Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Wakuu hili swali naomba nisaidiwe.
Kuna ndugu yangu alikuja kuniambia kwamba ana mkewe hana hamu ya tendo la ndoa kwa sababu tangu amuingilie ni siku tatu na hatamani, sasa nikaona ni siku chache mno labda angelikaa wiki mbili au tatu n.k.
Sasa nimeona bora nililete kwenu wadau ili mnifahamishe kwamba mwanamke kwa kawaida anakaa muda gani tangu afanye tendo ili apate hamu aje afanye kwa mara nyingine.
Kwasababu kuna stori alinisimulia jamaa anasema alikuwa anampa dozi mkewe asubuhi na jioni sasa nikajiuliza mkewe alikuwa anainjoi kweli au ndo alikuwa akimridhisha mume tu.
Karibuni wadau
Kuna ndugu yangu alikuja kuniambia kwamba ana mkewe hana hamu ya tendo la ndoa kwa sababu tangu amuingilie ni siku tatu na hatamani, sasa nikaona ni siku chache mno labda angelikaa wiki mbili au tatu n.k.
Sasa nimeona bora nililete kwenu wadau ili mnifahamishe kwamba mwanamke kwa kawaida anakaa muda gani tangu afanye tendo ili apate hamu aje afanye kwa mara nyingine.
Kwasababu kuna stori alinisimulia jamaa anasema alikuwa anampa dozi mkewe asubuhi na jioni sasa nikajiuliza mkewe alikuwa anainjoi kweli au ndo alikuwa akimridhisha mume tu.
Karibuni wadau