Ni kweli mimi alikuwa room mate wangu,baada ya kumaliza form 4 alipotea kabisa na akaja kuibuka katika siasa na kitu kingine ambacho ni suprise Nape hakuwa na hobby ya uongozi ndio maana labda alikuwa akiitwa mlokole,alikuwa mpole na asiye kuwa na dalili zozote za kutaka kuwa kiongozi kama pia...