Blue nae anakata hii red ya chini kabisa, red anabaki na kete Moja ya kwanza kabisa, popote atakapocheza, blue nae anacheza upande wa kushoto, red Hana pakukimbilia tena.
Nimechanganya rangi, mwenye blue ndo anaikata hiyo red ya mbele kabisa, kisha blue akicheza, red anasogeza kete yake upande wa kushoto game inaishia hapo.
Akitokea na nyuma baada ya kutema, mwenye red anakata, kisha mwenye blue popote atakapocheza mwenye red anaweka kete chumba Cha kushoto kwake, game imeisha, supa kitumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.