none of his business, that is the past and it's what makes her who she's today, the girl that he 'loves' may be she's regretting of what happened and she managed to move on. She's learned her lessons. Does he have a clean record himself au kwa sababu wanaume hatubebi mimba?
Asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe.

Thanks for the nice comment, Wanasahau boriti iliyo katika macho yao na kuangalia ya wengine!
 
Hilo swali hata sitaki kuuliza. Coz chances za kuambiwa hajawahi ni 100%.
 
Mkuu usikute hata hili swali ushawahi uliza..... sijui nalo alikujibu vipi....?
Btw girls ain't loyal
Pole sana
 

Attachments

  • 1413538963846.jpg
    1413538963846.jpg
    17.9 KB · Views: 78
Sasa ulitaka akuambie ukweli ili umuache?
Hata hivo za kuambiwa changanya na zako
 
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion.

Jamani hiyo ishu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nini cha kumfanya maana niliwahi kumuuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata.

Jamani waungwana huyu ananifaa kweli?
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:...hujambo?
 
Kuna
msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna
jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana
mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga
story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu
akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G
friend wangu waliwah ku abotion.

Jamani hiyo ishu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nini cha kumfanya
maana niliwahi kumuuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa
mimba lakini akanikatali katakata.

Jamani waungwana huyu ananifaa kweli?

Jiangalie kwanza kama ww ni msaf ndo umhukumu! Huwez jua altoa hyo mimba ktk mazngira yapi! Na kutokukuambia alkuwa na sababu. Coz baadh ya me hampend kuoa wanawake wenye watoto au alyewah kupata mimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom