Recent content by kycheneke

  1. kycheneke

    January Makamba, marafiki zako ndio maadui zako

    UBINAFSI kitu kibaya sana! Hii nchi ilikua inawenyewe wakati mm na ww tunalia njaa wao walikua wanapiga nji hii!
  2. kycheneke

    Rais Magufufuli, utatumbua sana lakini unajihujumu wewe mwenyewe

    TATIZO LETU WATANZANIA HATUIJUI HISTORIA! HIVYO HATUJUI DUNIA ILIPOTOKA NA INAPOKWENDA, HATUJUI NYUMA YA MAENDELEO YA NCHI ZILIZO ENDELEA! NA NDIO MAANA NI RAHISI KUIANGALIA LEO NA SIO KESHO YETU! MWACHENI RAISI WETU AFANYE ANACHOKIFANYA! TUACHE UBINAFSI!
  3. kycheneke

    BEI YA DAWA NA KUPALILIA MPUNGA

    Poleni na mizunguko ya kila siku, mimi ni mwanafunzi wa chuo... Nmeamua kulima mpunga, sababu napenda kuinvest katika kilimo,, ila bado nakosa hints za kutosha kwa kilimo Cha mpunga, KWA CHOCHOTE CHA KUNISHAURI TUPIA HAPA hasa katika bei ya kupalilia na dawa,,, NTASHUKURU..
  4. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oya nne kali za uhakka,, tupia hapa jion tuchekeree wote,,
  5. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    TUKUMBUSHANE TU KWAMBA HAKUNA WAKUMUAMINI COZ HATA TANESCO WANAGENERETOR OFISINI,,, KWAHYO *STAKE WISELY* ILI UCKU TUSHEHEREKEE WENG,,,
  6. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oya naomben za point 2 tu,, kali za leo
  7. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna inplay yeyote au mshafunga ofis leo!!!
  8. kycheneke

    Kwa mwenye tuition center au shule anayehitaji mwalimu wa physics,chemistry na biology

    Natafuta tuition center dar es salaam... Nifundshe chemistry na biology.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kycheneke

    Natafuta tuition center au shule nifundishe Economics

    Natafuta tuition center dar es salaam... Nifundshe chemistry na biology... Niko likzo kutoka udsm nasomea education!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Madrd kapta na sayar Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kycheneke

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bob ubatutsha [emoji20][emoji20] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom