Recent content by Kyampisi

  1. K

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Pole sana, bila shaka mpaka hapo umefikia uwezo wako wa mwisho wa kujishauri, wala usijidhuru maana utakuwa umesababisha hasara kubwa, na wala usimdhuru mke wako. Mpaka unafikia hatua hii bila shaka kuna mengi nyuma ya pazia Pengine labda umejaribu kumuuliza mke wako ni kwa nini kamhamisha...
  2. K

    Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

    Swali zuri sana, laki na themanini tu roho inamuuma hivyo, je, faida ingekuwa laki 4 kwa mwezi si angemroga kabisa! Kwenye haya maisha tenda wema, na wema utakulipa siku moja.
  3. K

    Kwenye tukio la kigogo wa Equatorial Guinea nimeamini hiki kizazi sio cha kufunga ndoa

    Unaweza kuhisi labda jamaa alikuwa anatumia nguvu za giza katika ushawishi wake
  4. K

    Dudubaya ni ngangaripoa?

    Konki konki konki master!
  5. K

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Brother unaona mbali, naona watu wanafumuka fumuka tu bila kusoma alama za nyakati.
  6. K

    Pale unapopewa namba na mdada wa Facebook alafu akakutumia picha yake WhatsApp

    Huyo ukimwona uso kwa uso ni mzuri.
  7. K

    Wanawake wanahitaji muda gani wa kupumzika ili wafanye tena, baada ya kuridhishwa na waume zao katika tendo?

    Wataalam wanadai kwa mwanamke inachukua saa 72 kupata tena hamu kwa mwanaume saa 24.
  8. K

    Mpenzi wangu anakosa ute wakati wa tendo ushauri wako tafadhali

    Ok, huko hawana utamaduni wa kuwacheza mabinti?
Back
Top Bottom