Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo uandishi..unajiona kama ''starring'' vile.....
huo uandishi..unajiona kama ''starring'' vile.....
Anza kuweka booking ya cello pale segerea au ukonga.
Nilikutana na
mrembo mmoja disco vumbi akiwa stejini anasakata rumba kama kawaida
mzunguko mwenye dau kubwa ndo anacheza na demu, nikakata mshiko pale
nikaanza kudansi na mrembo huyo huku nachana mistari demu akaeleweka
nikaupua mzigo hadi gheto nikala mzigo hadi saa kumi na moja asubuhi
nikamutoa akaondoka zake mapema. kumbe huyo demu alichukua namba yangu
kwenye simu bila mimi kufahamu.
Baada ya mwezi mmoja simu yangu ikaiita kucheki naona namba ngeni
nikapokea kwa kujiamini, akasema mpenzi habari za siku nikamuuliza wewe
nani unaitaita watu wapenzi? akajibu akisema mi Loveness uliyemchukua
disco tukaenda kwako kulala, eeh unasemaje sasa, eti mimi nina mimba
yako mwezi ulopita sikuona siku zangu, halafu ujue mimi ni mwanafunzi
kidato cha pili nipo shuleni sasa hivi kwahiyo nimeona nikujulishe
kinachoendelea, kidume nilichokaje na akazidi kusisitiza kama huamini
nije tukapime.
Nikamuuliza disco ulitafuta nini kama wewe ni mwanafunzi, nikamuambia
nitolee ujinga wako hapa huo upuuzi sitaki hata kuusikia na kukata simu
kwa hasira.
Sasa wakuu mimi nifanye hapo na mazingira hayo, naombeni ushauri
wenu.
Nilikutana na mrembo mmoja disco vumbi akiwa stejini anasakata rumba kama kawaida mzunguko mwenye dau kubwa ndo anacheza na demu, nikakata mshiko pale nikaanza kudansi na mrembo huyo huku nachana mistari demu akaeleweka nikaupua mzigo hadi gheto nikala mzigo hadi saa kumi na moja asubuhi nikamutoa akaondoka zake mapema. kumbe huyo demu alichukua namba yangu kwenye simu bila mimi kufahamu.
Baada ya mwezi mmoja simu yangu ikaiita kucheki naona namba ngeni nikapokea kwa kujiamini, akasema mpenzi habari za siku nikamuuliza wewe nani unaitaita watu wapenzi? akajibu akisema mi Loveness uliyemchukua disco tukaenda kwako kulala, eeh unasemaje sasa, eti mimi nina mimba yako mwezi ulopita sikuona siku zangu, halafu ujue mimi ni mwanafunzi kidato cha pili nipo shuleni sasa hivi kwahiyo nimeona nikujulishe kinachoendelea, kidume nilichokaje na akazidi kusisitiza kama huamini nije tukapime.
Nikamuuliza disco ulitafuta nini kama wewe ni mwanafunzi, nikamuambia nitolee ujinga wako hapa huo upuuzi sitaki hata kuusikia na kukata simu kwa hasira.
Sasa wakuu mimi nifanye hapo na mazingira hayo, naombeni ushauri wenu.
Unachukua kahaba disco na kuzini nae bila kutumia kondomu, hukujua kuwa kuna UKIMWI??Nilikutana na mrembo mmoja disco vumbi akiwa stejini anasakata rumba kama kawaida mzunguko mwenye dau kubwa ndo anacheza na demu, nikakata mshiko pale nikaanza kudansi na mrembo huyo huku nachana mistari demu akaeleweka nikaupua mzigo hadi gheto nikala mzigo hadi saa kumi na moja asubuhi nikamutoa akaondoka zake mapema. kumbe huyo demu alichukua namba yangu kwenye simu bila mimi kufahamu.
Baada ya mwezi mmoja simu yangu ikaiita kucheki naona namba ngeni nikapokea kwa kujiamini, akasema mpenzi habari za siku nikamuuliza wewe nani unaitaita watu wapenzi? akajibu akisema mi Loveness uliyemchukua disco tukaenda kwako kulala, eeh unasemaje sasa, eti mimi nina mimba yako mwezi ulopita sikuona siku zangu, halafu ujue mimi ni mwanafunzi kidato cha pili nipo shuleni sasa hivi kwahiyo nimeona nikujulishe kinachoendelea, kidume nilichokaje na akazidi kusisitiza kama huamini nije tukapime.
Nikamuuliza disco ulitafuta nini kama wewe ni mwanafunzi, nikamuambia nitolee ujinga wako hapa huo upuuzi sitaki hata kuusikia na kukata simu kwa hasira.
Sasa wakuu mimi nifanye hapo na mazingira hayo, naombeni ushauri wenu.
Uzuri wa Jf mtu anaweza kuwa anaumwa mavi na bado anaomba ushauri wakati anajua suluhisho ni kwenda kunya!
Kijana unaonekana hujali afya yako kabisa, umekutana na Dem disko unamla bila kondomu, umekutana na jimama muuza asali umekula bila kondomu, nk nk!!Nilikutana na mrembo mmoja disco vumbi akiwa stejini anasakata rumba kama kawaida mzunguko mwenye dau kubwa ndo anacheza na demu, nikakata mshiko pale nikaanza kudansi na mrembo huyo huku nachana mistari demu akaeleweka nikaupua mzigo hadi gheto nikala mzigo hadi saa kumi na moja asubuhi nikamutoa akaondoka zake mapema. kumbe huyo demu alichukua namba yangu kwenye simu bila mimi kufahamu.
Baada ya mwezi mmoja simu yangu ikaiita kucheki naona namba ngeni nikapokea kwa kujiamini, akasema mpenzi habari za siku nikamuuliza wewe nani unaitaita watu wapenzi? akajibu akisema mi Loveness uliyemchukua disco tukaenda kwako kulala, eeh unasemaje sasa, eti mimi nina mimba yako mwezi ulopita sikuona siku zangu, halafu ujue mimi ni mwanafunzi kidato cha pili nipo shuleni sasa hivi kwahiyo nimeona nikujulishe kinachoendelea, kidume nilichokaje na akazidi kusisitiza kama huamini nije tukapime.
Nikamuuliza disco ulitafuta nini kama wewe ni mwanafunzi, nikamuambia nitolee ujinga wako hapa huo upuuzi sitaki hata kuusikia na kukata simu kwa hasira.
Sasa wakuu mimi nifanye hapo na mazingira hayo, naombeni ushauri wenu.
Ndio hivyo,ilikuwaga mzee .Kijana unaonekana hujali afya yako kabisa, umekutana na Dem disko unamla bila kondomu, umekutana na jimama muuza asali umekula bila kondomu, nk nk!!
Jamani tuwe makini na afya zetu
Kwa kuwa umepima na umesalimika upo HIV negative, nakushauri achana na ngono zembe, tafuta mwanamke mmoja pima nae, akiwa yupo salama kuwa nae huyo huyo mmoja mwaminifu, kijana wa 30 years ni nguvu kazi ya taifa, usichezee afya yako kizembe!Ndio hivyo,ilikuwaga mzee .