Wakurugenzi wa Taasisi zisizo za kiserikali watinga Kortini kupinga Tuzo ya Dowans

Albert Msando

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,019
171
Wakurugenzi watatu, Irenei Kiria (SIKIKA), Francis Kiwanga (LHRC) na Emanuel Massawe (LEAT) wamefanikiwa kufile zuio/objection kupinga kulipwa Dowans.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kesi hiyo imeshapangiwa Jaji.

Wito unatolewa kwa wananchi wote kuhakikisha kila siku kesi hiyo ikitajwa wananchi wote wanajitokeza mahakamani kuonyesha nia yao na umoja wao kupinga tuzo hiyo.
 
Wakurugenzi watatu, Irenei Kiria (SIKIKA), Francis Kiwanga (LHRC) na Emanuel Massawe (LEAT) wamefanikiwa kufile zuio/objection kupinga kulipwa Dowans.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kesi hiyo imeshapangiwa Jaji.

Wito unatolewa kwa wananchi wote kuhakikisha kila siku kesi hiyo ikitajwa wananchi wote wanajitokeza mahakamani kuonyesha nia yao na umoja wao kupinga tuzo hiyo.

Asante kwa taarifa
 
Tuko pamoja,
nina uhakika tutafika mwisho na kuikomboa nchi yetu dhidi ya wakoloni weusi wakishirikiana na wakoloni koko..
 
Hao wana harakati kama wanahitaji msahada wa kifedha wafungue account wengine tuko tayari kuchangia gharama. GOOD MOVE.:clap2::clap2:
 
Caps kadhaa zikiongozwa na Article 27 ya Constitution


Unaweza kutujuza ni caps zipi zinaweza kutumika?

itakuwa vyema sana kama Mwanakijiji atafanikiwa kutuwekea humu jamvini hayo yaliyopelekwa mahakamani!!

Hii itatupa nafasi wengine kutoa michango yetu
 
Unaweza kutujuza ni caps zipi zinaweza kutumika?

itakuwa vyema sana kama Mwanakijiji atafanikiwa kutuwekea humu jamvini hayo yaliyopelekwa mahakamani!!

Hii itatupa nafasi wengine kutoa michango yetu


PETITION
{Made under Section 16, section 30 (1) (e) of Arbitration Act, Cap 15 R.E. 2002; Section 38 (2), Order XX1, r.57 and r. 58, and rule 14( c) 2nd Schedule of Civil Procedure Code Cap.33 R.E. 2002; Section 2(3) of the Judicature and Application of Laws Act 358 R.E. 2002; and all other enabling provisions of the law}
 
Wakurugenzi watatu, Irenei Kiria (SIKIKA), Francis Kiwanga (LHRC) na Emanuel Massawe (LEAT) wamefanikiwa kufile zuio/objection kupinga kulipwa Dowans.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kesi hiyo imeshapangiwa Jaji.

Wito unatolewa kwa wananchi wote kuhakikisha kila siku kesi hiyo ikitajwa wananchi wote wanajitokeza mahakamani kuonyesha nia yao na umoja wao kupinga tuzo hiyo.

Asante kwa taarifa.
 
Wakurugenzi watatu, Irenei Kiria (SIKIKA), Francis Kiwanga (LHRC) na Emanuel Massawe (LEAT) wamefanikiwa kufile zuio/objection kupinga kulipwa Dowans.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kesi hiyo imeshapangiwa Jaji.

Wito unatolewa kwa wananchi wote kuhakikisha kila siku kesi hiyo ikitajwa wananchi wote wanajitokeza mahakamani kuonyesha nia yao na umoja wao kupinga tuzo hiyo.


Hongereni WAZALENDO wana wa nchi si wala NCHI tuko pamoja katika mapambano haya na kwa pamoja tutashinda.
 
Back
Top Bottom