m_kishuri
JF-Expert Member
- Jan 27, 2010
- 1,484
- 372
He!!!!! Bi mwali, ndio yamekuwa hayo tena? Yaani badala ya kumshauri aachane na huo unyofunyofu kichwani wa kumtamani shemeji yake (Mke wa kaka yake, na pengine ndie aliyemleta mjini na kumpeleka shule) sasa unamshauri ageuze mashambulizi kwa dada yake?Kama una dada ni bora umtake huyo dada,
aibu hiyo itabaki ndani ya familia yenu...