Recent content by Ladslaus Modest

  1. Ladslaus Modest

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Wakuu wote (Kubota, Mama-Timmy, Mama-Joe, Asigwa, LiverpoolFC, Guta, n.k, n.k, n.k); Jamani Mwenyezi Mungu awabariki sana sana sana. Wajasiriamali tunaelimika sana. Mie nilitaka nikasome certificate ya vet ili niweze kufuga kuku wa asili/kienyeji vizuri, lakini kwa kusoma uzi huu, pamoja na...
  2. Ladslaus Modest

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Wakuu wote (Kubota et al), Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kutupa wajasiriamali uzi huu. Mkuu Chasha; leo ni tarehe 17 bado naendelea kukusubiri. Ubarikiwe.
  3. Ladslaus Modest

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mkuu Chasha, na Wakuu wote; Mwenyezi Mungu awabariki sana. Mkuu Chasha bado nasubiri upate laptop ili niendelee kufaidi, maana ilikuwa tarehe 10 leo tarehe 15. Kuhusu signature ni imani, na kila imani imekamilika na ina Mungu wake.
  4. Ladslaus Modest

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Wakuu wote, (Kubota et al). Mungu mwenyezi katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth, awabariki sana. Mkuu Chasha, naomba kujua jinsi ya kuandaa mbegu za mpapai kama dawa ya kideri. Ubarikiwe.
  5. Ladslaus Modest

    Taarifa: House girl wa Regia naye afariki dunia!

    Bwana alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana na Libarikiwe. (Ayubu 1:21) Amen
  6. Ladslaus Modest

    Kutoka CHADEMA: Updates juu ya msiba wa Mheshimiwa Regia Estelatus Mtema

    Mpendwa Regia Estelatus Mtema, tulimpenda sana, lakini Muumba wake amempenda zaidi. Bwana alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana na Libarikiwe Amina (Ayubu 1:21).
  7. Ladslaus Modest

    Mh. Sitta kuendelea kukaa kwenye nyumba ya Spika Masaki ni halali?

    Nchi yetu Tukufu Tanzania IMEBARIKIWA, Navunja laana hiyo unayoisema katika Jina la Yesu Kristo. Amen.
  8. Ladslaus Modest

    Rostam Aziz aachia ngazi CCM

    HUU NI USHINDI KWA WAPENDA-HAKI NDANI YA CCM Mungu Ibariki CCM, Mungu Ibariki Tanzania na Watu Wake. Amina.
  9. Ladslaus Modest

    Nape: Sikuwahi sema kuwa Mafisadi wataondolewa CCM baada ya siku 90

    CCM haijawaangamiza wananchi. CcM imeijenga hii nchi ya Tanzania kwa Muda mrefu. CCM ina haki ya kuendelea kuitawala Tanzania kwa miaka 40 tena sasa maana wanauwezo mkubwa wa kuongoza. Mnyonge mnyongeni, Haki yake mpeni.
  10. Ladslaus Modest

    Bundi CHADEMA kapewa kigoda

    Hiyo ya ku-go out ni ndoto za Alnacha, bado CCM itaendelea kukutawala hata ukiongea kwa jazba. na Rais wa Tanzania mwaka 2015 ni Edward N. Lowasa.
  11. Ladslaus Modest

    Bundi CHADEMA kapewa kigoda

    Tafadhali tuthibitishie hiyo project inaitwaje na Project Manager wake ni nani na Mkataba ulisainiwa lini.
  12. Ladslaus Modest

    Huyu ni mbunge wa chama gani?

    Maneno ya mkosaji.
  13. Ladslaus Modest

    Huyu ni mbunge wa chama gani?

    CDM hawana ubavu wa kumfukuza, maana kuna madhara yake kidemokrasia. John Shibuda, endelea na uzi huo huo.
  14. Ladslaus Modest

    Huyu ni mbunge wa chama gani?

    Huyu ni Mbunge wa Maswa Magharibi kwa Ticket ya CHADEMA, anaitwa JOHN SHIBUDA. Hii ndiyo Chadema.
  15. Ladslaus Modest

    CCM ina serikali sikivu

    Serikali ya Tanzania ambayo inaongozwa na CCM ni SIKIVU.
Back
Top Bottom