- Kazi yenu kuharibu majina ya watu kwa sababu ya wivu na hasira za maisha, hapa mjini Wanasheria wote wanakula kuku, mimi nina mshikaji wangu ni Mwanasheria wa IPP kijana mdogo sana I mean yupo vizuri sana na baba yake sio Rais, mnasema maneno mengi yasiyo na hata commonsense, kwamba Ridhiwani amempa Davis mali zake, leo Ridhiwani anaendesha gari la Shillingi Millioni 10 na huku Davis anaendesha Lambogirn ya Shillingi Billioni Moja na Nusu, sasa mwenye mali Ridhiwani anamuangalia tu akichoma mali zake na kwamba kuna siku Davis atamrudishia Ridhiwani mali zake,
- I mean a great Thinker unaweza kutoa theory za kusadikika kama hizi mbele ya Great Thinkers wengine na unakubaliwa kwamba unaongea hoja, inasikitisha sana!!
le mutuz
Mkuu ,
Naona baada ya kukosa kibarua kwenye ngaz izote za CCM umeamua kujisubmit kwa Riz 1! Kwani kule Marekan wamekufukuza, au umri hauruhusu tena kupiga Box?