Katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu aliulizwa ni lini Mh Sitta ataondoka kwenye nyumba ya Spika huko Masaki maana sio Spika tena. Kwa maelezo ya mbunge aliyeuliza swali ni kwamba serikali inatumia Tsh million 12 kila mwezi kwa nyumba ya huyu Spika. Lakini kama kawaida Mama Makinda alikurupuka na kujibu swali la serikali akisema kuwa hiyo ni stahiki ya Mh Sitta kama Spika mstaafu.
Wana-JF, Sasa nitawahoji, ni sahihi kwa Mh Sitta kuendelea kuishi kwenye nyumba ya Spika hata kama sio Spika? Na kwa mantiki hiyo Marais wastaafu wanatakiwa waendelee kuishi IKULU maana wanastahili? Sera ya kuangalia maslahi ya viongozi wakuu wastaafu inasemaje?
Wana-JF, Sasa nitawahoji, ni sahihi kwa Mh Sitta kuendelea kuishi kwenye nyumba ya Spika hata kama sio Spika? Na kwa mantiki hiyo Marais wastaafu wanatakiwa waendelee kuishi IKULU maana wanastahili? Sera ya kuangalia maslahi ya viongozi wakuu wastaafu inasemaje?