wangeunganisha nguvu tangu mwanzoni hapo wangewin, kwa nini sasa wakati wanajua kabisa mama mghwira hawezi kushinda uchaguzi?, slaa akampeleka lowassa chadema na kumtosa kwa shinikizo la mkewe, aka jiunga na ccm kumtukana Lowasa kama vile sio yeye aliyempeleka chadema halafu akenda kujirestisha marekani na kuwaacha makamanda peke yao wana pambana kufa na kupona.
zitto akimkaribisha basi wote wataangukia pua kwa sababu hili treni limeshaondoka na kituo kinachofuatia ni Kigoma.
Slaa na zitto wakiungana sasa hivi lengo litakuwa ni kuua ukawa ili zitto na chama chake wawe wapinzani wakuu , sio wazo baya ila wamechelewa, kwa wakati huu attack yoyote kwa ukawa maana yake ni kuiweka ccm madarakani, mimi na wananchi wengine wengi tu hatukubaliani na hii hali na wakifanya hivyo act watakuwa wamejiweka rasmi kwenye kundi la ccm , na kwenye ballot tuta wa treat accordingly.
Mwaka huu hapendwi mtu ni sera tuuu!!!!