Wtz inabidi tuamke kwakweli,mambo kama haya yapo maeneo mengi sana,watu wanaishi kwa njia za kitapeli huku watapeliwa wakikaa kimya na kuhofia hata kuhoji,haiwekani mtu anafanya harambee alaf hasemi kiasi,leo mnatetea kwamba twende ofisi au kupiga simu,kwanin hiyo harambee asingewaambia watu...