Ni mtoto wa kambo wa Wasira, yani baada ya baba yake mzazi kufariki mr.Ndege ndipo mama yake alipo olewa tena na Stephen Wasira.
Kama dedi yake waziri bas tunaelewa kwa nini ana pesa chafu namna ile
Jembe Jembe Jembe Sembe
Hawana uhusiano wowote na Wasira, na wala hauzi sembe ni kijana mtafutaji na mpiganaji. Na msomi pia.
Ni ndugu na Reuben Ndege au ni majina tu yanafanana?
Yap ni mdogo wake.....na yupo mwingine alikuwa akiitwa Agustino,waliosoma shule ya msingi forodhani mtawakumbuka hawa watu
Sebastian Ndege hana undugu na Ruben Ndege ni majina yamefanana tu
Kweli kabisa,kwanza hawa watoto wa Ndege hawakuwa na mahusiano mazuri na huyu mama yao wa kambo ambae ndo mke wa WAsira kwa sasaHawana uhusiano n wasira huyu mama alikua mke mdogo wa mzee ndege
Kweli kabisa,kwanza hawa watoto wa Ndege hawakuwa na mahusiano mazuri na huyu mama yao wa kambo ambae ndo mke wa WAsira kwa sasa
Mtu afanye kazi clouds...avume...kisha kimyaaa
itakuwa kafanyiwa visa tuuu na yule mtu mfupi Cloouds
hakuna la zaidi