Recent content by kyaruwa_Kilala

  1. kyaruwa_Kilala

    Mwanamke wangu hataki nione nyeti zake

    Inamaana mkuu huwa haupigi deki
  2. kyaruwa_Kilala

    Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

    1.Unataka kuniambia taifa la Israel halina watu wassup kielewa! 2. Wako katika kiwango gan kiuchumi kama ni taifa pekee kiac hiyo cha kudharau wengine?
  3. kyaruwa_Kilala

    Wanaume mna nini na simu zenu?

    Ulimuomba! Na kama ulifanya hivyo ulikuwa unataka kukimbia nayo uende wap?
  4. kyaruwa_Kilala

    Hivi ni kweli wanawake uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo kulinganisha na wanaume?

    Kwanza we mwenyewe unauwezo gan wakufikiri, kabla ya yote!
  5. kyaruwa_Kilala

    Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

    Utakuwa mwanafunzi was St. JOSE bila shaka
  6. kyaruwa_Kilala

    Msaada, hili tatizo linanitesa sana

    Anza mazoea na marafiki zake, Halaf mwenyewe ataja taratibu, Mtafutie dinner nzr, utamalizana nae hapo
  7. kyaruwa_Kilala

    Picha: Kwa mwendo huu CCM kwaheri 2015

    Na ccm haitaki Kula yako, wanahitaji kura za wananchi,
  8. kyaruwa_Kilala

    Jukwaani: Huku Lowassa na Sumaye, na huku Zitto na Dr Slaa

    Kwel ni wakat wa mabadiliko,
  9. kyaruwa_Kilala

    Slaa na Zitto jukwaa moja?

    Mtanzania bhana, Hiv zitto ni wap aliposaliti? Na alisalit kwa njia ipi, Mfa maji huwa haishi kutapatapa wandugu. Niwakati wa mabadiliko kwel
  10. kyaruwa_Kilala

    Haya mazoezi ya ndege za Kijeshi mjini (Dar) yanatia shaka kipindi hiki!

    Usiogope kijana, kama ulivyo sema ni mazoez 2 hayo
  11. kyaruwa_Kilala

    Uso kwa uso na mke wa rafiki yangu gesti

    Pesa ishafika, Halaf mrekebishe kwa mbo.o
  12. kyaruwa_Kilala

    Swali Rahisi kwa Zitto Kabwe

    Kwamawazo yangu finyu, me nadhan ccm au serekali imechangaia kwa namna 1 AMA nyingi, kwamba amesomewa shitaka lake na kutolewa hukumu, tarehe 10 ilimajibu yarudi yakutoshiriki binge lijalo Kabla ya tarehe 17, asiwasilishe hoja inayowahusu wizara ya ujenz, juu ya Pesa walizo Piga tena mabilion...
  13. kyaruwa_Kilala

    Mchungaji huyu anasakwa kwa uhusika na mauaji ya Albino

    Nahilo kanisa lake liko mitaa ya mwenge ama!
Back
Top Bottom