Recent content by Kwitu Kumpepo

  1. K

    Kikwete: Sina tatizo na uwepo wa Serikali tatu Tanzania!

    Wajumbe wanaangalia Maslahi kwanza, Uzalendo Baadaye.
  2. K

    WALIMU: No 'big result now' without 'big salary now'!

    Yah! Nakubaliana na wazo la Walimu kuboreshewa mishahara inaweza ikasaidia. Japo kwa upande mwingine "SHIBE NI MWANA MALEVYA". Wakati fulani inaweza ikawa ni tamaa ya maslahi tu. Kwa ushauri wangu, Walimu tupunguze KUKOPA, na badala yake tuishi kulingana na kipato chetu. Wapo wanaopata kima...
  3. K

    Sasa vita mpya CHADEMA, CCM

    ................ ziumiazo ni nyasi.
  4. K

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Hiyo ndiyo Serikali ya awamu ya Nnee yenye Ari, Kasi na Nguvu mpya............Mm! Kumbe ilikuwa na maana ya kasi nguvu na ari ya KUMWAGA DAMU?
  5. K

    Mh. Mnyika akiamia CCM jimbo la Ubungo litabaki CHADEMA?

    Hapa tutajadili na kutoa maoni yetu, then what next? Mi nadhani kuhisi jambo na kuhangaisha wadau kutafuta ufumbuzi ni kuchoshana akili
  6. K

    Bumbuli waanza kuikimbia CCM

    Si yeye tu, kwa sasa kila mtanzania anatakiwa kusoma alama za nyakati na kutetea mstakabali wa Taifa letu; Dalili za KIFO cha uzee ni maradhi ya mara kwa mara. Hiv ndiyo hali ya CCM ilivyo. Maana kila lenye mwanzo halikosi mwisho, tuachane na kufanya mambo kwa MAZOEA
  7. K

    Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

    Safari hii ni mguu kwa mguu hadi kieleweke. Peopleeeeeeeeeees!
  8. K

    Muungano ukivunjika Zanzibar itatawaliwa

    Piga.....! Geuza....! Garagaza........! tuelewe kwamba "Kunguru hafugiki"
  9. K

    Kikwete's Regime Exposed: Activists report to US Congressional Committees... For Your Eyes Only

    Tupende tusipende, huu ni wakati wa kuchunguza TUNAPOTAKA KUJIKWAA kabla hatujafika hatua ya kuulizana pale tutakapodondoka. Salama yetu ni MUNGU PEKEE. Tumrudie yeye ili aweze kutukinga na kimbunga kunachotuandama
  10. K

    Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    Viongozi wetu bado wanautumia ule usemi wa "MTOTO AKILILIA WEMBE MPE" pale wanapoamua kukaa kimya huku wakishuhudia matukio yanayohatarisha amani hapa Nchini. Huo usemi haupaswi kuzingatiwa katika hili.
  11. K

    Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    Tumechoshwa na AMANI tunajidanganya kufikiri kuwa VURUGU zitatuacha pazuri. Ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anapinga vikali UDINI unaoendelea kushika kasi kila kukicha. MUNGU tusaidie.....!
  12. K

    Hii ndiyo mikakati ya CHADEMA kuingia Ikulu 2015

    Jambo la muhimu ni kuwa na NGUVU YA PAMOJA ndani ya CHAMA
Back
Top Bottom