Wamisri wanajua wanachokifanya, hawajakosea hata kidogo, lile ni taifa la kiarabu ambalo watu wake wanaona mbali sana! Na misri dini si jambo la msingi wao wana evolve into liberal politics, hata muslim brotherhood siyo extremists, wanaamini katika liberal islamism! Na wamesema wanataka...
Sarah Palin ni mtu mshenzi sana! Anapenda sana siasa za chuki, visasi, ubaguzi na mauaji! Alikuwa nyuma ya kupigwa risasi kwa seneta Giffords! Ukisikiliza hotuba zake utagundua ni mweupe, siyo wa rangi bali wa akili! She is a political terrorist!
We are eager to initiate mass protests like our fellows have done in the North! We are dying for that moment here in Tanzania! Our regime has forgotten the SOLE PURPOSE of its existence! We are pro-change that can restore the stolen African humanity, pride and integrity!
makamu wa rais Suleiman Omar kateuliwa wiki juzi tu na Mubarak, sasa atapata wapi uhalali wa mamlaka? Mana hakuchaguliwa na wananchi kwa pamoja na Mubarak! Jeshi likichukua ni sawa ili kusimamia serikali ya kipindi cha mpito kuelekea uchaguzi mkuu! Na kiukweli chama cha Mubarak kitaivuruga sana...
Kuna jambo moja hatupaswi kulipuuza katika hotuba ya rais kwa chama! Nalo ni suala la katiba mpya! Nampongeza kikwete kwa hili na vyovyote vile itakavyokuwa, na hata njia itakayotumika, sisi wananchi ndio msingi wa Katiba mpya! Lazima nikiri tuna bahati sana, kwamba kama tutakuwa makini na...
Jeshi la Misri limetoa somo jipya kwa majeshi ya Afrika yanayofikiri kuua raia wao tena wasio na hatia ni jambo kifahari! Abrahaman Shimbo na Said Mwema mmeisoma hiyo ya Misri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.