Recent content by la magica

  1. la magica

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Kenya ipi wasiokula ugali? 😁😁
  2. la magica

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uzi pendwa umekumbwa na Nini tena?
  3. la magica

    Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

    Sina akili na Wala siwazi😁
  4. la magica

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Blue nae anakata hii red ya chini kabisa, red anabaki na kete Moja ya kwanza kabisa, popote atakapocheza, blue nae anacheza upande wa kushoto, red Hana pakukimbilia tena.
  5. la magica

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Mwenye zamu ya kucheza ni mwenye red Kwa mujibu wa mleta mada.
  6. la magica

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Nimechanganya rangi, mwenye blue ndo anaikata hiyo red ya mbele kabisa, kisha blue akicheza, red anasogeza kete yake upande wa kushoto game inaishia hapo.
  7. la magica

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Akitokea na nyuma baada ya kutema, mwenye red anakata, kisha mwenye blue popote atakapocheza mwenye red anaweka kete chumba Cha kushoto kwake, game imeisha, supa kitumbo.
  8. la magica

    Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

    Kwa Nini hawakukamatwa waliokutwa na hiyo simu sokoni, aje kukamatwa alienunulia LUKU, lazima mwamba alikua anahusika.
Back
Top Bottom