Henzi zao haya yalikuwa mwiko rushwa,unyonyaji,kuchanganya biashara na uongozi,kujilimbikizia mali,walisisitiza umoja wa nchi na chama,walipinga ukabila,UDINI,ukanda, ukupe,kutoa nje siri za nchi na chama,elimu bora,uwajibikaji,walihemu Tunu za watanzania,maendeleo ya vijiji,n.k lakini hali kwa...