Recent content by lachicaguapa

  1. lachicaguapa

    Kwanini wake za watu mnapenda kujiadhibu kwa makosa ya mumeo?

    huko go negative sana mkeo shida anayo
  2. lachicaguapa

    Niolewe na yupi - ushauri wako ni muhimu

    Sio rahisi kupata chaguo lako kupitia watu wa JF, kwanza hatuwajui tabia zao Wala wanavyokupenda. Chaguo lako unalijua hasa unapokuwa nae kwani hukupa faraja na kukufanya uchukie kuwa mpweke. Ni nani Kati ya hao watatu sasa? Rudi na jibu. Ukishatafakari!
  3. lachicaguapa

    Huu tunauita uzalendo

    Hapo bidada kajizuia kwa kicheko....lol!
  4. lachicaguapa

    Kususa/kununa siyo suluhisho katika mahusiano

    Naogopa kwelikweli hasa watu wakweli kama wewe nimekupendaje
  5. lachicaguapa

    Kamati yakataa ripoti ya Jiji la Mwanza

    Hapa wanataka kutuonesha wanafuatilia ufujaji wa Mali ya umma, tunataka kujua watachukua hatua gani ili kukomesha hivi vitendo, na hiyo ripoti hata iandikwe mara 20 haitokuwa sawa, wameshagundua matumizi mabaya na kubaini utendaji Usilolijua makini sasa wanategemea ripoti itakaa sawa kweli.?
  6. lachicaguapa

    Tamthilia zinaharibu wake zetu

    la mujer de mi vida ilikuwa nzuri kwa kweli
  7. lachicaguapa

    CV YA Jenista Mhagama Naibu Waziri wa Elimu 2014-2015

    Mh, napata morali wa kuanza mikakati ya unaibu lol! Sijui ni bahati au juhudi inahitajika!
  8. lachicaguapa

    'Kwa nini hatukuonana zamani'???

    sio kweli, tumekaa kimya tu!
  9. lachicaguapa

    Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

    umeme huu umenikosesha kumwona daisy na amos single! lol! kumbe Hope kashinda ic!
  10. lachicaguapa

    Kwanini WALIMU wamekuwa wana nafasi kubwa zaidi ya kuolewa?

    Ludi Kuludi Ameshaludi Wanauluma Hiki Kiswahili Che! Hii mada mbona walimu na wame za walimu wataipenda! Ila mleta mada ulilenga na wale wa chuo au secondari kushuka vidudu?
  11. lachicaguapa

    Bongo movies...

    Hizo sound tu lol!
  12. lachicaguapa

    Tusker Project Fame Vs Epic Bongo Star Search

    Tofauti ni hizi EBSS inatafuta local musician while TPF inatafuta international musician Star! Kuongezea Tanzania hatuna music class au dance hasa shule za public, na walimu expert wa class hizi ni wachache sana! hivyo tunajikuta tuna ishia Kuimba bongo flava na taarabu!
  13. lachicaguapa

    Bongo movies...

    Jamani hizi muvi za bongo wangechukua hizi weakness wajirekebishe, ila hili jukwaa limenifurahisha leo ic.!
Back
Top Bottom