Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Naombeni mwenye taarifa au tetesi kuhusu Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI kwa mwezi January 2013 wanatoa list lini na kikao cha kupitisha ni lini?
Naombeni mwenye taarifa au tetesi kuhusu Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI kwa mwezi January 2013 wanatoa list lini na kikao cha kupitisha ni lini?
ndugu ata mimi natafuta hayo majina ya nimechek web yao lakini wali ya post tarehe na sasa wamesha ya toa,aliye weza kuya download atu juze! asanteni
ingia kwenye website yao wamesha release majina
Sikuipakua. Jaribu kucheki tena baadayekama una hiyo document tuwekee hapa mkuu naona wameitoa haipo ila kichwa cha habari kipo
Kuna jamaa aliniambia alifuatilia akaambiwa majina yatatoka kuanzia jan 15. So kama kuna m2 ameshayaona please 2julishane wana jf hapa ndo kupeana news wana jf. Jaman 2naotaka kuhama 2po wengi, wengine ni walimu wanashindwa waazimie au la!
naona kwenye maelezo yao wanadai barua itapatikana kwa mkurugenz wako.nyorji iyo letter umeipata wapi mkuu? Dom au kwenye sanduku lako la posta?