Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

TPFPNG.PNG Hii ilikuwa kwa ajili ya nn sasa
 
What did you enjoy in particular...Mrundi kushinda au kitu kingine?

I have loved kale kabinti ka Uganda kwa kweli...

Unfortunately, sikuona finali..

Babu DC!!

Nime enjoy ile kampani niliyokuwa napata katika hii thread........

yaani shindano limetukutanisha wengi tukajuana it ws funny majadiliano yetu

Kale kabint ka UG kalikuwa kanaimba ila from the scratch nilijua hawezi kuwa the winner

Bibi hajaangalia.......kamwambie kuhadithie......ilikuwa nzuri sana
 
hahaha hako kajukuu kako kalie tu

mshindi ni HOPE kitu cha burundi.......halafu kilisha ni propose

jiandae kuhudhuria harusi yetu BABU DC

Hahahahahahaahh,

Kama nikuwahi opportunities basi sikuwezi....

Umempita babake Delish aliyejitokeza kuwahi shea ya dola 300K!!

Mie nitaku-walk had kwa mwenyewe ukiniruhusu...

Babu DC!!
 
Thanx all kwakweli.. I hv made sm frnds frm this thread.. Jmn tusitupane sanaa maana tutakuwa boad. Miss u all. Mwaaaah
 
Asante Heaven on Earth kutuanzishia siredi

Asante Mungu kwa kutupa nguvu,afya na hukutupungukia,tumeshirikiana vyema na kwa amani.. Tunaomba utupatie wakati na muda mwingine mwakani..

Ushukuriwe wewe uliyetukuka.. Amen

cc wote waliochangia uzi huu

Usiku mwema marafiki
 
Last edited by a moderator:
Nime enjoy ile kampani niliyokuwa napata katika hii thread........

yaani shindano limetukutanisha wengi tukajuana it ws funny majadiliano yetu

Kale kabint ka UG kalikuwa kanaimba ila from the scratch nilijua hawezi kuwa the winner

Bibi hajaangalia.......kamwambie kuhadithie......ilikuwa nzuri sana

Bibi kanihadithia na ndiye kanizidishia uchungu wa hako kajukuu kangu kanakomwaga machozi....

Naona kana tastes kama za Babu yake....lol!!

Halafu week iliyopita, kajukuu kengine kalitaka kujinyonga kwa ajili ya upuuzi wa kina Madam Ritta na BSS.....

Wananitesea wajukuu hawa watu..

Babu DC!!
 
Asante Heaven on Earth kutuanzishia siredi

Asante Mungu kwa kutupa nguvu,afya na hukutupungukia,tumeshirikiana vyema na kwa amani.. Tunaomba utupatie wakati na muda mwingine mwakani..

Ushukuriwe wewe uliyetukuka.. Amen

cc wote waliochangia uzi huu

Usiku mwema marafiki

Kweli kabisa,

Issues kama hizi zinasaidia watu kupata nafasi ya kuchangiana mawazo...

Sasa tukamzike mzee Madiba kwanza...

Babu DC!!
 
Bibi kanihadithia na ndiye kanizidishia uchungu wa hako kajukuu kangu kanakomwaga machozi....

Naona kana tastes kama za Babu yake....lol!!

Halafu week iliyopita, kajukuu kengine kalitaka kujinyonga kwa ajili ya upuuzi wa kina Madam Ritta na BSS.....

Wananitesea wajukuu hawa watu..

Babu DC!!

Hao wajukuu zako hatari sana ,kama ndio hivyo usije ukawaruhusu washabikie mpira hasa wa england
 
Wacha kabisa yani wasanii waalikuwa 20,bado hao wanaoshindanishwa,tungeachaje kukesha hapa,nimependa system yao hivi Madame kwanini habadiliki

anachonikera madam ni kupanga mshindi. nyie pigeni kura mnavyoweza lakini mshindi anamjua yeye
 
anachonikera madam ni kupanga mshindi. nyie pigeni kura mnavyoweza lakini mshindi anamjua yeye


Wananikera sana hao watu wa BSS,

Halafu majaji wote wanakuwa kama wamelewa chakali.....(May be wanapulizia kidogo kabla ya finali)??

Halafu kwa nini asiruhusu watu ambao ni independent wakamsaidia??

May be nadhani uwezo wake wa kunyambua mambo hauwezi kumpatia hiyo courage!!


Babu DC!!
 
umeme huu umenikosesha kumwona daisy na amos single! lol! kumbe Hope kashinda ic!
 
Hao wajukuu zako hatari sana ,kama ndio hivyo usije ukawaruhusu washabikie mpira hasa wa england


Halafu hao wajukuu wote ni wa kiumue.....

Ndo maana michango ya snowhite kwenye ile mada ya watoto wa kiume imenigusa sana....??

Enzi zetu ingekuwa inshu kama mtoto wa kiume angelilia kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo....

Siku hizi nasikia mnawafundisha kuonesha imotions...yaani hadi napata wasi wasi sana!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaahh,

Kama nikuwahi opportunities basi sikuwezi....

Umempita babake Delish aliyejitokeza kuwahi shea ya dola 300K!!

Mie nitaku-walk had kwa mwenyewe ukiniruhusu...

Babu DC!!

Mambo ya kamata fursa twenzetu.........

Nkakuruhusu we kuni walk hadi kwa Hope..it will be my pleasure

baba ake Dillish nae mbayaa hachezi mbali na opportunities

ngoja nikalale babu....kesho mjukuu wako niende kwenye maadhimisho ya miaka 52 uhuru
 
Bibi kanihadithia na ndiye kanizidishia uchungu wa hako kajukuu kangu kanakomwaga machozi....

Naona kana tastes kama za Babu yake....lol!!

Halafu week iliyopita, kajukuu kengine kalitaka kujinyonga kwa ajili ya upuuzi wa kina Madam Ritta na BSS.....

Wananitesea wajukuu hawa watu..

Babu DC!!

wajukuu zako hatari hawatakiwi kushiriki shindano lolote ka ni hivyo

wanarudia ITV ka unaweza you can watch now Babu..........

ila nahisi huu mda bibi atakuwa anakuhitaji kwa bedroom
 
Back
Top Bottom