Lady.A
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 392
- 191
habari zenu.
najua wengi mtakubaliana na mimi kwamba kiungo pilipili ni mojawapo ya vitu viletavyo hamu ya kula. lakini kuna wengine wanasema pilipili sio nzuri kwa afya, na wengine usema ni dawa, hata mimi naunga mkono kwamba ni dawa, kwani hutibu kwa wale wa Kigoma, wale funza wasiotibika, basi dawa yao ni pilipili. sasa je wewe unasemaje? pilipili ni dawa ama la?
najua wengi mtakubaliana na mimi kwamba kiungo pilipili ni mojawapo ya vitu viletavyo hamu ya kula. lakini kuna wengine wanasema pilipili sio nzuri kwa afya, na wengine usema ni dawa, hata mimi naunga mkono kwamba ni dawa, kwani hutibu kwa wale wa Kigoma, wale funza wasiotibika, basi dawa yao ni pilipili. sasa je wewe unasemaje? pilipili ni dawa ama la?