Wakuu wote (Kubota, Mama-Timmy, Mama-Joe, Asigwa, LiverpoolFC, Guta, n.k, n.k, n.k); Jamani Mwenyezi Mungu awabariki sana sana sana. Wajasiriamali tunaelimika sana.
Mie nilitaka nikasome certificate ya vet ili niweze kufuga kuku wa asili/kienyeji vizuri, lakini kwa kusoma uzi huu, pamoja na...
Wakuu wote (Kubota et al), Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kutupa wajasiriamali uzi huu.
Mkuu Chasha; leo ni tarehe 17 bado naendelea kukusubiri. Ubarikiwe.
Mkuu Chasha, na Wakuu wote; Mwenyezi Mungu awabariki sana.
Mkuu Chasha bado nasubiri upate laptop ili niendelee kufaidi, maana ilikuwa tarehe 10 leo tarehe 15.
Kuhusu signature ni imani, na kila imani imekamilika na ina Mungu wake.
Wakuu wote, (Kubota et al). Mungu mwenyezi katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth, awabariki sana.
Mkuu Chasha, naomba kujua jinsi ya kuandaa mbegu za mpapai kama dawa ya kideri. Ubarikiwe.
Mpendwa Regia Estelatus Mtema, tulimpenda sana, lakini Muumba wake amempenda zaidi. Bwana alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana na Libarikiwe Amina (Ayubu 1:21).
CCM haijawaangamiza wananchi.
CcM imeijenga hii nchi ya Tanzania kwa Muda mrefu.
CCM ina haki ya kuendelea kuitawala Tanzania kwa miaka 40 tena sasa maana wanauwezo mkubwa wa kuongoza.
Mnyonge mnyongeni, Haki yake mpeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.