Recent content by kyata amato

  1. K

    Nauza madaladala hino rainbow

    Wanakaa abiria wangapi mkuu?
  2. K

    Nauza kiwanja na nyumba ambayo haijaezekwa kwa bei nafuu

    Weka bei mkuu, watu waje wanunue
  3. K

    Jonas Mkude na mashabiki wa Simba wapata ajali, shabiki mmoja afariki

    Kugambeka ndiyo nini mkuu? Naona umekoment kimzaa mzaa ambayo siyo kawaida yako mkuu.
  4. K

    Hapo Alipo Felchemi Mramba formed DG TANESCO

    kwa hiyo wewe ndiyo Mramba au amekutuma?
  5. K

    Mechi za mwisho VPL,Vita ya ubingwa na kushuka daraja

    Kwa nini mkuu unapendekeza hivyo
  6. K

    Hebu muelewe mnyama mkali huyu

    Nimeikubali, ubingwa vpl ni hadi mechi za mwisho, vile vile Na FA cup ni mpaka filimbi ya mwisho mechi ya fainali. Hivyo tusishangae kuona Mbao FC akilinyakuwa Na kukwea pipa mwakani. Hebu tuache muda uongee, tusilete mihemko humu..
  7. K

    Mezani fc

    :(:(:(:( nyie viumbe wabaya sana
  8. K

    TAHADHARI: Hali si shwari Simba..!

    Na Mzee Dalali mlimfanyaje? Au nimesahau, si mlitaka kuchoma nyumba yake Magomeni? Na hiyo ndiyo maana yenu. Mtaishia kunawa tu..
  9. K

    Simba mnyama amefanya yake

    Simba ni wa Matopeni, nini hujui hapo?
  10. K

    Uongozi wa Simba wanywea, sasa umepanga kuzungumza na Mo Dewji

    Timu inaaribiwa kitambo, we tulikuwa wapi mkuu??
  11. K

    Tajiri Zackaria Hans poppe amerejea rasmi Simba

    Povu tupu, tena la OMO
  12. K

    Ushauri kwa Klabu ya Yanga

    Ahaaaa, eti mbeleko FC.
Back
Top Bottom