Mwenye Farah zaidi ni bashite tu, hata jiwe mwenyewe hana furaha wala amani, mara magogoni mara chamwino mara chato, mwisho atalala hadi makaburini kwa hofu!
Huyu wa sasa pamoja na sura mbaya, ana roho mbaya sana za visasi, kukomoana kupoteza watu kufilisi na kuua kabisa!
Kwa kifupi, huyu wa sasa hakufaa kabisa kuwa hata mwenyekiti wa kitongoji
Makonda ameshawanyang'anya wahindi na waarabu wengi mali zao wakiwemo akina GSM akina MO. Huyo ni jambazi kama majambazi wengine! Huo ni utajiri wa laana tu. Huyo babake wa kambo anampa kiburi sana Huyo shoga. siku jiwe akiondoka makonda atakuwa masikini atanyang'anywa hadi baiskeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.