Recent content by la pulga

  1. la pulga

    Matokeo ya kidato cha pili mtihani wa taifa utata

    Saaafi kaka nafikiri wanadhani kila anaye hoji matokeo ya 4m 2 ni 4m 2 haiingii akilini mtu mzma kushindwa kufikiria >>>>>>mawazo mafupi kama umeme wa luku>>>>!!!
  2. la pulga

    Matokeo ya kidato cha pili mtihani wa taifa utata

    Sasa kama wanaamini walichokifanya kwenye usahishaji na upangaji wa matokeo wayatoe basi tuone!!!!
  3. la pulga

    Siasa za CCM: Kodi juu, Umeme juu, maji juu, Gesi juu, Kiwanja juu, Mshahara uleule

    Afu sasa wanajifanya kama hawaelewi nini machozi ya watanzania yanatokana na nini dah kweli hii nchi hatari!!! Sana na nafikiri jibu sahhi ni kukaa siku kuchinjana wenyewe kwa wenyewe ndo heshima itakuja!!!!!
  4. la pulga

    Hali ya umeme Njombe ni tete.

    Asante mkuu wangu ndo nchi yetu ambayo tunaendelea kujikongoja nayo na hatujui mwisho wake ni wapi!
  5. la pulga

    Sensa ya tembo: Tembo wazidi kuangamia tanzania

    Dah! Inasikitisha sana ila serikali inachangia hili sababu hata hao wanaopewa mamlaka ya kulinda hifadhi za wanyama ndo wa kwanza kufanya ujangili>>>>>>> yaan nomaaa sanaa!!!!
  6. la pulga

    Hali ya umeme Njombe ni tete.

    Afu bado wamepandisha gharama aisee yaan tanesco ni pumbaf sana na tatizo hlo siyo huko tu mkuu hata huku da es salaam maeneo ya kigamboni ndo kilio chetu!
  7. la pulga

    Matokeo ya kidato cha pili mtihani wa taifa utata

    Hahahh! Wana hofu tena wakiyatoa raia wataponda kwamba watoto wa wamefeli hahhahah! Ila sisi raia tupo kwa kazi hyo bana kwa ni mwendo wa kunyooshana tu ukiboronga na matokeo yenu kama yatakuwa mabovu! Sis ni kuponda tu!
  8. la pulga

    Diamond ajenga nyumba yake na kuweka swimming pool ndani

    Hahhaha! Mjini cyo madaraka wala mipesa mingi bana mjini mipango tu!!!
  9. la pulga

    New member: mmenivuta nijiunge na jf

    Karibu sana japo na mm ni mgeni kama ww!
  10. la pulga

    Pilipili ni dawa?

    Na kama inasadikika kufanya yote hayo kwa nn wanamicjezo hawashauriw au wao ndo hawataki hzo faida za pilpil>>>>>!
  11. la pulga

    Ni sahihi au si sahihi?

    Dah kazi unayo ila wanaume sisi bana hujui ni waigizaji bora sana hasa wa filamu za mapenzi so tafakari kisha chukua hatua>>>>>>>!
Back
Top Bottom