kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Naona unafundisha vijana wogaHuyu jamaa kinachomponza ni kutokujua sheria ya mchezo(Rule of the game),kwa nchi yetu ukiwa masomoni hupaswi kujihusisha na harakati zenye mlengo wa kisiasa maana watawala wetu wana roho mbaya na fitna sana hasa ukionesha uko kinyume nao wako tayari wakuue.
Huyu jamaa siasa inamponza hakuna kingine, alafu ukishajijua wewe ni maskini ni vema uka-focus lengo kuu, hayo mengine utayafanya ukiwa huru.
Tumepita hapo UDSM bila shida kwa kua tuliutambua mchezo mzima sasa anayeshupaza shingo ndo anaumia.
Hii nchi yetu msiifananishe na kwingine mtaumia
hahahaha, bashite katika ubora