Katika ulimwengu wa sasa tunatazama ni kwa namna gani unaweza ku convert knowledge uloipata chuoni kwenda kwenye practice? Je, upo tayari kuhimili ushindani katika soko la ajira au theories zimejaa akilini mwako! Si muda wa kubeza chuo kingine na kusifia chuo chako.Jiulize we ni msomi au ulisoma tu!
Hakuna mabadiliko ya dhati kwa taifa pasipo kukubali ku sacrifies, nchi zote kubwa zenye maendeleo ya kiuchumi na siasa komavu zilipitia hali hii, hayo ndio mapinduzi...French revolution,english revolution,america revolution, civil movements in America,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.