tumechoka sasa watanzania, ikiwa serikali imeamua kuwa biased sawa tu, ikiwa wakristo wameamua sasa kutupiana mabomu wenyewe baada ya kuona wale wenye siasa kali aka uamsho hawatekelezi ipasavyo yote ni mema. lakini chochote kibaya kitafichwa na kutengenezwa ila naamini litavunda tu ipo siku na ukweli utakaa wazi. tumeshaona mwenendo na mikakati, sijui nia hasa ni nini, bila shaka ni kuwataka wakristo wakae kimya hadi maharamia yakamilishe matakwa yao kadri wanavyopenda. wote wanaohusika katika kuleta amani lakini wanatenda kinyume tunawaombea kwa Mungu, maana Mungu peke yake ndiye mwamuzi/hakimu wa kweli na asiyependelea.
nimeona nimetumiwa mgs hizi za mzunguko zikidai zisambazwe kwa wakatoliki wote kuomba amani, ina maana wengine wao hawataki amani?! au wengine tuombe amani na wengine waondoe?!