Recent content by kwenzi

  1. kwenzi

    Nishauri ninunue Gari ipi kwa budget ya M 6

    Chukua vitz old model hutojutia
  2. kwenzi

    Gari dogo cc chini ya 1500 linaitajika

    Hapana mkuu
  3. kwenzi

    Gari dogo cc chini ya 1500 linaitajika

    Habari wakuu? Naitaji gari dogo namba ianze na C vitz old model nitaipa kipaumbele Budget M 4 mpaka M 4.5 starlet ,Suzuki swift sizitaki .Muuzaji makini anicheki 0757985566 WhatsApp gari liwe dar es salaam .Asanteh
  4. kwenzi

    Pamba gari yako na Muba sound

    Mkuu hongera sana nitakuona mwezi huu unibadilishie muonekano wa vitz yangu hiwe ya kinyamwezi
  5. kwenzi

    Kampuni nzuri ya kuagiza magari Japan

    SBT mkuu
  6. kwenzi

    Msaada kwenye tuta

    Nipo dar as salaam
  7. kwenzi

    Msaada kwenye tuta

    Naomba kuelekezwa mahari ambapo nitapata huduma ya internet cafe yenye webcam na microphone nashida ya kufanya interview online na kama una computer yenye uwezo huo nipo tayari kusaidiwa ikibidi kulipia pia
  8. kwenzi

    Banda la chuma linauzwa

    Jipya ndio karibu
  9. kwenzi

    Banda la chuma linauzwa

    Sio kweli kama mnunuzi njoo ulione
  10. kwenzi

    Banda la chuma linauzwa

    Nishaweka picha
Back
Top Bottom