Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

akiojiwa na "DW BORN" leo mchana prof abdalah safari amesema maandamano yapo palepale kwa police hawana mamlaka ya kutoa kibali cha maandamano bali wao wanapewa taarifa tu, kama kusitisha maandamano basi ni kunakiwa na makubaliano kati ya police na waandamanaji ila si kuzuia maandamano

Sumu za hawa jamaa ni Nouma prof. Analinda ugali hapa anabuluzwa tu Na akisema tofauti anatafuta mlango Wa kutokea
 
Asante mwanasheria msomi tupo pamoja kesho ni kesho kilombero Arusha tupo imara sana.

Tunaomba kauli moja tu...

Mnaturuhusu tujibu mapigo?
Maaskari wenyewe afya mbovu,
Ka vipi tuje na silaha zet mpka kielewke.
 
Kama kawa nitakuwepo, na polisi akijipendekeza atajuta kuzaliwa....
 
Prof wa sheria anajuwa na kuamini alichokisema
Na yeye wamwite makao makuu ya polisi akahojiwe
 
Tuwaone viongozi wa chadema wako mbele na wake zao na watoto wao.. sio.kila siku kuwaacha waandamaji wanaumizwa wao wamejifungia nyumbani

Mbinu ya kupiga watu wasiona kosa ilitumika sana enzi za makaburu,na lengo kubwa ni kutisha,kuogofya ili wasidai haki zao.
Wakati wa vurugu kati ya waafrika kusini na Makaburu,Nelson Mandela aliwahi kusena
" hakuna haki inayotolewa kwenye sahani,lakini uhuru hauji kwa urahisi, kwa kuwa serikali nyingi za Afrika hazijali demokrasia,wengi tutakufa lakini uhuru lazima upatikane.
The grain of wheat
 
Prof wa sheria anajuwa na kuamini alichokisema
Na yeye wamwite makao makuu ya polisi akahojiwe

Si polisi wanakazi mbili tu kuchukua rushwa kwa mazingira waliyowekewa na kufuatilia ukuaji wa vyama pinzani.Lakini tunajua kazi walizipataje hasa akina chaginja
 
Kuwaumiza kunawapa umaarufu, tuwe na akili jamani. Accomodate them and you will see watu watawachoka,hivi sasa maandamano yanakua fashion. Believe you me.
 
Polisi wanachekesha sana. Leo wamevamia ofisi za chadema Morogoro na kupiga mabomu ofisini na kuiba vifaa ikiwemo laptop na simu. Hii yote ni hofu ya watawala juu ya hatma yao. Hakuna ukombozi usio na gharama. Kuna gharama mbili; ya wanaojitoa kuleta ukombozi na ya wanaopambana kuupinga ukombozi. CCM na vibaraka wao wanalipa gharama yao na sisi tunalipa gharama yetu. Tutafika tu japo kwa machungu makubwa. 'We either pay now or later but we shall pay'
 
Huyu mzee kazeeka wala hajitambui kabisa mtu mwenyewe anatembea kainama.
 
Tuwaone viongozi wa chadema wako mbele na wake zao na watoto wao.. sio.kila siku kuwaacha waandamaji wanaumizwa wao wamejifungia nyumbani

Hiyo si kazi yako, mbona mwenyekiti wa ccm huwa hata foleni hakai anapita tu wakatia wanachama wanashika bendera za ccm? Waachie wanachadema waamue.
 
Huyu mzee kazeeka wala hajitambui kabisa mtu mwenyewe anatembea kainama.

Huyo mzee safari ndo uchaguzi umeisha juzi keshaanza kutumiwa na wachaga? Ama kweli wasomi wa nchi wanasikitisha sana. Jitu ni prof alafu linapangiwa cha kufanya na form four kisa kulinda ugali? Nchi hii vituko havitaisha.
 
Back
Top Bottom